Rais Samia ana dalili za kuwa Rais bora kama Nyerere na Mkapa. Anaonekana kuwaacha mbali Magufuli na Kikwete

Rais Samia ana dalili za kuwa Rais bora kama Nyerere na Mkapa. Anaonekana kuwaacha mbali Magufuli na Kikwete

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
16,295
Reaction score
33,994
Tunajua Urais ni Taasisi Rais bora ni yupi?

Mkweli hata Kama Ukweli unauma ila anausema hata Samia na NYERERE wako kapu moja, tumeshuhudia mara kadhaa nyerere alisema kuna rushwa ndani ya serikali yake na Samia akwepeshi maneno anasema wazi na Ku Sema alipo kosea Rais alomtangulia Kama alivyofanya Nyerere Kwa Mwinyi,

Samia ni Rais wa Kwanza Mwanamke ana changamoto kubwa Kama alivyokuwa Rais wa kwanza Mwanaume NYERERE na changamoto kadhaa!!

Samia tunapokosa pesa ya ndani anasema lazima tukope si Kama Magufuli alikuwa anapika data mpaka anajichanganya ! Samia anasema kwamba makusanyo ni… na Uchumi wetu si wa Kati Kama chuma alivyotuaminisha… shirika la ndege lina hasara si Kama Simba wa iskariote alivyo Sema ,…Kwamba Nidhamu pia ilikuwa ya uoga kazini si ya heshima….
Ame delegate power wasaidizi wake wanawajibika zaidi kuliko one man show…

Mzunguko wa pesa umekuja na nzuri zaidi Nina ndoto mwaka 2027 tutaanza mchakato wa KATIBA mpya atatutachia KATIBA safi.

Mama aendelee hadi 2030 achana na story za chuki mpaka hapo Mwinyi atakapo mrithi, watasema ooo lazima Rais awe mtanganyika , Mbona watanganyika wameongoza mara tatu mfululizo
Ni vi sentence vichache ila….

URAIS SI KUKAKAMAA USONI NARUDIA

Britanicca
 
hata mondi alikuwa na chawa wengi alipostuka kuwa ndio wanao mharibia grp lake la damu aliwapending kila mtu ajinadi kivyake

yuko wapi leo hii mamalevo?
yuko wapi leo hii rayvanny? n.k
gigy money?

na hata kwa watchundred itakuwa hivohivo
 
Tunajua Urais ni Taasisi Rais bora ni yupi?

Mkweli hata Kama Ukweli unauma ila anausema hata Samia na NYERERE wako kapu moja , tumeshuhudia mara kadhaa nyerere alisema kuna rushwa ndani ya serikali yake na Samia akwepeshi maneno anasema wazi na Ku Sema alipo kosea Rais alomtangulia Kama alivyofanya Nyerere Kwa Mwinyi,

Samia ni Rais wa Kwanza Mwanamke ana changamoto kubwa Kama alivyokuwa Rais wa kwanza Mwanaume NYERERE na changamoto kadhaa!!

Samia tunapokosa pesa ya ndani anasema lazima tukope si Kama Magufuli alikuwa anapika data mpaka anajichanganya ! Samia anasema kwamba makusanyo ni… na Uchumi wetu si wa Kati Kama chuma alivyotuaminisha… shirika la ndege lina hasara si Kama Simba wa iskariote alivyo Sema ,…. Kwamba Nidhamu pia ilikuwa ya uoga kazini si ya heshima….
Ame delegate power wasaidizi wake wanawajibika zaidi kuliko one man show…
Mzunguko wa pesa umekuja na nzuri zaidi Nina ndoto mwaka 2027 tutaanza mchakato wa KATIBA mpya atatutachia KATIBA safi,..

Mama aendelee hadi 2030 achana na story za chuki mpaka hapo Mwinyi atakapo mrithi, watasema ooo lazima Rais awe mtanganyika , Mbona watanganyika wameongoza mara tatu mfululizo
Ni vi sentence vichache ila….

URAIS SI KUKAKAMAA USONI NARUDIA

Britanicca
Brita!!
Spending nikuzodoe ila naheshimu uzi!!

Unajua tusiendekeze tabia ya kwamba fulani anafaa zaidi ya..
Tanzania ina watu wanafaa tu kwa URais sio lazima fulani aendele kuongoza hadi eti Mwinyi aje kwani nafasi aliyonayo sasa hivi haimtoshelezi hadi aje kuendelea Bara!! Huu ni uzandiki mtupu. Tuacheni kuwa waTumwa kwa kila kitu.

