Rais Samia amwaga mabilioni ya fedha za ruzuku ya maendeleo jimboni Ludewa- Njombe

Rais Samia amwaga mabilioni ya fedha za ruzuku ya maendeleo jimboni Ludewa- Njombe

BWANKU M BWANKU

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2019
Posts
377
Reaction score
435
RAIS SAMIA AMWAGA MABILIONI YA FEDHA ZA RUZUKU YA MAENDELEO JIMBONI LUDEWA- NJOMBE.

"Asante sana Mhe. Rais Samia Samia Suluhu Hassan kwa Fedha nyingi za Ruzuku ya Miradi ya Maendeleo kwenye Jimbo letu la Ludewa. Haijawahi kutokea fedha kuletwa mapema hivyo kabla ya msimu wa mvua kuanza, hii imetoa nafasi kwa wananchi kukamilisha miradi hiyo mapema.

FEDHA ZA RUZUKU YA MIRADI Tshs. 2,666,750,000.00 Jimboni Ludewa.

1. Jengo la utawala Tshs. 900,000,000.00
2. Hospitali Tshs. 900,000,000.00
3. Nyumba ya DED Tshs. 150,000,000.00
4. Ukamilishaji zahanati Tshs. 100,000,000.00
5. Ukamilishaji madarasa msingi Tshs. 118,750,000.00
6. Ujenzi wa madarasa msingi Tshs. 180,000,000.00
7. Ujenzi nyumba za walimu mazingira magumu Tshs. 200,000,000.00
8. Ukamamilishaji wa bwalo sekondari ya mundindi Tshs. 50,000,000.00
9. Ukamilishaji wa bweni Mchuchuma sekondari Tshs. 20,000,000.00
10. Ukamilishaji wa bweni Elimu maalum Tshs. 20,000,000.00
11. Ujenzi wa uzio Elimu maalum Tshs. 30,000,000.00

Mbunge wa Ludewa Mkoani Njombe Mhe. Joseph Kamonga.
 

Attachments

  • FB_IMG_1664868887930.jpg
    FB_IMG_1664868887930.jpg
    82.3 KB · Views: 3
Huyu mama basi ana pesa nyingi, sijui lini ataanza tumia za serikali.
 
RAIS SAMIA AMWAGA MABILIONI YA FEDHA ZA RUZUKU YA MAENDELEO JIMBONI LUDEWA- NJOMBE.

"Asante sana Mhe. Rais Samia Samia Suluhu Hassan kwa Fedha nyingi za Ruzuku ya Miradi ya Maendeleo kwenye Jimbo letu la Ludewa. Haijawahi kutokea fedha kuletwa mapema hivyo kabla ya msimu wa mvua kuanza, hii imetoa nafasi kwa wananchi kukamilisha miradi hiyo mapema.

FEDHA ZA RUZUKU YA MIRADI Tshs. 2,666,750,000.00 Jimboni Ludewa.

1. Jengo la utawala Tshs. 900,000,000.00
2. Hospitali Tshs. 900,000,000.00
3. Nyumba ya DED Tshs. 150,000,000.00
4. Ukamilishaji zahanati Tshs. 100,000,000.00
5. Ukamilishaji madarasa msingi Tshs. 118,750,000.00
6. Ujenzi wa madarasa msingi Tshs. 180,000,000.00
7. Ujenzi nyumba za walimu mazingira magumu Tshs. 200,000,000.00
8. Ukamamilishaji wa bwalo sekondari ya mundindi Tshs. 50,000,000.00
9. Ukamilishaji wa bweni Mchuchuma sekondari Tshs. 20,000,000.00
10. Ukamilishaji wa bweni Elimu maalum Tshs. 20,000,000.00
11. Ujenzi wa uzio Elimu maalum Tshs. 30,000,000.00

Mbunge wa Ludewa Mkoani Njombe Mhe. Joseph Kamonga.
Machawa mnakazi kweli kweli lakini mwisho wa siku watawala wanawatumia kama kondomu
 
Tutafikia generation makini huko mbele, japo naona vijana wengi hawana muamko wa siasa Chadema wanalojukumu la kuwavuta vijana kwenye siasa, tusipowapa watawala challenges wanajisahau.
 
RAIS SAMIA AMWAGA MABILIONI YA FEDHA ZA RUZUKU YA MAENDELEO JIMBONI LUDEWA- NJOMBE.

