Huyu SSH ni katili sana, Ndugai aliomba msahama, akatimuliwa.kizazi cha sasa kina uwezo mdogo sana wa kufikiri mambo.....
Dr slaa amekuwa wazi kwenye misimamo yake tangu enzi na enzi.... na ni mtu anaetetea maslahi ya taifa..
kuvuliwa hadhi ya ubalizi kwake hakuwezi kumyumbisha....
Kwa hiyo kwa akili yako unafikiri kuna mwenye akili Timamu anayeweza kuvumilia maneno na matendo ya kihaini ya Dr Slaa? Yaani mtu atamke maneno ya hatari kwa usalama wa Taifa halafu achekewe tu?Samia anajifanya mtu wa dini, mpenda maridhiano nk, kumbe ana vinyongo na visasi moyoni
Wanawake hampendani sijui kwaniniFeminist watanipiga mawe ila ukweli ndio huo.
taahira ni wewe usiye na adabu wala akili kichwaniHuyo ndio yule rais wenu wa anaupiga mwingi na kufungua nchi!
Huyu bibi ni taahira kabisa!
Uhaini wa Slaa ni kukosoa hiyo IGA?...Safi sana huwezi kuwa mhaini balozi wa nchi. Kule russia Putin kamuua kabisa Prigohzin
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Hakuna mahali ambako mh Rais samia hakubaliki. Anakubalika na kupendwa kila kona ya Taifa letu.kutokana na uchapa kazi wake pamoja na kupeleka maendeleo kila eneo pasipo upendeleo wala ubaguzi wa aina yoyote ile.Huyu mama abdul atakwama tu kanda ya ziwa, CCM kazi mnayo 2025, mtaibaaa wee ila safari hiiiiiii safari kurahii haziibiki....
Kanda ya Ziwa, chimbuko la mabadiliko.
Kwahiyo ni padre mpaka sasa?Una uhakika alivuliwa upadre Chief
Basi yaishe slaa bado ni padre. Umefurahi sasa?Mwingine huyu....
Mmekazana amevuliwa Upadre, mnaelewa maana ya upadre lakini?
Mwanamke akisema tena kuhusu mwanamke = "wanawake hampendani"Wanawake hampendani sijui kwanini
KhaaaaKanisa Moja Takatifu la Mitume [emoji3]
Dr Slaa amekataliwa kote kote!
Sasa mbona slaa hajaachiwa huo upadre? Alifanya nini kanisani? Tuwekeni wazi.Kwanza Upadri huwa hauvuliwi unaweza kuavhwa usitoe huduma ila unabakia na Upadri wako maisha yote
Yani amenifanya nijue kuwa Dr Slaa ni mbobezi na mahiri wa lughaAmeonyesha udhaifu sana, hapa kina mwabukusu wataona kumbe ana tabia za kike kabisa wacha tumkere sasa
Hivi unaweza kumlinganidha Dr Slaa na Tundu Lissu au freeman Mbowe na CHADEMA kwa ujumla jinsi ambavyo wanauchambua mkataba wa bandari ktk namna ya kuidhalilisha na kuivua nguo serikali?Hakuna mahali ambako mh Rais samia hakubaliki. Anakubalika na kupendwa kila kona ya Taifa letu.kutokana na uchapa kazi wake pamoja na kupeleka maendeleo kila eneo pasipo upendeleo wala ubaguzi wa aina yoyote ile.
Acha kunajisi kanisa katoliki wewe. Slaa kaishi na mushumbusi mpaka na watoto wamezaa ni wapi kanisa linabariki mapadre wazae na wanawake?πππ mtu anakwambia Upadre unavuliwa.
Daraja takatifu linavuliwa? na nani?
Hiyo ni alama ya milele, haitoki mpaka kufa.
Mbona unapanic?Mke yupi? Kwani alimuoa Mama yako? Tusaidie hili