Rais Samia ana mpango wa kumtua Mama kuni kichwani

Rais Samia ana mpango wa kumtua Mama kuni kichwani

Wengi mnataka sikia kile mwafurahishwa nyoyoni mwenu, kubalini pia kutana na maelezo mengine yatawanyima furaha nyoyoni mwenu, na shukuru mnaupata ujumbe mbashara na ni mda sahii kujipanga na mabadiliko yajayo,

List ya kwenye karatasi haitawasaidia ,imeishafutiliwa mbali ,case closed
 
Njoo hapa Mbezi beach tenk-bovu, week 3 hakuna maji, alafu Wewe unaongea upuuzi.Makara kasema kukosekana kwa maji Dar sio ilani ya CCM bali mpango wa Mungu, wakati kwenye ilani yao waliaidi watatoa maji masaa 24 dar mzima.
na comment ya maji yatapatikan leo kaiandika nani hapo chief mbona unajisahaulisha mapema alaf unakuwa mkali tulia basi
 
na comment ya maji yatapatikan leo kaiandika nani hapo chief mbona unajisahaulisha mapema alaf unakuwa mkali tulia basi
Wewe ni 🦮 kula kulala kwa shemeji,haujui shida wanazopitia kuhusu maji,Samia eti ukataji wa miti ndio umesababisha mgao wa maji, utafikiri yeye akuwa kiongozi miaka yote,au hajui kuwa TMA walikuwa wakitabiri kuhusu ukosefu wa mvua,tuna rais 😷 ngoja nisije kutekwa bure ila kifupi hatuna rais
 
Wewe ni 🦮 kula kulala kwa shemeji,haujui shida wanazopitia kuhusu maji,Samia eti ukataji wa miti ndio umesababisha mgao wa maji, utafikiri yeye akuwa kiongozi miaka yote,au hajui kuwa TMA walikuwa wakitabiri kuhusu ukosefu wa mvua,tuna rais 😷 ngoja nisije kutekwa bure ila kifupi hatuna rais
una tatizo la afya ya akili chief
 
Back
Top Bottom