KingCobra95
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,249
- 5,863
Such a "female" move...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katiba inasemaje?
Hiki ni kisasi au
Hii nchi ngumu sana
Nyie haya
Mmeshika mpini
Slaa anza kuunguruma sasa ndio wajue ni sawa na kumsukuma mlevi
Yah inaleta zaid ya ugali sababu anapewa huduma zote za ki vip iwe ndani au nje ya tz na ilikuwa ana passport ya diplomat but now mkavu tu hata kuruta anamkwida mkandaKwani hiyo hadhi pek yake inaleta ugali mezani??
Duh!...wameamua kumkomesha sio?....muhimu wasimnyime pension tu.DKt Wilbroad Slaa amevuliwa hadhi ya ubalozi kuanzia leo Septemba 1, 2023.
Taarifa imetolewa hivi punde na Ikulu katika mtandao wa kijamii wa X ama Twitter.
Dkt Slaa alipewa hadhi hiyo mwaka 2017.
View attachment 2735976
Upadri kavuliwa.DKt Wilbroad Slaa amevuliwa hadhi ya ubalozi kuanzia leo Septemba 1, 2023.
Taarifa imetolewa hivi punde na Ikulu katika mtandao wa kijamii wa X ama Twitter.
Hayati Rais John Pombe Magufuli alimteua Dkt. Willibroad Slaa ambaya ni Katibu Mkuu wa zamani wa chama cha Upinzani, CHADEMA kuwa Balozi mnamo Novemba 23, 2017
View attachment 2735976
Oparesheni imeeanza Vua gwanda Vaa gamba la kijani # kazi iendeleeDKt Wilbroad Slaa amevuliwa hadhi ya ubalozi kuanzia leo Septemba 1, 2023.
Taarifa imetolewa hivi punde na Ikulu katika mtandao wa kijamii wa X ama Twitter.
Hayati Rais John Pombe Magufuli alimteua Dkt. Willibroad Slaa ambaya ni Katibu Mkuu wa zamani wa chama cha Upinzani, CHADEMA kuwa Balozi mnamo Novemba 23, 2017
View attachment 2735976
Hiyo hawajamvisha wao.....Bado kumvua u Dr (PhD)… ha haaa
Alipokuwa anaushi Canada alikuwa na hiyo hadhi?Yah inaleta zaid ya ugali sababu anapewa huduma zote za ki vip iwe ndani au nje ya tz na ilikuwa ana passport ya diplomat but now mkavu tu hata kuruta anamkwida mkanda
"Hadhi ya Ubalozi"?DKt Wilbroad Slaa amevuliwa hadhi ya ubalozi kuanzia leo Septemba 1, 2023.
Taarifa imetolewa hivi punde na Ikulu katika mtandao wa kijamii wa X ama Twitter.
Dkt Slaa alipewa hadhi hiyo mwaka 2017.
View attachment 2735976
😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃 Una point nzuriKwani alikua bado ni Balozi??
Heshima yake kwa Mungu na wanadamu hajavuliwaUpadri kavuliwa.
Ubalozi kavuliwa
Imebaki nini???