Inaelekea Samia hajakubali kabisa msamaha alioomba Ndugai kwa kutumia kitubio cha kanisani Anglican!Yeye Samia anawaza, kuota na kuweweseka juu uchaguzi 2025
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaelekea Samia hajakubali kabisa msamaha alioomba Ndugai kwa kutumia kitubio cha kanisani Anglican!Yeye Samia anawaza, kuota na kuweweseka juu uchaguzi 2025
Rais Samia Suluhu Hassan amesema ni Uhuru wa Mtu kusema chochote, lakini inashangaza Mtu anayetegemewa kushirikiana na Serikali kwenye safari ya maendeleo 'kuargue' kuhusu Tozo na Mkopo wa Trilioni 1.3 kwasababu taarifa zote za Uchumi zinapita kwake akisema, "Ni homa (fever) ya 2025, wasameheni"
Ameongeza, "Huwezi kuamini mtu mzima na unaenda kuargue tozo na mkopo wa Trilioni 1.3 kama kwamba ndio kwamba inatokea Tanzania wakati toka tunapata Uhuru ni Mikopo kwenda mbele. Na katika Mikopo yote huu ni mkopo mzuri zaidi"
Jipe moyoAisee she is a tough one
Heavy blows
Saa hizi civid-19 wanapumulia mashine!MAMA AANZE NA WABUNGE 19 WA NDUGAI ILI NDUGAI AJUE UWEPO WA MAMA
Kwa hotuba ya leo ya Samia kama Ndugai asipojiuzulu basi hana akili timamu na anatumikia tumbo lake tu. Samia amesema wazi kuwa kilichomsukuma Ndugai kupinga mikopo ni Uchaguzi Mkuu wa 2025. Aidha amesema wale wote wanasioweza kwenda pamoja na yeye katika kuwaletea wananchi maendeleo atawaondoa katika serikali ya ili wapate muda wa kutosha kujiandaa na uchaguzi wa 2025!
Job anajua anachofanya amemuwekea mama mtego wa panyaInaelekea Samia hajakubali kabisa msamaha alioomba Ndugai kwa kutumia kitubio cha kanisani Anglican!
Ndugai atakunywa sumu, hali yake ni mbaya sanaRais Samia Suluhu Hassan amesema ni Uhuru wa Mtu kusema chochote, lakini inashangaza Mtu anayetegemewa kushirikiana na Serikali kwenye safari ya maendeleo 'kuargue' kuhusu Tozo na Mkopo wa Trilioni 1.3 kwasababu taarifa zote za Uchumi zinapita kwake akisema, "Ni homa (fever) ya 2025, wasameheni"
Ameongeza, "Huwezi kuamini mtu mzima na unaenda kuargue tozo na mkopo wa Trilioni 1.3 kama kwamba ndio kwamba inatokea Tanzania wakati toka tunapata Uhuru ni Mikopo kwenda mbele. Na katika Mikopo yote huu ni mkopo mzuri zaidi"
Sukuma gang hatukuwahi kusupport bandari ya Bwagamoyo.Uwiiiiiiiiiiiiiii!
Sukuma gang chaliiiiiii
Chato legacy chini!!!!!?!
Nyanengh'we!!
Gasho on freakUwiiiiiiiiiiiiiii!
Sukuma gang chaliiiiiii
Chato legacy chini!!!!!?!
Nyanengh'we!!
Na anadhihirisha yupo tayari kufanya lolote kwa ajili ya 2025Yeye Samia anawaza, kuota na kuweweseka juu uchaguzi 2025
Tough ones do act tena kwa haraka bila longolongo. Deeds and not words, are what count most.Aisee she is a tough one
Heavy blows