Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Huna akili wewe. Kwa Taarifa yako ni kuwa hakuna mwenye ubavu wa kumshinda Rais samia katika sanduku la kura. Hata CCM isipopiga Kampeni bado itapita kwa kishindoMjinga ndo anazidi kuharibuuuu
Huyu hata akisimamishwa mwenyewe na Kimvuli.
Asubuh haiishi, Kimvuli kimeshinda.
Hili lmtu, litegemee tu Polisi.
Kama unaitaka amani huwezi shabikia uvunjifu wa amani kwa maslah ya chama fulan au kikundi cha watu flana lbda uwe mwenda wazimu, wewe kati wale waliokaandaman dar ulAmani kila mtu anaitaka, lakini kamwe haipaswi kutumiwa kama fimbo ya kuwachapia walalahoi panapotokea unfair distribution of resources na wao (walala hoi) kuanza kulalamika na kuwatishia eti "mkiendelea kulalamika amani itatoweka na mtashindwa hata kushika simu", huo ni upuuzi.
Hujui unachozungumzia, Mtu mwenye Akili timamu hawezi kuunga mkono uvunjifu wa aman kwa sababu ya chama fulan au kikundi fulan cha watu wanaojali maslah yao chini ya kuvuli cha uzalendo, vp yale maandamano ya kwanza ulikuwepo?Amani kila mtu anaitaka, lakini kamwe haipaswi kutumiwa kama fimbo ya kuwachapia walalahoi panapotokea unfair distribution of resources na wao (walala hoi) kuanza kulalamika na kuwatishia eti "mkiendelea kulalamika amani itatoweka na mtashindwa hata kushika simu", huo ni upuuzi.
Huwezi ukamvumilia na kumuacha mtu anaye hatarishi usalama wa Taifa letu.Ule uvumilivu umekwisha naona, ulikuwa moto wa kifuu.
Sawa ngoshaNisha kuambia huu ushauri kawauzie watu wa kahawa pia na wazazi wako kule bushi
Angeteuliwa ubunge na angekuwa miongoni mwa mawaziri walioapishwa leo visiwani.CCM bana, kisa tu kasema DP World ni matapeli, angesifia je kama wale chawa wengine?
Bado kidogo atakuvua chupi na weweKavuliwa kama alivyovuliwa upadre
Duuuhh kijana una kazi ngumu na yenye kutia kinyaaHuna akili wewe. Kwa Taarifa yako ni kuwa hakuna mwenye ubavu wa kumshinda Rais samia katika sanduku la kura. Hata CCM isipopiga Kampeni bado itapita kwa kishindo
Baba mtakatifu ana athari gani Mbinguni na Duniani?Huyo mpaka baba mtakatifu alishamkataa huko Vatican. Hakuna alichobakiza duniani wala mbinguni.
Hakika. π€£π€£π€£πͺπͺUkiinuliwa na mwanadamu ni mwanadamu atakushusha ukiinuliwa na Mungu tu utabaki kuwa juu ..
Nje ya mada hiyoSasa hebu elezea maisha yako na ukoo wenu yatabadilika vipi kwa yeye kuvuliwa Ubalozi, yaani
Dr Slaa Ni mropokaji tu na mkurupukoSlaa ashikilie zaidi hapohapo
Tuendelee kuona mtanange
Ukiwa kiongozi lazima uwe mvumilivu.
Kama hutaki kukosolewa basi wewe hufai kuwa kiongozi.
Kwani Chadema na TEC si wapo Kwanini wasimpe chakula hadi alale na njaa? Hizo fikra za watu wavivu usijidanganye eti siku wapinzani wakishika dola watakuletea ugali nyumban kwako umelala tu, hakuna hiyo kitu ngosha hata huko ulaya mtu anaamka anaenda kusotea kula yake , shukuru mungu kupata huo muda wa kuendasha hiyo bodaboda yako unasaka tonge kuna nchi hata hiyo nafasi ya kuendesha boda hawapati.ππ Hivi mtu anayelala njaa na hajui kesho atakula nini unaweza kusema ana amani?!
Hao akina Mwabukusi hawana wa kumtisha .labda wakatishe walevi wenzao huko.Ameonyesha udhaifu sana, hapa kina mwabukusu wataona kumbe ana tabia za kike kabisa wacha tumkere sasa
Hata kama ni uchawa, wangejaribu kutafuta wenye uafadhali kiakili.Kwani Chadema na TEC si wapo Kwanini wasimpe chakula hadi alale na njaa? Hizo fikra za watu wavivu usijidanganye eti siku wapinzani wakishika dola watakuletea ugali nyumban kwako umelala tu, hakuna hiyo kitu ngosha hata huko ulaya mtu anaamka anaenda kusotea kula yake , shukuru mungu kupata huo muda wa kuendasha hiyo bodaboda yako unasaka tonge kuna nchi hata hiyo nafasi ya kuendesha boda hawapati.