Wewe ni 🦮 kula kulala kwa shemeji,haujui shida wanazopitia kuhusu maji,Samia eti ukataji wa miti ndio umesababisha mgao wa maji, utafikiri yeye akuwa kiongozi miaka yote,au hajui kuwa TMA walikuwa wakitabiri kuhusu ukosefu wa mvua,tuna rais 😷 ngoja nisije kutekwa bure ila kifupi hatuna rais