Rais Samia amvua hadhi ya Ubalozi Dkt. Slaa

Rais Samia amvua hadhi ya Ubalozi Dkt. Slaa

Wewe akili yako hua inawaza upumbavu wa mambo ya kishirikina tu,chakusikitisha kuna wapuuzi hua wanakuona wa maana kwa kujaza issue za mambo yakusadikika humu,Dunia inaenda kwa kasi sana kwenye teknolojia ila wewe akili yako iliishia kuwaza upuuzi wa ushirikina tu.
Vipi mkuu jamaa kakukosea nini huyu?
Au ulimkuta chumbani kwa mamako kajifunga taulo la mdingi wako?
 
Kwahiyo nikiwa kwenye media let say nikamu address kama Balozi dkt Slaa ni kosa kisheria? Consequence zake ni zipi?
 
Nisiwe mnafiki!

Binafsi siiafiki ishu ya bandari na DPW. Ila nafurahia sana uamuzi wa Rais kumvua hadhi Dr Slaa. Huyu ni msaliti wa hali ya juu. Aliisaliti Chadema kipindi ambacho ilikuwa inahitaji nguvu ya pamoja ya kila mtu. Akakimbia na kuanza kuitukana Chadema. Alikuwa na nyodo sana. Akasema, hapendi wanaosema Mbowe sio Gaidi. Akasema, suala la Lissu kupigwa risasi ni jambo la kawaida kabisa.

Werawera Samiaaaaah!!! Acha aumbuke
Katika hili huyu mzee anastahili kuvuna alichopanda!
 
Mbona slaa anavuliwa kila kitu?
1. Walimvua upadri
2. Wakamvua ukatibu mkuu chadema
3. Wakamvua ubunge
4. Wakamvua Josephine kule Canada
5.Leo wamemvua ubalozi
6. Kitu gani kimebaki tumvue?
Nguo
 
Kwani Huwa sababu inaelezwa kavuliwa kwa kanuni ipi,au ndo Yale ya chuki zetu waswahili
 
Usaliti ulio onyeshwa na mzee Slaa dhidi ya Chadema wakati wa awamu ya tano sio wa kusamehewa hata kidogo.

Slaa kipindi cha jpm aligeuka kuwa nyoka mwenye sumu kali dhidi ya viongozi wa chadema na ikapelekea viongozi hao kuwa kwenye wakati mgumu haijawahi kutokea!!

Slaa alipaswa awe adui namba moja wa chadema.
Nadhan bwana yule kanisa lao lilikuwa moko
 
Mbona haongozi misa na kutoa huduma za kiroho kama bado ni padre. Au padre wa mchongo
Bro ndio maana nakuambia hujui taratibu wa kanisa. One's umekuwa padre imepita hiyo. Yule katoka altaren lakin kanisa linamtambua ni Padre na sehem yoyote yenye imejens ikimkuta anaendesha ibada kama kawaida.
 
Tunataka tujue sababu za Dr Slaa kuvuliwa hadhi ya ubalozi sio hizi blah blah wanazoleta humu chawa wa mama Abduly.
Je ni kugoma kwake hadharani bandari kugaiwa bure kwa mwarabu?
Km ndivyo umaarufu wa Dd Slaa umeongezeka maradufu.
Wengi tupo upande wake
 
Kwa hiyo kwa akili yako unafikiri kuna mwenye akili Timamu anayeweza kuvumilia maneno na matendo ya kihaini ya Dr Slaa? Yaani mtu atamke maneno ya hatari kwa usalama wa Taifa halafu achekewe tu?
Haini ni yeye anayeuza maliasili za Tanganyika kinyemela kwa wajomba zake
 
Back
Top Bottom