"Asante sana Mhe. Rais Samia Samia Suluhu Hassan kwa Fedha nyingi za Ruzuku ya Miradi ya Maendeleo kwenye Jimbo letu la Ludewa. Haijawahi kutokea fedha kuletwa mapema hivyo kabla ya msimu wa mvua kuanza, hii imetoa nafasi kwa wananchi kukamilisha miradi hiyo mapema.

FEDHA ZA RUZUKU YA MIRADI Tshs. 2,666,750,000.00 Jimboni Ludewa.

1. Jengo la utawala Tshs. 900,000,000.00
2. Hospitali Tshs. 900,000,000.00
3. Nyumba ya DED Tshs. 150,000,000.00
4. Ukamilishaji zahanati Tshs. 100,000,000.00
5. Ukamilishaji madarasa msingi Tshs. 118,750,000.00
6. Ujenzi wa madarasa msingi Tshs. 180,000,000.00
7. Ujenzi nyumba za walimu mazingira magumu Tshs. 200,000,000.00
8. Ukamamilishaji wa bwalo sekondari ya mundindi Tshs. 50,000,000.00
9. Ukamilishaji wa bweni Mchuchuma sekondari Tshs. 20,000,000.00
10. Ukamilishaji wa bweni Elimu maalum Tshs. 20,000,000.00
11. Ujenzi wa uzio Elimu maalum Tshs. 30,000,000.00

Mbunge wa Ludewa Mkoani Njombe Mhe. Joseph Kamonga.
RAIS SAMIA AMWAGA MABILIONI YA FEDHA ZA RUZUKU YA MAENDELEO JIMBONI LUDEWA- NJOMBE.

"Asante sana Mhe. Rais Samia Samia Suluhu Hassan kwa Fedha nyingi za Ruzuku ya Miradi ya Maendeleo kwenye Jimbo letu la Ludewa. Haijawahi kutokea fedha kuletwa mapema hivyo kabla ya msimu wa mvua kuanza, hii imetoa nafasi kwa wananchi kukamilisha miradi hiyo mapema.

FEDHA ZA RUZUKU YA MIRADI Tshs. 2,666,750,000.00 Jimboni Ludewa.

1. Jengo la utawala Tshs. 900,000,000.00
2. Hospitali Tshs. 900,000,000.00
3. Nyumba ya DED Tshs. 150,000,000.00
4. Ukamilishaji zahanati Tshs. 100,000,000.00
5. Ukamilishaji madarasa msingi Tshs. 118,750,000.00
6. Ujenzi wa madarasa msingi Tshs. 180,000,000.00
7. Ujenzi nyumba za walimu mazingira magumu Tshs. 200,000,000.00
8. Ukamamilishaji wa bwalo sekondari ya mundindi Tshs. 50,000,000.00
9. Ukamilishaji wa bweni Mchuchuma sekondari Tshs. 20,000,000.00
10. Ukamilishaji wa bweni Elimu maalum Tshs. 20,000,000.00
11. Ujenzi wa uzio Elimu maalum Tshs. 30,000,000.00

Mbunge wa Ludewa Mkoani Njombe Mhe. Joseph Kamonga.
RAIS SAMIA AMWAGA MABILIONI YA FEDHA ZA RUZUKU YA MAENDELEO JIMBONI LUDEWA- NJOMBE.

"Asante sana Mhe. Rais Samia Samia Suluhu Hassan kwa Fedha nyingi za Ruzuku ya Miradi ya Maendeleo kwenye Jimbo letu la Ludewa. Haijawahi kutokea fedha kuletwa mapema hivyo kabla ya msimu wa mvua kuanza, hii imetoa nafasi kwa wananchi kukamilisha miradi hiyo mapema.

FEDHA ZA RUZUKU YA MIRADI Tshs. 2,666,750,000.00 Jimboni Ludewa.

1. Jengo la utawala Tshs. 900,000,000.00
2. Hospitali Tshs. 900,000,000.00
3. Nyumba ya DED Tshs. 150,000,000.00
4. Ukamilishaji zahanati Tshs. 100,000,000.00
5. Ukamilishaji madarasa msingi Tshs. 118,750,000.00
6. Ujenzi wa madarasa msingi Tshs. 180,000,000.00
7. Ujenzi nyumba za walimu mazingira magumu Tshs. 200,000,000.00
8. Ukamamilishaji wa bwalo sekondari ya mundindi Tshs. 50,000,000.00
9. Ukamilishaji wa bweni Mchuchuma sekondari Tshs. 20,000,000.00
10. Ukamilishaji wa bweni Elimu maalum Tshs. 20,000,000.00
11. Ujenzi wa uzio Elimu maalum Tshs. 30,000,000.00

Mbunge wa Ludewa Mkoani Njombe Mhe. Joseph Kamonga.
Yaani nyie Mbwa hamioni hata aibu,Raisi emetoa wapi pesa za kugawa?
Yaana Raisi ana pesa binafisi kuliko hata serikali ya Zanzibar?
 
