Rais Samia amvaa Ndugai. Asema, "Huwezi kuamini mtu mzima ana-argue tozo na mkopo wa Trilioni 1.3"

Rais Samia amvaa Ndugai. Asema, "Huwezi kuamini mtu mzima ana-argue tozo na mkopo wa Trilioni 1.3"

Naona hata tathmini ya leo hakuhudhuria, wangemgawana nyama [emoji24][emoji24][emoji24]
Maccm walivyo na roho mbaya wangemmaliza hapo hapo
20211215_110418.jpg
 
Rais Samia Suluhu Hassan amesema ni Uhuru wa Mtu kusema chochote, lakini inashangaza Mtu anayetegemewa kushirikiana na Serikali kwenye safari ya maendeleo 'kuargue' kuhusu Tozo na Mkopo wa Trilioni 1.3 kwasababu taarifa zote za Uchumi zinapita kwake akisema, "Ni homa (fever) ya 2025, wasameheni"

Ameongeza, "Huwezi kuamini mtu mzima na unaenda kuargue tozo na mkopo wa Trilioni 1.3 kama kwamba ndio kwamba inatokea Tanzania wakati toka tunapata Uhuru ni Mikopo kwenda mbele. Na katika Mikopo yote huu ni mkopo mzuri zaidi"
Hangaya ana kiburi, 😀😀😀
 
Mama Samia baada ya kuapishwa na alipoenda kulihutubia bunge aliwaambia wakosoe vikali.
Na hili lilipobgezwa na wengi kuwa huenda ukawa mwanzo mpya wa bunge kuikosoa serikali na hivyo kuacha alama.
Ila yanayotokea sasa ni kuwa mama hakubaliani na huo ukosoaji, au ilibidi wakosoe kitu gani maana kwenye hili la tozo na mikopo umekua mkali sana.
Mama rejea tena hotuba yako ya kwanza bungeni, uliwaambia mwenyewe.
Ni wa vuguvugu Mara hataki kuwa kama Magufuli Mara or Mbona hamkufanya hivi nyakati za Magufuli kwani mfanye wakati wangu. Anakosa competence maturity ya utawala katika ngazi husika
 
Inaelekea Samia hajakubali kabisa msamaha alioomba Ndugai kwa kutumia kitubio cha kanisani Anglican!
Ktubio kilianza na kusingizia watu eti wali edit. Hakikuwa kitubio cha moyoni bali hofu tu.
 
Wadau naomba kufahamu kama Tozo ni jambo la Muungano.
Kwani nimemskia Waziri wa Fedha Bw. Mwigulu Nchemba akidai kuwa kwa Mwezi wa Dec 2021. Zanzibar imepelekewa Bil. 161Tshs ili hali Bara Tshs Bil 91. Ina kuweje Pesa za Walipa kodi wa Bara ziende Zanzabar? Zanzibar ina watu wake wa kulipa Tozo. Inakuweje hii? Je ina maana kila mwezi Pesa za Bara zina pelekwa Zanzibar? Au ndio kujipendekeza bila kujali Sheria, taratibu na misingi ya Muungano pamoja na Sera za Fedha?
 
Ndugai alishasema yeye atakuwa pamoja na wale ambao hawataki mikopo!
🤣🤣 Mama ataendeleza legacy aliyoianzisha Magufuli na sukuma gang wakamsifia ya kuchapisha form moja tu kudadeki
 
Msimdanganye ndugai..
Mkumbuke yule UVCCM alisema CCM watatumia sindano kummaliza Lisu..
Sasa kwakuwa ndugai Ni mgonjwa..zoezi la sindano litakuwa jepesi.
 
Kwa hotuba ya leo ya Samia kama Ndugai asipojiuzulu basi hana akili timamu na anatumikia tumbo lake tu. Samia amesema wazi kuwa kilichomsukuma Ndugai kupinga mikopo ni Uchaguzi Mkuu wa 2025. Aidha amesema wale wote wanasioweza kwenda pamoja na yeye katika kuwaletea wananchi maendeleo atawaondoa katika serikali ya ili wapate muda wa kutosha kujiandaa na uchaguzi wa 2025!
Piga rungu nyoka mama we
Ndóooo president

Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
 
Ndugai kama anajua kupima mambo. 2025 wala asijaribu kugombea ubunge…kinyanganyiro cha kura za maoni ndio itakuwa mwisho wake!!
Wale wajumbe walisimama na kuimba wimbo TUNA IMANI NA SAMIA ina maana hawana imani na Ndugai sasa Ndugai atafanyaje. Halafu alishamuonya naona atamkimbuka
 
Amepiga kwenye mshono na kidonda bado kibichii!
Kajaribu kutingisha kibiriti na kumbe kimejaa njiti full.
 
Back
Top Bottom