Sent from my SM-A115AZ using JamiiForums mobile app
 
Tunajua Urais ni Taasisi Rais bora ni yupi?

Mkweli hata Kama Ukweli unauma ila anausema hata Samia na NYERERE wako kapu moja , tumeshuhudia mara kadhaa nyerere alisema kuna rushwa ndani ya serikali yake na Samia akwepeshi maneno anasema wazi na Ku Sema alipo kosea Rais alomtangulia Kama alivyofanya Nyerere Kwa Mwinyi,

Samia ni Rais wa Kwanza Mwanamke ana changamoto kubwa Kama alivyokuwa Rais wa kwanza Mwanaume NYERERE na changamoto kadhaa!!

Samia tunapokosa pesa ya ndani anasema lazima tukope si Kama Magufuli alikuwa anapika data mpaka anajichanganya ! Samia anasema kwamba makusanyo ni… na Uchumi wetu si wa Kati Kama chuma alivyotuaminisha… shirika la ndege lina hasara si Kama Simba wa iskariote alivyo Sema ,…. Kwamba Nidhamu pia ilikuwa ya uoga kazini si ya heshima….
Ame delegate power wasaidizi wake wanawajibika zaidi kuliko one man show…
Mzunguko wa pesa umekuja na nzuri zaidi Nina ndoto mwaka 2027 tutaanza mchakato wa KATIBA mpya atatutachia KATIBA safi,..

Mama aendelee hadi 2030 achana na story za chuki mpaka hapo Mwinyi atakapo mrithi, watasema ooo lazima Rais awe mtanganyika , Mbona watanganyika wameongoza mara tatu mfululizo
Ni vi sentence vichache ila….

URAIS SI KUKAKAMAA USONI NARUDIA

Britanicca
Upuuzi mtupu huo mzunguko uko wapi Maisha ya watanzania yanazidi kuwa magumu gharama za bidhaa zinazidi kuongezeka bei aisee kweli Tanzania Uhuru umezidi mpaka MTU anaongea chochote hata kama haimake sense?
 
Dah inasikitisha kuona nchi yetu inazidi kuwa na taifa la watu wa hovyo kazi yao kusifiwa tu huku wananchi wanaumia!!

Halafu nyie wasifiaji muwe mnafikiri kabla hamjatoa ushuzi wenu mtandaoni. Ni kheri mkatulia na kukaa kimya.

Mnatia kinyaa
 
Haya ma crisis ya Dunia yatafanya urais wa Samia kuonekana mbaya, ila ni bonge la president...
Uwekezaji, ajira na maisha bora yalianza kurudi Tz kabla ya vitu kuanza kupanda bei, na mwisho wake haujulikani itakuwa lini
Karibia kila nchi isiyozalisha mafuta, kuna kilio cha inflation lakini kelele anapelekewa Samia
 
Vita imerudi tena kati ya Sukumagang vs Msogagang! Natamani huu mnyukano uende hivi hivi mpaka 2025!

Wengine mnamsifia, huku wengine wanamponda! Safi kabisa.
Yote kayaleta Mpina haya. Sukumagang ilisambaratishwa kww kumuondoa Kiroboto, kumbe kuna masalia akina Mpina. Atajua hajui tu.
 
Upuuzi mtupu huo mzunguko uko wapi Maisha ya watanzania yanazidi kuwa magumu gharama za bidhaa zinazidi kuongezeka bei aisee kweli Tanzania Uhuru umezidi mpaka MTU anaongea chochote hata kama haimake sense?
Utakuta jamaa akili yake imekua tako ndo maana watu wanakosa hoja za ksaidia nchi wana anzisha nyuzi za uchawa usiokua na maana kwa watanzania.

Hivi kwa hali iliyopo tanzania kwa sasa kunahitajika sifa za kijinga kweli?

Hata kama tunampenda huyo kiongozi basi tufiche aibu mpaka pale watu watakapo kuwa na hali nzuli kiuchumi.

Tupunguze sifa sisizo na maana kwa viongozi ili wawajibuke kwa wananchi.
 
Utakuta jamaa akili yake imekua tako ndo maana watu wanakosa hoja za ksaidia nchi wana anzisha nyuzi za uchawa usiokua na maana kwa watanzania.
Hivi kwa hali iliyopo tanzania kwa sasa kunahitajika sifa za kijinga kweli?
Hata kama tunampenda huyo kiongozi basi tufiche aibu mpaka pale watu watakpo kuwa na hali nzuli kiuchumi.

Tupunguze sifa sisizo na maana kwa viongozi ili wawajibuke kwa wananchi.
Ndiyo nakubaliana na wewe
 
Back
Top Bottom