Rais Samia ana mpango wa kumtua Mama kuni kichwani

Rais Samia ana mpango wa kumtua Mama kuni kichwani

Nyabukika

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2022
Posts
1,440
Reaction score
1,046
Leo Rais Samia Suluhu ametusisitiza wananchi kutumia nishati safi ya kupikia ili tuondokane na madhara yatokanayo na nishati isiyo safi lakini pia amegusia suala la maji ambalo linawatesa sana wakazi wa Dar es salaam, Amesema

Lengo la kutoa elimu na kusisitiza matumizi ya nishati safi ya kupikia na kwenda kumtua Mama mzigo wa kuni kichwani.

Lakini pia Rais Samia Suluhu ameongezea kua "Tuliweka lengo nikiwa Makamu wa Rais kumtua Mama ndoo kichwani nina furaha kusema kwamba nime-cover kwa asilimia 80% ndani ya Tanzania ukiacha 'effects' hizi za mabadiliko ya tabia ya nchi, Ukame unaotuandama lakini 'coverage' ya upatikanaji wa maji Tanzania ni asilimia 80%. Nitajisikia fahari ikifika 2032 Tanzania hii iwe na Nishati safi kwa asilimia 90 kama sio zote"

Pia Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amosi Makalla amesema katika kukabiliana na mgao wa maji unaoendelea Dar es salaam, usiku wa leo zitaingizwa lita Milioni 70 za maji kutoka kigamboni katika visima 12 ili kupunguza ukali wa mgao wa maji.

Rais Samia Suluhu anaendelea kufanya jitihada za kumtua mama ndoo kichwani na kumtua mama kuni kichwani
 
Safi sana hadi akina mama wabaki huru, Rais ameshawatua ndoo za maji kichwani akina mama wote, na sasa apambane kuwatua kuni kichwani safi sana Rais.
 
Sio mbaya kujivuta vuta ili 2025 anapopumzika na chama Chake angalau akumbukwe KWa machache endapo uchaguzi utafanyika.
 
Naambiwa na rafiki Dodoma makao makuu ya Taifa , Kuna watu TOKA bomba KUBWA la maji TOKA Mzakwe hawana maji yaenda siku tano, wiki mbili, ni shida Sana, Sasa tunauliza Kama Dodoma Hali ipo hivi vipi Mikoa mingine?

Mungu akawasimamie Wanawake katika ardhi hii tukufu.
 
Safi sana hadi akina mama wabaki huru, Rais ameshawatua ndoo za maji kichwani akina mama wote, na sasa apambane kuwatua kuni kichwani safi sana Rais.
Rais Samia Suluhu anajujali sana wananchi wake
 
Naambiwa na rafiki Dodoma makao makuu ya Taifa , Kuna watu TOKA bomba KUBWA la maji TOKA Mzakwe hawana maji yaenda siku tano, wiki mbili, ni shida Sana, Sasa tunauliza Kama Dodoma Hali ipo hivi vipi Mikoa mingine?

Mungu akawasimamie Wanawake katika ardhi hii tukufu.
Rais Samia Suluhu aliahidi kumtua mama ndoo na sasa anaendelea na utekelezaji so wait and see ni jambo la muda tu
 
Leo Rais Samia Suluhu ametusisitiza wananchi kutumia nishati safi ya kupikia ili tuondokane na madhara yatokanayo na nishati isiyo safi lakini pia amegusia suala la maji ambalo linawatesa sana wakazi wa Dar es salaam, Amesema

Lengo la kutoa elimu na kusisitiza matumizi ya nishati safi ya kupikia na kwenda kumtua Mama mzigo wa kuni kichwani.

Lakini pia Rais Samia Suluhu ameongezea kua "Tuliweka lengo nikiwa Makamu wa Rais kumtua Mama ndoo kichwani nina furaha kusema kwamba nime-cover kwa asilimia 80% ndani ya Tanzania ukiacha 'effects' hizi za mabadiliko ya tabia ya nchi, Ukame unaotuandama lakini 'coverage' ya upatikanaji wa maji Tanzania ni asilimia 80%. Nitajisikia fahari ikifika 2032 Tanzania hii iwe na Nishati safi kwa asilimia 90 kama sio zote"

Pia Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amosi Makalla amesema katika kukabiliana na mgao wa maji unaoendelea Dar es salaam, usiku wa leo zitaingizwa lita Milioni 70 za maji kutoka kigamboni katika visima 12 ili kupunguza ukali wa mgao wa maji.

Rais Samia Suluhu anaendelea kufanya jitihada za kumtua mama ndoo kichwani na kumtua mama kuni kichwani
Maji na umeme yamewashinda, ndio mjaribu kuni na mkaa? Hiyo gesi itagawiwa bure? Watu wanataka tu kuongeza mauzo.
 
Rais Samia Suluhu aliahidi kumtua mama ndoo na sasa anaendelea na utekelezaji so wait and see ni jambo la muda tu
Tatizo mmejaa ushabiki wa chama chenu ,hamkatazwi, ila jilalazimishe kidogo , Mambo mengine ni siri kubwa
 
Sio mbaya kujivuta vuta ili 2025 anapopumzika na chama Chake angalau akumbukwe KWa machache endapo uchaguzi utafanyika.
Lazima Rais Samia Suluhu ashinde kwa kishindo maana kwa maendeleo anayoleta Tanzania wananchi hatuna wasiwasi
 
Dar ya keyla au eb ntumie ushaidi wa Rc makala aliosema leo dar tunaenda kupata maji
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amosi Makalla amesema katika kukabiliana na mgao wa maji unaoendelea Dar es salaam, usiku wa leo zitaingizwa lita Milioni 70 za maji kutoka kigamboni katika visima 12 ili kupunguza ukali wa mgao wa maji.
 

Attachments

  • FgduGVlX0AAFo3D.jpg
    FgduGVlX0AAFo3D.jpg
    21.9 KB · Views: 4
Leo Rais Samia Suluhu ametusisitiza wananchi kutumia nishati safi ya kupikia ili tuondokane na madhara yatokanayo na nishati isiyo safi lakini pia amegusia suala la maji ambalo linawatesa sana wakazi wa Dar es salaam, Amesema

Lengo la kutoa elimu na kusisitiza matumizi ya nishati safi ya kupikia na kwenda kumtua Mama mzigo wa kuni kichwani.

Lakini pia Rais Samia Suluhu ameongezea kua "Tuliweka lengo nikiwa Makamu wa Rais kumtua Mama ndoo kichwani nina furaha kusema kwamba nime-cover kwa asilimia 80% ndani ya Tanzania ukiacha 'effects' hizi za mabadiliko ya tabia ya nchi, Ukame unaotuandama lakini 'coverage' ya upatikanaji wa maji Tanzania ni asilimia 80%. Nitajisikia fahari ikifika 2032 Tanzania hii iwe na Nishati safi kwa asilimia 90 kama sio zote"

Pia Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amosi Makalla amesema katika kukabiliana na mgao wa maji unaoendelea Dar es salaam, usiku wa leo zitaingizwa lita Milioni 70 za maji kutoka kigamboni katika visima 12 ili kupunguza ukali wa mgao wa maji.

Rais Samia Suluhu anaendelea kufanya jitihada za kumtua mama ndoo kichwani na kumtua mama kuni kichwani
Sio ndio tena Sasa mnaleta ya kuni!
Kwa pesa ipi na mtandao upi??
 
Back
Top Bottom