Rais Samia amvua hadhi ya Ubalozi Dkt. Slaa

Childish move!!!
 
Halafu ni bogaz 🤣 na asivyo na akili hajui kuwa hapo ndio kampa Kiki kubwa sana slaa, labda slaa akamatwe au afe. Ndio patakua kimya


Ila slaa alivyomkorofi ndio atatema cheche zaidi. Maana slaa akiongelea ishu ya DP world huwa anamshambulia bitozo moja kwa moja
 
isingewezekana kuendelea kuinjoy privileges and immunities za kua hadhi ya balozi kitaifa na kimataifa hali ya kua ukosoaji wake sio wa kidiplomasia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…