Rais Samia amvua hadhi ya Ubalozi Dkt. Slaa

Rais Samia amvua hadhi ya Ubalozi Dkt. Slaa

Mjinga ndo anazidi kuharibuuuu


Huyu hata akisimamishwa mwenyewe na Kimvuli.


Asubuh haiishi, Kimvuli kimeshinda.


Hili lmtu, litegemee tu Polisi.
Huna akili wewe. Kwa Taarifa yako ni kuwa hakuna mwenye ubavu wa kumshinda Rais samia katika sanduku la kura. Hata CCM isipopiga Kampeni bado itapita kwa kishindo
 
Amani kila mtu anaitaka, lakini kamwe haipaswi kutumiwa kama fimbo ya kuwachapia walalahoi panapotokea unfair distribution of resources na wao (walala hoi) kuanza kulalamika na kuwatishia eti "mkiendelea kulalamika amani itatoweka na mtashindwa hata kushika simu", huo ni upuuzi.
Kama unaitaka amani huwezi shabikia uvunjifu wa amani kwa maslah ya chama fulan au kikundi cha watu flana lbda uwe mwenda wazimu, wewe kati wale waliokaandaman dar ul
Amani kila mtu anaitaka, lakini kamwe haipaswi kutumiwa kama fimbo ya kuwachapia walalahoi panapotokea unfair distribution of resources na wao (walala hoi) kuanza kulalamika na kuwatishia eti "mkiendelea kulalamika amani itatoweka na mtashindwa hata kushika simu", huo ni upuuzi.
Hujui unachozungumzia, Mtu mwenye Akili timamu hawezi kuunga mkono uvunjifu wa aman kwa sababu ya chama fulan au kikundi fulan cha watu wanaojali maslah yao chini ya kuvuli cha uzalendo, vp yale maandamano ya kwanza ulikuwepo?
 
Ni kama ukurasa Mpya wa Siasa umefunguliwa

Hawa akina Mwabukusi hawana hofu ya kunyimwa Ruzuku kama walivyo ACT Wazalendo

Jimmy Kerry, Jimmy Brown and Fred Williamson

Mlale Unono 😀😀
 
😆😆 Hivi mtu anayelala njaa na hajui kesho atakula nini unaweza kusema ana amani?!
Kwani Chadema na TEC si wapo Kwanini wasimpe chakula hadi alale na njaa? Hizo fikra za watu wavivu usijidanganye eti siku wapinzani wakishika dola watakuletea ugali nyumban kwako umelala tu, hakuna hiyo kitu ngosha hata huko ulaya mtu anaamka anaenda kusotea kula yake , shukuru mungu kupata huo muda wa kuendasha hiyo bodaboda yako unasaka tonge kuna nchi hata hiyo nafasi ya kuendesha boda hawapati.
 
Kwani Chadema na TEC si wapo Kwanini wasimpe chakula hadi alale na njaa? Hizo fikra za watu wavivu usijidanganye eti siku wapinzani wakishika dola watakuletea ugali nyumban kwako umelala tu, hakuna hiyo kitu ngosha hata huko ulaya mtu anaamka anaenda kusotea kula yake , shukuru mungu kupata huo muda wa kuendasha hiyo bodaboda yako unasaka tonge kuna nchi hata hiyo nafasi ya kuendesha boda hawapati.
Hata kama ni uchawa, wangejaribu kutafuta wenye uafadhali kiakili.
 
Back
Top Bottom