Rais Samia amvua hadhi ya Ubalozi Dkt. Slaa

Rais Samia amvua hadhi ya Ubalozi Dkt. Slaa

Katiba inasemaje?
Hiki ni kisasi au
Hii nchi ngumu sana
Nyie haya
Mmeshika mpini
Slaa anza kuunguruma sasa ndio wajue ni sawa na kumsukuma mlevi
Screenshots_2023-09-01-19-25-33.jpg
 
DKt Wilbroad Slaa amevuliwa hadhi ya ubalozi kuanzia leo Septemba 1, 2023.
Taarifa imetolewa hivi punde na Ikulu katika mtandao wa kijamii wa X ama Twitter.

Hayati Rais John Pombe Magufuli alimteua Dkt. Willibroad Slaa ambaya ni Katibu Mkuu wa zamani wa chama cha Upinzani, CHADEMA kuwa Balozi mnamo Novemba 23, 2017

View attachment 2735976
Upadri kavuliwa.
Ubalozi kavuliwa
Imebaki nini???
 
DKt Wilbroad Slaa amevuliwa hadhi ya ubalozi kuanzia leo Septemba 1, 2023.
Taarifa imetolewa hivi punde na Ikulu katika mtandao wa kijamii wa X ama Twitter.

Hayati Rais John Pombe Magufuli alimteua Dkt. Willibroad Slaa ambaya ni Katibu Mkuu wa zamani wa chama cha Upinzani, CHADEMA kuwa Balozi mnamo Novemba 23, 2017

View attachment 2735976
Oparesheni imeeanza Vua gwanda Vaa gamba la kijani # kazi iendelee
 
Safi,Hongera Mh Rais Hatuwezi Kuwaweka Kwenye Mamlaka Watu Wanao Hamasisha Uvunjifu wa Amani Kwa Maslahi Yao Binafsi Hali ya Kuwa Atakaeteseka Ni Mwananchi Maskini Asie Na Pesa Ya Kukimbia Nchi Wakati Wa Machafuko.
 
DKt Wilbroad Slaa amevuliwa hadhi ya ubalozi kuanzia leo Septemba 1, 2023.
Taarifa imetolewa hivi punde na Ikulu katika mtandao wa kijamii wa X ama Twitter.

Dkt Slaa alipewa hadhi hiyo mwaka 2017.

View attachment 2735976
"Hadhi ya Ubalozi"?

Hiyo ni kitu gani ukilinganisha na "Hadhi ya Kupambania nchi"?

Kwa hiyo hii ndiyo njia inayowanyamazisha wajaza matumbo kama akina Kabudi na wengine wengi wasivuliewe "Hadhi"?
 
Back
Top Bottom