Rais Samia amvua hadhi ya Ubalozi Dkt. Slaa

Am so happy,
F**k the old man,alichotufanyia 2020 ***** sitasahau ***** zake
 
Mtu kama huyu aliyevuliwa ubalozi akisimama agombee urais na mgombea wa ccm anaibuka mshindi asubuhi tu. Ubalozi si lolote na si chochote kwa mpigania maslahi ya taifa
 
Rais wa Visasi, Ndugai, Dr Slaa, Mwambukusi uhaini, Luvuvi, Kabudi, Polepole, Kalemani all on benchi, roho mbaya.
 
Ni kawaida ya ccm kuwatumia watu kama toilet paper! Kifuatacho hapo ni kukamatwa na kupandishwa kizimbani kwa mashtaka ya uchochezi
Wamfunge tu huyu Malaya wa kisiasa,***** zake alituuza 2020,mazafaka zake
 
Mtu kama huyu aliyevuliwa ubalozi akisimama agombee urais na mgombea wa ccm anaibuka mshindi asubuhi tu. Ubalozi si lolote na si chochote kwa mpigania maslahi ya taifa
Dr Slaa Ni mpigania Tumbo lake na siyo maslahi ya Taifa,ndio maana alikuwa anataka kuleta machafuko nchini ili akimbilie nje ya nchi.
 
Wee jamaa falaaa.

Sa100 hapati hata kura yako, yaan hata wewe mwenyewe huwezi kumpa.

Mbele ya Jamii, mnajitia Upumbavu ili mpate Teuzi.
Nitampa kura yangu kama ambavyo mamilioni ya watanzania walivyojiandaa kumpigia kura za ndio kwa kishindoo,ili aendelee kusalia madarakani na kuendelea na kazi aliyoianza ya kuwatumikia watanzania
 
"Hadhi ya Ubalozi"?

Hiyo ni kitu gani ukilinganisha na "Hadhi ya Kupambania nchi"?
Ni mtanganyika, Mtanzania amepambana kuhusu maslaji ya Tanganyika na Tanzania zaidi ya SSH.
 
kizazi cha sasa kina uwezo mdogo sana wa kufikiri mambo.....

Dr slaa amekuwa wazi kwenye misimamo yake tangu enzi na enzi.... na ni mtu anaetetea maslahi ya taifa..
kuvuliwa hadhi ya ubalizi kwake hakuwezi kumyumbisha....
 
Mzee ashikilie hapohapo
Heshima atakayoijenga kwa jamii ni kubwa sana kuliko hiyo ya ubalozi.
Haamini kwa mtanzania yeyote yule mwenye akili Timamu na mwenye kujitambua,maana kila mtu anafahamu kuwa Slaa ni msaliti na mchumia Tumbo tu
 
Hujui unachozungumzia, Mtu mwenye Akili timamu hawezi kuunga mkono uvunjifu wa aman kwa sababu ya chama fulan au kikundi fulan cha watu wanaojali maslah yao chini ya kuvuli cha uzalendo, vp yale maandamano ya kwanza ulikuwepo?
Pahala panapofanyika dhuluma kamwe hapawezi kuwa na amani.
 
Dr Slaa Ni mpigania Tumbo lake na siyo maslahi ya Taifa,ndio maana alikuwa anataka kuleta machafuko nchini ili akimbilie nje ya nchi.
Machafuko yapi??

Kwa Sasa Kuna tatizo la Umeme, na mgao wa maji.

Wewe kama MwanaCCM kindakindaki usiye na akili.

Embu ishauri Serikali ifanye nn, kuhakikisha suala la maji na Umeme, vinakua ni hadithi?.

Kama Suala la hizi sheria za KIJIZI zilokua zimeletwa bungeni, baada ya Mwabukusi na Watanzania makini kusimama, Serikali inajirudi nyuma... Una maoni gani kuhusu hili??.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…