- Thread starter
- #21
Maendeleo tena yawe siri c nsio maana tupo hapa kuyajadili maendeleo anayofanya Rais wetu mpendwa Samia SuluhuTatizo mmejaa ushabiki wa chama chenu ,hamkatazwi, ila jilalazimishe kidogo , Mambo mengine ni siri kubwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maendeleo tena yawe siri c nsio maana tupo hapa kuyajadili maendeleo anayofanya Rais wetu mpendwa Samia SuluhuTatizo mmejaa ushabiki wa chama chenu ,hamkatazwi, ila jilalazimishe kidogo , Mambo mengine ni siri kubwa
Mama anampango wa kupunguza gharama za gesi ili hata yule asie na uwezo aweze kuaffordSio ndio tena Sasa mnaleta ya kuni!
Kwa pesa ipi na mtandao upi??
Haya mambo yete Rais Samia Suluhu anashughuriki na solution ya maji ishapatina hata umeme piaMaji na umeme yamewashinda, ndio mjaribu kuni na mkaa? Hiyo gesi itagawiwa bure? Watu wanataka tu kuongeza mauzo.
Kila kukicha mtandaoni magazetiniLeo Rais Samia Suluhu ametusisitiza wananchi kutumia nishati safi ya kupikia ili tuondokane na madhara yatokanayo na nishati isiyo safi lakini pia amegusia suala la maji ambalo linawatesa sana wakazi wa Dar es salaam, Amesema
Lengo la kutoa elimu na kusisitiza matumizi ya nishati safi ya kupikia na kwenda kumtua Mama mzigo wa kuni kichwani.
Lakini pia Rais Samia Suluhu ameongezea kua "Tuliweka lengo nikiwa Makamu wa Rais kumtua Mama ndoo kichwani nina furaha kusema kwamba nime-cover kwa asilimia 80% ndani ya Tanzania ukiacha 'effects' hizi za mabadiliko ya tabia ya nchi, Ukame unaotuandama lakini 'coverage' ya upatikanaji wa maji Tanzania ni asilimia 80%. Nitajisikia fahari ikifika 2032 Tanzania hii iwe na Nishati safi kwa asilimia 90 kama sio zote"
Pia Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amosi Makalla amesema katika kukabiliana na mgao wa maji unaoendelea Dar es salaam, usiku wa leo zitaingizwa lita Milioni 70 za maji kutoka kigamboni katika visima 12 ili kupunguza ukali wa mgao wa maji.
Rais Samia Suluhu anaendelea kufanya jitihada za kumtua mama ndoo kichwani na kumtua mama kuni kichwani
Nyamaza bana. Kila mtu ana akili kabla ya kufungua mdomo wake.Haya mambo yete Rais Samia Suluhu anashughuriki na solution ya maji ishapatina hata umeme pia
🤣🤣🤣 nchi ngumu hii alafu kuna mtu anasem leo tunapata maji kuna nanii fulan kasema🤣🤣🤣🤣 sipati picha hiyo siku.
Hivi bado tu hayajarudi?
Ni afadhali wakae kimya.🤣🤣🤣 nchi ngumu hii alafu kuna mtu anasem leo tunapata maji kuna nanii fulan kasema
afadhali tena afadhali wakae kimya mara milion 10Ni afadhali wakae kimya.
Sasa Rc alisema kama leo watu watapata maji hiyo post iko wapi boss wangMkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amosi Makalla amesema katika kukabiliana na mgao wa maji unaoendelea Dar es salaam, usiku wa leo zitaingizwa lita Milioni 70 za maji kutoka kigamboni katika visima 12 ili kupunguza ukali wa mgao wa maji.
