Rais Samia ana nia njema Watanzania wapate haki, ila Watanzania hawajui Haki! Je, Tumsaidie kuelimisha umma Katiba, Sheria na Haki au?

Rais Samia ana nia njema Watanzania wapate haki, ila Watanzania hawajui Haki! Je, Tumsaidie kuelimisha umma Katiba, Sheria na Haki au?

- Lissu kulipwa haki zake ni stahili yake, hilo halihitaji huruma ya jicho la kizanzibari,
Serikali inafanya kazi kwa mfumo wa maandishi kwa kutumia sheria, taratibu na kanuni, utaratibu wa matibabu nje ya nchi kwa mtumishi wa umma, lazima apate authorization ya serikali, Lissu alikwenda kutibiwa Nairobi na Belgium kinyume cha utaratibu, hivyo the government had a bonafide genuine justification ya kugoma kumlipia. Hivyo kiserikali Lissu alikuwa ni mtoro kazini, japo kila mtu aliona kilichomtokea Lissu, but no one did a due process na kwenda kuripoti kazini kwaķe, hivyo ulipofika muda prescribed na kanuni ofisi ya Bunge ikafanya a due process na kumfuta kazi hivyo kupoteza haki zake zote!.

Alichofanya Mama Samia ni kutumia utu na sio sheria taratibu na kanuni. Kisheria taratibu na kanuni, Lissu alikuwa hana haki, lakini Mama Samia akatumia utu kuwa hata kama taarifa rasmi haikupelekwa Bungeni kiofisi, lakini ni kweli Lissu alishambuliwa kweli alilazwa Nairobi na baadaye Belgium, na kuamuru alipwe haki zake zote na kulipiwa matibabu yote!. Huu ni wema na Lissu alimshukuru sana Samia.
lakini la Mbowe kugharimiwa safari za nje bado nataka ushahidi,
Maadam aliyetoa pesa akasema na aliyepokea pesa hajasema who M I kusema?.
na Lissu kurudi nchini nae nataka ushahidi wa kulipiwa nauli, naona umeshaanza kuingiza maslahi ya CCM yako hapa.
Sijasema Lissu kalipiwa nauli, nimesema usikute!, kama Mbowe kalipiwa trip ya overseas, why not Lissu?.
Hapo ulipolazimisha wale wanawake 19 waendelee kuwa wanachama halali wa Chadema ndio imebidi nicheke tu, naamini haya yatakuwa maagizo mmepewa makada wote ili kukibeba chama chenu.
Amini usiamini mimi Pasco mayalla situmiki na yeyote, amini nakuambia wabunge hao bado ni wanachama hai na halali wa Chadema mpaka hapo Mahakama itakavyo tamka otherwise.

Kwenye hili la hawa mashujaa 19, mimi nasimama nao hadi haki itendeke.
Uanachama kwenye vyama vya siasa uko regulated kisheria, kikanuni, na kiutaratibu, haufukuzi mwanachama wako kama unafukuza mbwa!.
Maadam Chadema inao utaratibu wa nidhamu kwa mujibu wa katiba yake, kwanini hawakufuata utaratibu wa nidhamu wa katiba yake?!.

Kwa mujibu wa katiba ya Chadema, mamlaka ya nidhamu ya NKM Zitto ni Baraza Kuu, CC ya Chadema ilipata wapi mamlaka ya kumtimua Zitto?. Zitto alikimbilia mahakamani kesi akashindwa kwa legal technicalities na sio kwa haki!. Matokeo yake ni Chadema kama chama kimekula bakora za karma za kutosha kutoka wabunge zaidi ya 50 hadi mbunge mmoja wa ngama!. Na viongozi waliohusika na kumtimua Zitto, kila mmoja wao amekula bakora zake za karma za kutosha individually.

CC ya Chadema sio mamlaka ya nidhamu ya Halima Mdee!, mamlaka yake ya nidhamu ni Baraza Kuu, CC ya Chadema imepata wapi mamlaka ya kumtimua Halima Mdee?.
Ninachojua; bunge halipo juu ya maamuzi ya vikao halali vya Chadema.
Ni kweli Bunge haliko juu ya maamuzi halali ya vikao halali vya Chadema, kwa vile kwa sasa kesi iko mahakamani, this is not for me or for you kuusema uhalali wa vikao vile ambayo mimi niliieta Kangaroo court, let the court speak!.
P
 
Magufuli alisema msaliti wa nchi hatakiwi kuishi na baada ya masaa machache nikapigwa risasi ~~~~~ Lisu.