RAIS SAMIA AMWAGA MABILIONI YA FEDHA ZA RUZUKU YA MAENDELEO JIMBONI LUDEWA- NJOMBE.

"Asante sana Mhe. Rais Samia Samia Suluhu Hassan kwa Fedha nyingi za Ruzuku ya Miradi ya Maendeleo kwenye Jimbo letu la Ludewa. Haijawahi kutokea fedha kuletwa mapema hivyo kabla ya msimu wa mvua kuanza, hii imetoa nafasi kwa wananchi kukamilisha miradi hiyo mapema.

FEDHA ZA RUZUKU YA MIRADI Tshs. 2,666,750,000.00 Jimboni Ludewa.

1. Jengo la utawala Tshs. 900,000,000.00
2. Hospitali Tshs. 900,000,000.00
3. Nyumba ya DED Tshs. 150,000,000.00
4. Ukamilishaji zahanati Tshs. 100,000,000.00
5. Ukamilishaji madarasa msingi Tshs. 118,750,000.00
6. Ujenzi wa madarasa msingi Tshs. 180,000,000.00
7. Ujenzi nyumba za walimu mazingira magumu Tshs. 200,000,000.00
8. Ukamamilishaji wa bwalo sekondari ya mundindi Tshs. 50,000,000.00
9. Ukamilishaji wa bweni Mchuchuma sekondari Tshs. 20,000,000.00
10. Ukamilishaji wa bweni Elimu maalum Tshs. 20,000,000.00
11. Ujenzi wa uzio Elimu maalum Tshs. 30,000,000.00

Mbunge wa Ludewa Mkoani Njombe Mhe. Joseph Kamonga.
Pesa hizo mahala pole uliposema zitaenda napajuwa.Ila nakukosna hela hajatowa rais imetowa serikali.Rekebisha heading elimu yako haikusaiidii et?
 
RAIS SAMIA AMWAGA MABILIONI YA FEDHA ZA RUZUKU YA MAENDELEO JIMBONI LUDEWA- NJOMBE.

"Asante sana Mhe. Rais Samia Samia Suluhu Hassan kwa Fedha nyingi za Ruzuku ya Miradi ya Maendeleo kwenye Jimbo letu la Ludewa. Haijawahi kutokea fedha kuletwa mapema hivyo kabla ya msimu wa mvua kuanza, hii imetoa nafasi kwa wananchi kukamilisha miradi hiyo mapema.

FEDHA ZA RUZUKU YA MIRADI Tshs. 2,666,750,000.00 Jimboni Ludewa.

1. Jengo la utawala Tshs. 900,000,000.00
2. Hospitali Tshs. 900,000,000.00
3. Nyumba ya DED Tshs. 150,000,000.00
4. Ukamilishaji zahanati Tshs. 100,000,000.00
5. Ukamilishaji madarasa msingi Tshs. 118,750,000.00
6. Ujenzi wa madarasa msingi Tshs. 180,000,000.00
7. Ujenzi nyumba za walimu mazingira magumu Tshs. 200,000,000.00
8. Ukamamilishaji wa bwalo sekondari ya mundindi Tshs. 50,000,000.00
9. Ukamilishaji wa bweni Mchuchuma sekondari Tshs. 20,000,000.00
10. Ukamilishaji wa bweni Elimu maalum Tshs. 20,000,000.00
11. Ujenzi wa uzio Elimu maalum Tshs. 30,000,000.00

Mbunge wa Ludewa Mkoani Njombe Mhe. Joseph Kamonga.
Safi sana Rais Samia Suluhu anahakikisha kila sehemu ya Tanzania anafanya maendeleo katika sekta muhimu zinazomgusa direct mwananchi
 
Pesa hizo mahala pole uliposema zitaenda napajuwa.Ila nakukosna hela hajatowa rais imetowa serikali.Rekebisha heading elimu yako haikusaiidii et?
Kwani kiongozi wa serikali ni nani acha makasiliko Rais Samia Suluhu anaupiga mwingi sana
 
Pesa zimetoka katika serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu kwaiyo hakuna kilichokosewa ni wewe tu unakaza ubongo
unajua ni jukumu la serikali kuhudumia wananchi na pia sio ombi wala msaada ...
 
Back
Top Bottom