Upo serious au umeamua tu kujilipua kukera watu?Mama anampango wa kupunguza gharama za gesi ili hata yule asie na uwezo aweze kuafford
Porojo tu hizi. Hamna kitu hapo.Leo Rais Samia Suluhu ametusisitiza wananchi kutumia nishati safi ya kupikia ili tuondokane na madhara yatokanayo na nishati isiyo safi lakini pia amegusia suala la maji ambalo linawatesa sana wakazi wa Dar es salaam, Amesema
Lengo la kutoa elimu na kusisitiza matumizi ya nishati safi ya kupikia na kwenda kumtua Mama mzigo wa kuni kichwani.
Lakini pia Rais Samia Suluhu ameongezea kua "Tuliweka lengo nikiwa Makamu wa Rais kumtua Mama ndoo kichwani nina furaha kusema kwamba nime-cover kwa asilimia 80% ndani ya Tanzania ukiacha 'effects' hizi za mabadiliko ya tabia ya nchi, Ukame unaotuandama lakini 'coverage' ya upatikanaji wa maji Tanzania ni asilimia 80%. Nitajisikia fahari ikifika 2032 Tanzania hii iwe na Nishati safi kwa asilimia 90 kama sio zote"
Pia Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amosi Makalla amesema katika kukabiliana na mgao wa maji unaoendelea Dar es salaam, usiku wa leo zitaingizwa lita Milioni 70 za maji kutoka kigamboni katika visima 12 ili kupunguza ukali wa mgao wa maji.
Rais Samia Suluhu anaendelea kufanya jitihada za kumtua mama ndoo kichwani na kumtua mama kuni kichwani
Njoo hapa Mbezi beach tenk-bovu, week 3 hakuna maji, alafu Wewe unaongea upuuzi.Makara kasema kukosekana kwa maji Dar sio ilani ya CCM bali mpango wa Mungu, wakati kwenye ilani yao waliaidi watatoa maji masaa 24 dar mzima.Dar ya keyla au eb ntumie ushaidi wa Rc makala aliosema leo dar tunaenda kupata maji
Neighbor!! I was also curious to know this🤣Upo serious au umeamua tu kujilipua kukera watu?
Ha haaa pambav kabisaNeighbor!! I was also curious to know this🤣
Aya bwana, unamfuta lucas, ndugu mama yenu na ccm yenu kitabu kimefungwa, utaki elewa hulazimishwiMaendeleo tena yawe siri c nsio maana tupo hapa kuyajadili maendeleo anayofanya Rais wetu mpendwa Samia Suluhu
Lazima Rais Samia Suluhu ashinde kwa kishindo maana kwa maendeleo anayoleta Tanzania wananchi hatuna wasiwasi
Lazima Rais Samia Suluhu ashinde kwa kishindo maana kwa maendeleo anayoleta Tanzania wananchi hatuna wasiwasi
Leo Rais Samia Suluhu ametusisitiza wananchi kutumia nishati safi ya kupikia ili tuondokane na madhara yatokanayo na nishati isiyo safi lakini pia amegusia suala la maji ambalo linawatesa sana wakazi wa Dar es salaam, Amesema
Lengo la kutoa elimu na kusisitiza matumizi ya nishati safi ya kupikia na kwenda kumtua Mama mzigo wa kuni kichwani.
Lakini pia Rais Samia Suluhu ameongezea kua "Tuliweka lengo nikiwa Makamu wa Rais kumtua Mama ndoo kichwani nina furaha kusema kwamba nime-cover kwa asilimia 80% ndani ya Tanzania ukiacha 'effects' hizi za mabadiliko ya tabia ya nchi, Ukame unaotuandama lakini 'coverage' ya upatikanaji wa maji Tanzania ni asilimia 80%. Nitajisikia fahari ikifika 2032 Tanzania hii iwe na Nishati safi kwa asilimia 90 kama sio zote"
Pia Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amosi Makalla amesema katika kukabiliana na mgao wa maji unaoendelea Dar es salaam, usiku wa leo zitaingizwa lita Milioni 70 za maji kutoka kigamboni katika visima 12 ili kupunguza ukali wa mgao wa maji.
Rais Samia Suluhu anaendelea kufanya jitihada za kumtua mama ndoo kichwani na kumtua mama kuni kichwani