Kumbe anajijua kabisa ni msaliti
 
Kwa vile humu JF kuna mabadiliko mengi, my advice to you, ni next time ukikutana na bandiko uchwara, save your precious time, don't waste time na uchara jump to mabandiko ya maana kwako!.

Dini zote zinatufunza kuwa na shukrani kwa madogo ili tuweze kupatiwa makubwa!. Ni Katiba hii hii ndio umetupatia kila kitu kilichopo leo ina miaka 46!, tushukuru kwa hiki kidogo kilichopo mkononi ambacho tumekishika halafu ndipo tutafute kikubwa zaidi kizuri zaidi!. Moja shika sii kumi nenda rudi!.

Mkuu Rashidi Jololo , heshima kitu cha bure, heshimu wote wakubwa na wadogo, sio kila anayempongeza Mama ni chawa!. Japo the dividing line between pongezi za kweli na pongezi za machawa is very thin, tofauti pekee ni kwenye pongezi bonafide genuine mpongezaji atapongeza only pale panapostahili pongezi, na siku mpongezwa huyu huyu akichemsha, anakosolewa!. Machawa kazi yao ni kusifu tuu!. Mimi sio chawa!.

Karibu pande hizi
  1. Asante Mungu kwa Rais Samia: Ni Msema Kweli na Mtenda Kweli, Ni Msema Haki na Mtenda Haki. Je, Ataruhusu Ubatili Huu Kuendelea Ndani ya Katiba Yetu?
  2. Ijue Katiba ya JMT-1: Katiba ni Nini, ya Nani, ya Kazi Gani?. Msemo "Katiba Ndio Kila Kitu" Una Maana Gani?. Katiba Ina Umuhimu Gani?
  3. Katiba ni Sheria Mama. Sheria Yoyote Kinyume na Katiba ni Batili!. Wanasheria Wetu, Waliwezaje Kufanya Madudu Haya Kuchomeka Batili Ndani ya Katiba?!
  4. Sheria ya Uchaguzi Ni Bad Law! Kuendelea Kuitumia ni Ujinga? Kuwabebesha Masikini Gharama za Uchaguzi ni Dhambi!
  5. Ajabu Hii ya Haki Iliyotolewa na Ibara Moja ya Katiba, Kuporwa na Ibara Nyingine, Ilifanyika Vipi Huku Tuna Washeria Manguli, Wabobezi na Wabobevu?
  6. Madudu haya ya ajabu ya kisheria yaliweza kufanyika vipi wakati tuna Wanasheria?
  7. Asante Rais kuruhusu mikutano, tunakuomba uruhusu haki nyingine ambayo imeporwa ya Watanzania wote kuchagua na kuchaguliwa
  8. Anayekuja pasi na hodi, huondoka pasi kuaga. Kuzuiwa bila kifungu, kuruhusu bila Kifungu. Ni hisani ya Rais Samia. Haki kuhisaniwa hadi lini?
  9. Asante Rais Samia kwa kuwasisitiza watendaji wa vyombo vya haki kuwa haki sio hisani, bali ni stahiki. Watende haki, tubadili Katiba kurudisha haki
  10. Watanzania ni maneno maneno na kulialia, Vitendo 0. Katiba ni maneno tu! Je, 2023 tuendeleze maneno matupu na kulialia au tubadilike tufanye kitu?
Rais Mama Samia anakwenda kutupatia katiba mpya
P
Unataka usisemwe kama hayati Magufuli? Basi kaa kimya, acha kuandika mambo ya kichawa. Ukiandika tu lazima turuke na wewe, lazima UJIBIWE ipasavyo. Mwanasheria gani wewe usiyejua umuhimu wa Katiba imara na yenye maslahi kwa wote?
 
