Rais Samia amvua hadhi ya Ubalozi Dkt. Slaa

Rais Samia amvua hadhi ya Ubalozi Dkt. Slaa

Magufuli alivyokuwa anatumia mabavu muda mwingine, si ajabu alikuwa anamuona mjinga[emoji23][emoji1787]
Akasema yeye hatatumia mabavu,ni mtu wa maridhiano


Unadhani uvumilivu mchezo?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Labda uvae ngozi ya chui.
 
Kwa Hakika mh Rais amefanya jambo lililokonga na kukosha mioyo ya watanzania,Ameziteka nyoyo za watanzania ndani ya muda mfupi sana,amefanya jambo la kipekee ,la kijasiri na kishujaa sanaa. Niliandika humu kuwa Dr Slaa Hastahili Kuendelea kuwa kupewa heshima ya ubalozi.hakustahili kabisa kuwa nawadhifa huo mpaka muda huo. Safi sana Mh Rais,hongera sana mama yangu kwa hatua hii ya kishujaa na kijasiri inayoendelea kuungwa mkono na wengi.
Umesahau kuweka namba yako ya simu komredi Mwashambwa [emoji16]
 
Km walimvisha basi ni haki yao kumvua kwani walichomvisha kilikuwa ni chao na ni haki yao kukichukua.
Ila hawawezi kumvua fikra zake na uzalendo wake kwenye nchi hii
Mama Abduly ni dicteta mbaya zaidi.

Ni heri ukutane na mwanaume mchawi kuliko mwanamke mchawi!
 
Mzee wa kuvuliwa
-Upadri
-Unachama CCM
-Unachama CDM
-Ndoa
-Ubalozi

To be continued...
 
Tujifunze kuheshimu maamuzi ya watu.
Nafikiri Slaa alifanya maamuzi sahihi kuliko hata Mbowe.

Angewezaje kukaa meza moja na Lowasa ambaye yeye alimtaja kuwa ni fisadi na eti anapewa ridhaa ya kugombea uraisi kupitia Chadema?

Slaa pekee ndiye alisimamia maneno yake aliyoyatamka
Usaliti ulio onyeshwa na mzee Slaa dhidi ya Chadema wakati wa awamu ya tano sio wa kusamehewa hata kidogo.

Slaa kipindi cha jpm aligeuka kuwa nyoka mwenye sumu kali dhidi ya viongozi wa chadema na ikapelekea viongozi hao kuwa kwenye wakati mgumu haijawahi kutokea!!

Slaa alipaswa awe adui namba moja wa chadema.
 
Nashangaa kwanini Chadema wanashangilia Dr silaa kuvuliwa ubalozi
Dr. Slaa na yule Le'professor ni wasariti mithili ya Yuda walinunuliwa kwa vipande thenashara vya fedha wakatumika kuharibu upinzani lakini leo hii hawana thamani tena ni kama makapi ya ngano!
 
Back
Top Bottom