Rais Samia ana hali mbaya kuelekea 2025, Wana-CCM wanatamani wapinzani wapewe nchi. Anaweza asipate hata 30% ya kura

Bro

Unamanisha kweli unachosema. Au na wewe umeshaingia kwenye orodha ya chawa. Nenda mtaani zungumza na wananchi. U don't need anya research methodology. Amka nenda mtaa wowote uliopo ongea na hao wanachi. Ukitoka hapo kamwambie mama ukweli!
Hao wananchi wametapakaa nchi nzima kuanzia kusini mpaka kaskazini, sio kwamba mawazo ya mtaani kwa maana yako wewe ndio yanawakilisha kila sehemu ya TZ. Kuna mengi anayafanya SSH na yanagusa maisha ya kawaida kabisa ya kila mtu.

Na huyu ni mrithi wa JPM, ni chama kile kile hawezi kwenda tofauti na watangulizi wake tukumbuke juu ya ukweli huo.

Msipende kuita watu chawa kisa wanatofautiana mawazo na namna mnavyofikiri. Msikimbilie kudhalilisha watu wenye maoni tofauti na yale ya kwenu, mawazo hupingwa na yale yenye mantiki zaidi huwa hayapigwi virungu.
 
Sisi watanzania tusio na vyama lazima tumchague tupo na Rais Samia Suluhu mpaka 2030 hii haina kupinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…