Unataka usisemwe kama hayati Magufuli? Basi kaa kimya,
Kuna watu wanashughuli mbali mbali za kuendesha maisha yao, hao ndio wanaweza kukaa kimya, lakini mimi kuongea ndio shughuli yangu ya kuendeshea maisha yangu hivyo siwezi kukaa kimya.
acha kuandika mambo ya kichawa. Ukiandika tu lazima turuke na wewe, lazima UJIBIWE ipasavyo.
Duh...!, naomba kuheshimu maoni yako, kwa vile mimi naandika hoja nyingi, kama unaziona ni za kichawa, huo ni mtazamo wako na nauheshimu, ila mtu ukijijua sio chawa na wala huandiki kichawa, akitokea mtu akakudhania chawa, na akakuita chawa, kuitwa huko chawa hakutakufanya uwe chawa!.
Mwanasheria gani wewe usiyejua umuhimu wa Katiba imara na yenye maslahi kwa wote?
Hivi ndivyo wanasheria wa Tanzania tulivyo, tuna wanasheria kibao manguli wabobezi na wabobevu lakini hawaijui katiba, hivyo mwanasheria mimi, nimeamua kuanza kwa kuwaelimisha wengine kuhusu katiba hivyo angalia hapa nimesema nini kuhusu katiba mpya Watanzania ni maneno maneno na kulialia, Vitendo 0. Katiba ni maneno tu! Je, 2023 tuendeleze maneno matupu na kulialia au tubadilike tufanye kitu? na sikuishia kusema, bali nimeendesha darasa Ijue Katiba ya JMT-1: Katiba ni Nini, ya Nani, ya Kazi Gani?. Msemo "Katiba Ndio Kila Kitu" Una Maana Gani?. Katiba Ina Umuhimu Gani?
P
 
Wanabodi,

Kwa Maslahi ya Taifa kwenye Nipashe ya leo 5/02/2023

View attachment 2507414View attachment 2507416
Makala ya leo, ni kuhusu haki za binaadamu, na kwa wale wenye kumbukumbu mzuri ya safu hii, makala za mwanzo kabisa zilikuwa ni makala mfullulizo za “Kilio Cha Haki” ambazo nilizungumzia sana haki jinai.
  1. Ukosekanaji wa Haki kwenye Mhimili wa Mahakama, kunaweza kuwa kunachangiwa na Majaji/Mahakimu wenye uwezo mdogo kubaini haki?. Hoja hii imejibiwa kwa vitendo na matokeo yameonekana msikilize Rais Samia akizungumzia matokeo hayo
  2. Asante Rais Samia kwa kuwasisitiza watendaji wa vyombo vya haki kuwa haki sio hisani, bali ni stahiki. Watende haki, tubadili Katiba kurudisha haki
  3. Kumbe DPP kutenda haki kunawezekana! Hongera sana, kazi umeianza vizuri. Sasa haki sio tu inatendeka, inaonekana! Kazi Iendelee…
  4. Ushauri kwa DPP: Kutekeleza nia njema ya Rais Samia, kuona Haki ikitendeka; je, tumchagize DPP kutumia Nolle kufuta kesi zote zinazosuasua?
  5. Pongezi kwa DPP Mpya. Kama itampendeza, aanze kwa kutumia Nolle, kusafisha Uchafu wote wa mtangulizi wake...

