Rais Samia ana dalili za kuwa Rais bora kama Nyerere na Mkapa. Anaonekana kuwaacha mbali Magufuli na Kikwete

Mwaka ujao watajenga vituo vya afya 304, hospital 28 ,,mwaka uliomalizika vituo vya afya 234,,Kwa Takwimu hizi kweli kuna Rais atamfikia Samia kweli ? Tuseme ukweli[emoji116]

View attachment 2182416

View attachment 2182417
Multiple effects ya hivi vituo vipya vya afya ni ajira rasmi afya na supportive employment watoa services kama banks, telecoms, transport, hotels, and trade. Ilifika kipindi graduate wa medicine wanamaliza degree na walikuwa wanakosa ajira. Ilifika kipindi waalimu walikosa ajira. Na swali kuu wataajiriwa wapi wakati shule majengo hayaongezwi, shule na vituo vipya vya afya haviongezwi???

Hatuwezi kupata Raisi mkamilifu 100%, kwa anachokifanya anahitaji support ya kila Mtanzania kwa 100%. Hata Nyerere alikuwa na mapungufu japo tunahubiriwa mazuri yake tu.
 
Ni kweli mkuu ila mimi nampenda mama Kwa sababu anajua kutafuta pesa na ni muwazo hata kama hutaki ila ndio hivyo anakuchana live..

Kingine ni results driven oriented na anapenda kutumia watu wanaomzunguka waonyeshe vipawa vyao.

Ndio kusema tungekuwa na Katiba nzuri zaidi,Samia ange fit Sana,ukiangalia mafanikio ya SSH kwa mwaka mmja aisee ni makubwa tofauti na ilivyotarajiwa..

Hakuna asiye na mapungufu,juzi amesema wameagiza ambulance zaidi ya 250 hizo zote ni ajira za madereva achilia mbali Hawa TRA zaidi ya 1400 waliopata shavu saizi 👇

 
Sijawahi support CCM, nasina mpango huo. Ila anachokifanya Raisi Samia kwangu ni kikubwa sana.
 
Sijawahi support CCM, nasina mpango huo. Ila anachokifanya Raisi Samia kwangu ni kikubwa sana.
Hata mimi sijawahi piga kura kwa ccm ila this time around ntapiga kura ya Rais tuu maana wapinzani wenyewe nimehangaika nao miaka mingi wanakuja kufika bei.

Watu kama kina Shonza Tulikuwa nao chuo kumbe ni ndumila kuwili,Silinde na Mwampamba tumekomaa nao kule Mbozi na Tunduma kumbe wachumia tumbo..

Mwita waitara alikuwa mwenyekiti wa mtaa njaa kali kule Kivule tukahangaika kumbe ni wasenge..

Nimeachana kabisa na siasa na mimi naangalia mtu anaenifaa kwa sera kwenye shughuli zangu.
 
Shonza huyu nimemuacha Chuo, kumbe wewe mdogo wangu tu [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Shonza huyu nimemuacha Chuo, kumbe wewe mdogo wangu tu [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Mdogo wipi ,sie wengine tulichelewa kuanzishwa shule..

Labda tunaweza kuwa tunalingana.Mimi naanza nilimkuta hadi Ally Hapi RC wa Mara yuko Mwaka wa mwisho Mlimani.
 
Anawezaje kuwa bora wakati mambo karibia yote anayoyafanya anayafanya kwa maelekezo kutoka kwa Kikwete. Huku akijaribu kuwa please Sukuma gang ili wasimchukie.
 
Mdogo wipi ,sie wengine tulichelewa kuanzishwa shule..

Labda tunaweza kuwa tunalingana.Mimi naanza nilimkuta hadi Ally Hapi RC wa Mara yuko Mwaka wa mwisho Mlimani.
Ally Hapi, Jokate Mwogelo, Hashimu Mgangilwa, intake yangu, hao akina Nikki Kisarawe, David Silinde, Owawa, Mtatiro wamenipokea Chuo.

Kama ulishiriki ile kunji ya akina Doing Oduar na ilikuwa mstari wa mbele basi tulikuwa wote [emoji38][emoji38][emoji38]
 
Mwinyi oyeeee
 
Nyie ndio mlituingiza Chaka yaani haipiti mwezi lazima Revo square 😆😆
 
Haya ma crisis ya Dunia yatafanya urais wa Samia kuonekana mbaya, ila ni bonge la president...
Uwekezaji, ajira na maisha bora yalianza kurudi Tz kabla ya vitu kuanza kupanda bei, na mwisho wake haujulikani itakuwa lini
Naona unajitekenya mzee😂
 
Tuwekee ushaidi Boss, hatutaki mambo ya kuzoa zoa hapa JF
Watu karibia wote waliowahi kuteuliwa wakati wa Kikwete ambao Magufuli aliwatumbua, Samia amekuwa akiwarudisha mmoja baada ya mwingine. Kushika nafasi zilezile ambazo Magufuli aliona hawatoshi.

Need I say more ?
 
Shujaa hakuacha legasi yoyote-ilikuwa vurumai tu
 
Watu karibia wote waliowahi kuteuliwa wakati wa Kikwete ambao Magufuli aliwatumbua, Samia amekuwa akiwarudisha mmoja baada ya mwingine. Kushika nafasi zilezile ambazo Magufuli aliona hawatoshi.

Need I say more ?
Anafakamia pilipili wakati ana bawasiri huyo achana nae muda choo kikimbana atafurahia show! Hawa ndio wale anti-Magufulist wasio na hoja
 
Sisi watanzania sijui tupewe nini tu? miezi 13 iliyopita hata ku comments post ya mtu ilikuwa lazima uangalie kushoto au kulia ndio ucomment.
Labda huko kwenu ndio mlikuwa kama Digidigi, ila huku kwetu watu hawajawahi kuogopa ku comment chochote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…