Rais Samia ana mpango wa kumtua Mama kuni kichwani

Rais Samia ana mpango wa kumtua Mama kuni kichwani

Tatizo mmejaa ushabiki wa chama chenu ,hamkatazwi, ila jilalazimishe kidogo , Mambo mengine ni siri kubwa
Maendeleo tena yawe siri c nsio maana tupo hapa kuyajadili maendeleo anayofanya Rais wetu mpendwa Samia Suluhu
 
Leo Rais Samia Suluhu ametusisitiza wananchi kutumia nishati safi ya kupikia ili tuondokane na madhara yatokanayo na nishati isiyo safi lakini pia amegusia suala la maji ambalo linawatesa sana wakazi wa Dar es salaam, Amesema

Lengo la kutoa elimu na kusisitiza matumizi ya nishati safi ya kupikia na kwenda kumtua Mama mzigo wa kuni kichwani.

Lakini pia Rais Samia Suluhu ameongezea kua "Tuliweka lengo nikiwa Makamu wa Rais kumtua Mama ndoo kichwani nina furaha kusema kwamba nime-cover kwa asilimia 80% ndani ya Tanzania ukiacha 'effects' hizi za mabadiliko ya tabia ya nchi, Ukame unaotuandama lakini 'coverage' ya upatikanaji wa maji Tanzania ni asilimia 80%. Nitajisikia fahari ikifika 2032 Tanzania hii iwe na Nishati safi kwa asilimia 90 kama sio zote"

Pia Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amosi Makalla amesema katika kukabiliana na mgao wa maji unaoendelea Dar es salaam, usiku wa leo zitaingizwa lita Milioni 70 za maji kutoka kigamboni katika visima 12 ili kupunguza ukali wa mgao wa maji.

Rais Samia Suluhu anaendelea kufanya jitihada za kumtua mama ndoo kichwani na kumtua mama kuni kichwani
Kila kukicha mtandaoni magazetini
Ni RAIS, RAIS ,RAIS hata aibu hakuna!
Kwani Kuna pesa anatoa Kwa mfuko au kwa familia yake?!?
Hebu angalieni matatizo ya wananchi hamuyaoni???? He..l
 
Ana mpango wa kuongeza bei za gesi wateja wakiwa wengi
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amosi Makalla amesema katika kukabiliana na mgao wa maji unaoendelea Dar es salaam, usiku wa leo zitaingizwa lita Milioni 70 za maji kutoka kigamboni katika visima 12 ili kupunguza ukali wa mgao wa maji.
Sasa Rc alisema kama leo watu watapata maji hiyo post iko wapi boss wang
 
Leo Rais Samia Suluhu ametusisitiza wananchi kutumia nishati safi ya kupikia ili tuondokane na madhara yatokanayo na nishati isiyo safi lakini pia amegusia suala la maji ambalo linawatesa sana wakazi wa Dar es salaam, Amesema

Lengo la kutoa elimu na kusisitiza matumizi ya nishati safi ya kupikia na kwenda kumtua Mama mzigo wa kuni kichwani.

Lakini pia Rais Samia Suluhu ameongezea kua "Tuliweka lengo nikiwa Makamu wa Rais kumtua Mama ndoo kichwani nina furaha kusema kwamba nime-cover kwa asilimia 80% ndani ya Tanzania ukiacha 'effects' hizi za mabadiliko ya tabia ya nchi, Ukame unaotuandama lakini 'coverage' ya upatikanaji wa maji Tanzania ni asilimia 80%. Nitajisikia fahari ikifika 2032 Tanzania hii iwe na Nishati safi kwa asilimia 90 kama sio zote"

Pia Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amosi Makalla amesema katika kukabiliana na mgao wa maji unaoendelea Dar es salaam, usiku wa leo zitaingizwa lita Milioni 70 za maji kutoka kigamboni katika visima 12 ili kupunguza ukali wa mgao wa maji.

Rais Samia Suluhu anaendelea kufanya jitihada za kumtua mama ndoo kichwani na kumtua mama kuni kichwani
Porojo tu hizi. Hamna kitu hapo.
 
Dar ya keyla au eb ntumie ushaidi wa Rc makala aliosema leo dar tunaenda kupata maji
Njoo hapa Mbezi beach tenk-bovu, week 3 hakuna maji, alafu Wewe unaongea upuuzi.Makara kasema kukosekana kwa maji Dar sio ilani ya CCM bali mpango wa Mungu, wakati kwenye ilani yao waliaidi watatoa maji masaa 24 dar mzima.
 
Maendeleo tena yawe siri c nsio maana tupo hapa kuyajadili maendeleo anayofanya Rais wetu mpendwa Samia Suluhu
Aya bwana, unamfuta lucas, ndugu mama yenu na ccm yenu kitabu kimefungwa, utaki elewa hulazimishwi
 
Nawaulizeni tena SSH na ccm yenu wanayo mamlaka kuliko Mungu Kama ndio sawa, kama sivyo , elewa nasema nini, hutaki ACHA hulazimishwi
Lazima Rais Samia Suluhu ashinde kwa kishindo maana kwa maendeleo anayoleta Tanzania wananchi hatuna wasiwasi
 
Nawaulizeni tena SSH na ccm yenu wanayo mamlaka kuliko Mungu Kama ndio sawa, kama sivyo , elewa nasema nini, hutaki ACHA hulazimishwi
Lazima Rais Samia Suluhu ashinde kwa kishindo maana kwa maendeleo anayoleta Tanzania wananchi hatuna wasiwasi
 
Leo Rais Samia Suluhu ametusisitiza wananchi kutumia nishati safi ya kupikia ili tuondokane na madhara yatokanayo na nishati isiyo safi lakini pia amegusia suala la maji ambalo linawatesa sana wakazi wa Dar es salaam, Amesema

Lengo la kutoa elimu na kusisitiza matumizi ya nishati safi ya kupikia na kwenda kumtua Mama mzigo wa kuni kichwani.

Lakini pia Rais Samia Suluhu ameongezea kua "Tuliweka lengo nikiwa Makamu wa Rais kumtua Mama ndoo kichwani nina furaha kusema kwamba nime-cover kwa asilimia 80% ndani ya Tanzania ukiacha 'effects' hizi za mabadiliko ya tabia ya nchi, Ukame unaotuandama lakini 'coverage' ya upatikanaji wa maji Tanzania ni asilimia 80%. Nitajisikia fahari ikifika 2032 Tanzania hii iwe na Nishati safi kwa asilimia 90 kama sio zote"

Pia Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amosi Makalla amesema katika kukabiliana na mgao wa maji unaoendelea Dar es salaam, usiku wa leo zitaingizwa lita Milioni 70 za maji kutoka kigamboni katika visima 12 ili kupunguza ukali wa mgao wa maji.

Rais Samia Suluhu anaendelea kufanya jitihada za kumtua mama ndoo kichwani na kumtua mama kuni kichwani

Porojo za kijinga.
 
Back
Top Bottom