Mtu unapozungumzia haki jinai namna hii, kisha ukasikia Rais ameunda timu kuangalia haki jinai, iwe makala zako zilichangia au hazikuchangia, haijalishi, lakini kitendo cha kukizungumza kitu kisha kikafanyiwa kazi ni faraja tosha kwako mwandishi.
  1. Rais Samia ana nia njema na ya dhati kwa kauli thabiti na matendo, Watanzania wapate haki, ila imetokea Watanzania hawajui haki zao!. Je tumsaidie Rais Samia na kuelimisha umma Katiba, Sheria na Haki au tuwaachie wenyewe?.
  2. Katiba japo ni kakitabu kadogo ka kurasa 43 tuu, lakini kukaelewa ni shughuli nzito!, ili Watanzania waielelewe katiba, kunatakiwa kufanyika kazi kweli kweli ya uelimishaji umma kuhusu Katiba, sheria na haki.
  3. Tanzania japo tuna wanasheria wengi ambao ni manguli wabobezi na wabobevu wa sheria, lakini wengi hawaijui katiba!.
  4. Serikali tunawasheria wengi manguli wabobezi na wabobevu wakiongozwa na Mwanasheria Mkuu wa serikali ambao walipaswa kuijua katiba vilivyo lakini wengi wao, hawaijui katiba, ndio maana serikali inaweza kutunga sheria batili inayokwenda kinyume cha katiba.
  5. Bunge letu nalo ambalo limeshehenezwa na wanasheria manguli wabobezi na wabobevu, lakini wametunga sheria batili inayokwenda kinyume cha katiba, hivyo Bunge letu na wabunge wetu nao hawaijui katiba kikamilifu.
  6. Mahakama ndio mhimili pekee ambao angalau angalau unaijua Katiba na kuliambia Bunge na Serikali kuwa sheria fulani ni batili kwasababu iko kinyume cha katiba, ila very unfortunately Mahakama haina meno, badala ya kubatilisha sheria batili, ndio kwanza inayarudishia yale yale majinga yaliyotunga sheria batili ndio yaibadilishe!. Hivyo mahakama kwenye kuitekeleza katiba nayo inashikwa na kigugumizi!.
  7. Lakini huku mitaani kuna wanasheshia wa kawaida tuu na taasisi za kisheria, wanaweza kabisa kusaidia kuelimisha umma elimu ya katiba sheria na haki, ili kumuwezesha Rais Samia kutimiza azma yake ya kutaka Watanzania kutendewa haki ni lazima kwanza hawa Watanzania wazijue haki zao.
  8. Hivyo hizi kauli dhabiti za Rais Rais Samia katika utoaji haki, nimeanza kuzifuatilia kwa muda mrefu, na wiki hii amezitoa tena katika matukio makubwa mawili, tukio la kwanza ni siku ya uzinduzi wa Tume ya Haki Jinai jijini Dodoma siku ya Jumatatu iliyopita ya tarehe 30 January na kesho yake tarehe mosi February kwenye Siku ya Sheria jijini Dodoma.
  9. Kwenye utetezi wa haki nchini Tanzania, tukubali tukatae, Rais Samia ana nia njema na ya dhati ya kuhakikisha Watanzania wanatendewa haki kwenye vyombo vya utoaji haki, na moja ya udhaifu mkubwa katika utoaji haki Tanzania, ni Watanzania, hawazijui haki zao!.
  10. Haki hailetwi kwenye kisahani cha chai, haki ni stahili na stahiki inayopaswa kutolewa bila wewe kuiomba, na ikitokea haki haikutolewa au haikutendeka, haki haiombwi, bali inapaswa kudaiwa, sasa ukiwa mtu hujui haki yako, huwezi kudai kitu usichokijua!
  11. Hiki kitu cha Watanzania kutokujua haki zao, nimesikia tena wiki hii, Rais Samia, akirudia kulisema jambo hili, kwenye kilele cha siku ya sheria iliyoadhimishwa kitaifa uwanja wa Chinangali, jijini Dodoma.
  12. Rais Samia, alisema mambo mengi makubwa mazuri katika utoaji haki nchini Tanzania, kubwa nililo ondoka nalo mimi leo katika makala hii ni hili la Watanzania hawajui haki zao!.
  13. Kwenye hili, Rais Samia amesema, na naomba nimnukuu “Wanasema, kuna msemo maarufu kwamba haki hupewi mkononi, lazima uitafute, lakini katika kutafuta haki kuna ujuzi, wananchi wetu wengi hawana ujuzi wa kutafuta haki zao kwa hiyo tuwasaidie kutafuta au kupata haki zao” mwisho wa kunukuu.
  14. Hii sii mara ya kwanza kwa Rais Samia kuzungumzia changamoto ya haki kwa Watanzania wengi wasiojua haki zao, mwaka jana siku maadhimisho ya miaka 10 ya taasisi ya mtandao wa watetezi wa haki za binaadam, THRDC inayoongozwa na mwanasheria, Onesmo Ole Ngurumwa.
  15. Rais Samia alisema, “Mtetezi mkubwa wa haki za binaadamu ndani ya Tanzania ni katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambayo serikali ndiyo inaitekeleza, ndio sheria mama ambayo haki zote za binadamu wanaoishi Tanzania”.
  16. Rais Samia anaendelea, “swala langu kwenu ni “jee hawa wanadamu tunao watetea, wanaijua hiyo katiba?, na nataka niache kazi kwenu katika eneo la elimu kwa umma, muifanye kazi hii ya kuwaelekeza watu waijue katiba yao, kwasababu wanapodai haki, lazima wajue na wajibu wao, haki ziko kwenye katiba na wajibu uko kwenye katiba wakielekezwa vizuri wataujua na wajibu wao nini kikatiba”, mwisho wa kunukuu. Msikilize Rais Samia mwenyewe
  17. Hivyo hiki ambacho makala hizi zinafanya, kuwaelimisha Watanzania kuhusu haki zao na katiba yao, ni kuwasaidia Watanzania, kulisaidia taifa, na kumsaidia Samia kutimiza nia Njema yake.
  18. Hivyo natoa wito kwa wanasheria kote nchini, haijalishi wewe ni nani kuanzia JM, majaji, mahakimu, mawakili na wasaidizi wa sheria, na bila kujali uko wapi ni mahakamani, serikalini, taasisi za umma, mashirika au wanasheria binafsi, tukiwemo sisi mawakili, sote tumuunge mkono Rais Samia katika kutimiza azma njema ya Rais Samia, kuhakikisha Watanzania wanatendewa haki.
  19. Tume hiyo ya haki jinai inayoongozwa na Jaji Mkuu mstaafu Othman Chande, akisaidiawa na Katibu Mkuu Kiongozi mstaafu, Balozi Ombeni Sefue, ameipa tume hii miezi 4 kuangalia mifumo ya utendaji wa taasisi zote za utoaji haki na kuahidi kuyafanyia kazi matokea ya Tume hiyo,
  20. Yakiwemo lile “zumari” fulani ambalo Jaji Mkuu Prof. Ibrahim Juma, alilizungumzia kuhusu zumari hilo lililopigwa kutokea Zanzibar, mlio wake ufike na huku bara,
  21. Rais Samia amesisitiza, kwa vile na yeye ametokea Zanzibar, “Lile zumari litalia, na mimi ni Mpemba, najua sana kupuliza zumari, kwa lile zumari litapulizwa, nitakapo pokea taarifa ya tume, na kusema ndio, mama puliza zumari, nitakwenda kufanya hivyo”,
  22. Hivyo sasa taasisi za haki serikali, pingeni kongole sana kwa Rais Samia, kusikia kilio chenu kilichowasilishwa kwa Rais Samia, na Jaji Mkuu, Prof. Ibrahim Juma, sasa kaeni mkao wa kula!.
  23. Kauli za vingozi wa kisiasa zinazotolewa kwenye hotuba, ziko za aina mbili, kwanza kiongozi anaandikiwa hotuba, kisha anapewa kuipitia, katika kuipitia huko, huongeza yale yak wake ya moyoni ambayo hakuandikiwa, na pili inawezekana hayo aliyoandikiwa, akakubaliana nayo na kuyangiza mayoni kwake hivyo akihutubia yanakuwa ni ya kwake.
  24. Sisi wasikilizaji wa hotuba za viongozi, pia tuko wa aina mbalimbali, kuna baadhi yetu tumejaaliwa uwezo wa ziada, unaposikiliza hotuba ya kiongozi, unakuwa na jicho la rohoni na sikio la ndani, ambapo kiongozi akisoma hotuba aliyoandikiwa, lakini anayoyasoma hayatoki moyoni kwake, baadhi yetu tunajua!.
  25. Kiongozi anayesoma hotuba aliyoandikiwa, huku hayo anayoyasema, hayatoki moyoni, bali yanatoka mdomoni tuu, wenzetu wazungu wanaita kwa Kiingereza, “paying lip services”, kuna wanasiasa wengi wanatoa hotuba za kuandikiwa, au hata bila kuandikiwa, bali wanasema kile kitu watu wanachotaka kusikia, lakini hakitoki moyoni mwao!.
  26. Ndio maana kwenye mikutano mingi ya kampeni, wanasiasa, wanaahidi vitu vingi, vingine ni vya uongo, au hata vya kweli lakini havitekelezwi!.
  27. Mimi nikimuangalia Rais Samia, na kusikiliza kauli za Rais Samia katika hili la haki, kusema la ukweli kabisa, Rais Samia, ana nia ya dhati kutoka moyoni mwake kuhakikisha Watanzania wanatendewa haki.
  28. Kauli za Rais Samia kuhusu haki sio paying lip services, anamaanisha kabisa hicho anachoongea.
  29. Na kuna msemo “haki huinuia taifa”, hivi hiki anachokifanya Rais Samia kwenye utoaji wa haki Tanzania, Rais Samia ataliinua sana Taifa la Tanzania, hivyo atabarikiwa sana, na Tanzania itabarikiwa sana!.

Mungu Mbariki Rais wetu Samia

Mungu Ibariki Tanzania

Paskali

Hoja za bandiko hili zimejibiwa na kampeni hii!. Uzinduzi wa Mama Samia Legal Aid Campaign - Sheria ya Ardhi ni ya Mwaka 1999 na Sio 1995
P
 
Wanabodi,

Kwa Maslahi ya Taifa kwenye Nipashe ya leo 5/02/2023

View attachment 2507414View attachment 2507416
Makala ya leo, ni kuhusu haki za binaadamu, na kwa wale wenye kumbukumbu mzuri ya safu hii, makala za mwanzo kabisa zilikuwa ni makala mfullulizo za “Kilio Cha Haki” ambazo nilizungumzia sana haki jinai.
  1. Ukosekanaji wa Haki kwenye Mhimili wa Mahakama, kunaweza kuwa kunachangiwa na Majaji/Mahakimu wenye uwezo mdogo kubaini haki?. Hoja hii imejibiwa kwa vitendo na matokeo yameonekana msikilize Rais Samia akizungumzia matokeo hayo
  2. Asante Rais Samia kwa kuwasisitiza watendaji wa vyombo vya haki kuwa haki sio hisani, bali ni stahiki. Watende haki, tubadili Katiba kurudisha haki
  3. Kumbe DPP kutenda haki kunawezekana! Hongera sana, kazi umeianza vizuri. Sasa haki sio tu inatendeka, inaonekana! Kazi Iendelee…
  4. Ushauri kwa DPP: Kutekeleza nia njema ya Rais Samia, kuona Haki ikitendeka; je, tumchagize DPP kutumia Nolle kufuta kesi zote zinazosuasua?
  5. Pongezi kwa DPP Mpya. Kama itampendeza, aanze kwa kutumia Nolle, kusafisha Uchafu wote wa mtangulizi wake...

Mtu unapozungumzia haki jinai namna hii, kisha ukasikia Rais ameunda timu kuangalia haki jinai, iwe makala zako zilichangia au hazikuchangia, haijalishi, lakini kitendo cha kukizungumza kitu kisha kikafanyiwa kazi ni faraja tosha kwako mwandishi.
  1. Rais Samia ana nia njema na ya dhati kwa kauli thabiti na matendo, Watanzania wapate haki, ila imetokea Watanzania hawajui haki zao!. Je tumsaidie Rais Samia na kuelimisha umma Katiba, Sheria na Haki au tuwaachie wenyewe?.
  2. Katiba japo ni kakitabu kadogo ka kurasa 143 tuu, lakini kukaelewa ni shughuli nzito!, ili Watanzania waielelewe katiba, kunatakiwa kufanyika kazi kweli kweli ya uelimishaji umma kuhusu Katiba, sheria na haki

Mungu Ibariki Tanzania

Paskali

Ni kweli pia kwamba mwamko wa Watanzania kutafuta haki ni tatizo,
Mkuu Nguruvi3 , naunga mkono hoja kwamba mwamko wa Watanzania kutafuta haki ni tatizo, na kwa utafiti wangu, tatizo kubwa sio Watanzania hawajui kutafuta haki, bali Watanzania hawazijui haki zao!. Hawazijui haki zao kwasababu hawaijui katiba yao, na hawazijui sheria zao!. Hivyo kitu cha kwanza cha kuwasaidia Watanzania ni kuwaelimisha, elimu ya Katiba, Sheria, na haki, ili sasa ndipo wahamasishwe na wapate mwamko wa kuzidai haki zao.

Kwenye hili mimi nimejitolea
View: https://youtu.be/ZJIKhnZCf04?si=mk9eDysfE-QeSJRP

Naombeni mniunge mkono, na ikitokea fursa kuwaita kushiriki katika kipindi, jitokezeni bila mimi kusema huyu ndiye Nguruvi3 au huyu ndiye JokaKuu
P
 
Wanabodi,

Kwa Maslahi ya Taifa kwenye Nipashe ya leo 5/02/2023

View attachment 2507414View attachment 2507416
Makala ya leo, ni kuhusu haki za binaadamu, na kwa wale wenye kumbukumbu mzuri ya safu hii, makala za mwanzo kabisa zilikuwa ni makala mfullulizo za “Kilio Cha Haki” ambazo nilizungumzia sana haki jinai.
  1. Ukosekanaji wa Haki kwenye Mhimili wa Mahakama, kunaweza kuwa kunachangiwa na Majaji/Mahakimu wenye uwezo mdogo kubaini haki?. Hoja hii imejibiwa kwa vitendo na matokeo yameonekana msikilize Rais Samia akizungumzia matokeo hayo
  2. Asante Rais Samia kwa kuwasisitiza watendaji wa vyombo vya haki kuwa haki sio hisani, bali ni stahiki. Watende haki, tubadili Katiba kurudisha haki
  3. Kumbe DPP kutenda haki kunawezekana! Hongera sana, kazi umeianza vizuri. Sasa haki sio tu inatendeka, inaonekana! Kazi Iendelee…
  4. Ushauri kwa DPP: Kutekeleza nia njema ya Rais Samia, kuona Haki ikitendeka; je, tumchagize DPP kutumia Nolle kufuta kesi zote zinazosuasua?
  5. Pongezi kwa DPP Mpya. Kama itampendeza, aanze kwa kutumia Nolle, kusafisha Uchafu wote wa mtangulizi wake...

Mtu unapozungumzia haki jinai namna hii, kisha ukasikia Rais ameunda timu kuangalia haki jinai, iwe makala zako zilichangia au hazikuchangia, haijalishi, lakini kitendo cha kukizungumza kitu kisha kikafanyiwa kazi ni faraja tosha kwako mwandishi.
  1. Rais Samia ana nia njema na ya dhati kwa kauli thabiti na matendo, Watanzania wapate haki, ila imetokea Watanzania hawajui haki zao!. Je tumsaidie Rais Samia na kuelimisha umma Katiba, Sheria na Haki au tuwaachie wenyewe?.
  2. Katiba japo ni kakitabu kadogo ka kurasa 143 tuu, lakini kukaelewa ni shughuli nzito!, ili Watanzania waielelewe katiba, kunatakiwa kufanyika kazi kweli kweli ya uelimishaji umma kuhusu Katiba, sheria na haki.
  3. Tanzania japo tuna wanasheria wengi ambao ni manguli wabobezi na wabobevu wa sheria, lakini wengi hawaijui katiba!.
  4. Serikali tunawasheria wengi manguli wabobezi na wabobevu wakiongozwa na Mwanasheria Mkuu wa serikali ambao walipaswa kuijua katiba vilivyo lakini wengi wao, hawaijui katiba, ndio maana serikali inaweza kutunga sheria batili inayokwenda kinyume cha katiba.
  5. Bunge letu nalo ambalo limeshehenezwa na wanasheria manguli wabobezi na wabobevu, lakini wametunga sheria batili inayokwenda kinyume cha katiba, hivyo Bunge letu na wabunge wetu nao hawaijui katiba kikamilifu.
  6. Mahakama ndio mhimili pekee ambao angalau angalau unaijua Katiba na kuliambia Bunge na Serikali kuwa sheria fulani ni batili kwasababu iko kinyume cha katiba, ila very unfortunately Mahakama haina meno, badala ya kubatilisha sheria batili, ndio kwanza inayarudishia yale yale majinga yaliyotunga sheria batili ndio yaibadilishe!. Hivyo mahakama kwenye kuitekeleza katiba nayo inashikwa na kigugumizi!.
  7. Lakini huku mitaani kuna wanasheshia wa kawaida tuu na taasisi za kisheria, wanaweza kabisa kusaidia kuelimisha umma elimu ya katiba sheria na haki, ili kumuwezesha Rais Samia kutimiza azma yake ya kutaka Watanzania kutendewa haki ni lazima kwanza hawa Watanzania wazijue haki zao.
  8. Hivyo hizi kauli dhabiti za Rais Rais Samia katika utoaji haki, nimeanza kuzifuatilia kwa muda mrefu, na wiki hii amezitoa tena katika matukio makubwa mawili, tukio la kwanza ni siku ya uzinduzi wa Tume ya Haki Jinai jijini Dodoma siku ya Jumatatu iliyopita ya tarehe 30 January na kesho yake tarehe mosi February kwenye Siku ya Sheria jijini Dodoma.
  9. Kwenye utetezi wa haki nchini Tanzania, tukubali tukatae, Rais Samia ana nia njema na ya dhati ya kuhakikisha Watanzania wanatendewa haki kwenye vyombo vya utoaji haki, na moja ya udhaifu mkubwa katika utoaji haki Tanzania, ni Watanzania, hawazijui haki zao!.
  10. Haki hailetwi kwenye kisahani cha chai, haki ni stahili na stahiki inayopaswa kutolewa bila wewe kuiomba, na ikitokea haki haikutolewa au haikutendeka, haki haiombwi, bali inapaswa kudaiwa, sasa ukiwa mtu hujui haki yako, huwezi kudai kitu usichokijua!
  11. Hiki kitu cha Watanzania kutokujua haki zao, nimesikia tena wiki hii, Rais Samia, akirudia kulisema jambo hili, kwenye kilele cha siku ya sheria iliyoadhimishwa kitaifa uwanja wa Chinangali, jijini Dodoma.
  12. Rais Samia, alisema mambo mengi makubwa mazuri katika utoaji haki nchini Tanzania, kubwa nililo ondoka nalo mimi leo katika makala hii ni hili la Watanzania hawajui haki zao!.
  13. Kwenye hili, Rais Samia amesema, na naomba nimnukuu “Wanasema, kuna msemo maarufu kwamba haki hupewi mkononi, lazima uitafute, lakini katika kutafuta haki kuna ujuzi, wananchi wetu wengi hawana ujuzi wa kutafuta haki zao kwa hiyo tuwasaidie kutafuta au kupata haki zao” mwisho wa kunukuu.
  14. Hii sii mara ya kwanza kwa Rais Samia kuzungumzia changamoto ya haki kwa Watanzania wengi wasiojua haki zao, mwaka jana siku maadhimisho ya miaka 10 ya taasisi ya mtandao wa watetezi wa haki za binaadam, THRDC inayoongozwa na mwanasheria, Onesmo Ole Ngurumwa.
  15. Rais Samia alisema, “Mtetezi mkubwa wa haki za binaadamu ndani ya Tanzania ni katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambayo serikali ndiyo inaitekeleza, ndio sheria mama ambayo haki zote za binadamu wanaoishi Tanzania”.
  16. Rais Samia anaendelea, “swala langu kwenu ni “jee hawa wanadamu tunao watetea, wanaijua hiyo katiba?, na nataka niache kazi kwenu katika eneo la elimu kwa umma, muifanye kazi hii ya kuwaelekeza watu waijue katiba yao, kwasababu wanapodai haki, lazima wajue na wajibu wao, haki ziko kwenye katiba na wajibu uko kwenye katiba wakielekezwa vizuri wataujua na wajibu wao nini kikatiba”, mwisho wa kunukuu. Msikilize Rais Samia mwenyewe
  17. Hivyo hiki ambacho makala hizi zinafanya, kuwaelimisha Watanzania kuhusu haki zao na katiba yao, ni kuwasaidia Watanzania, kulisaidia taifa, na kumsaidia Samia kutimiza nia Njema yake.
  18. Hivyo natoa wito kwa wanasheria kote nchini, haijalishi wewe ni nani kuanzia JM, majaji, mahakimu, mawakili na wasaidizi wa sheria, na bila kujali uko wapi ni mahakamani, serikalini, taasisi za umma, mashirika au wanasheria binafsi, tukiwemo sisi mawakili, sote tumuunge mkono Rais Samia katika kutimiza azma njema ya Rais Samia, kuhakikisha Watanzania wanatendewa haki.
  19. Tume hiyo ya haki jinai inayoongozwa na Jaji Mkuu mstaafu Othman Chande, akisaidiawa na Katibu Mkuu Kiongozi mstaafu, Balozi Ombeni Sefue, ameipa tume hii miezi 4 kuangalia mifumo ya utendaji wa taasisi zote za utoaji haki na kuahidi kuyafanyia kazi matokea ya Tume hiyo,
  20. Yakiwemo lile “zumari” fulani ambalo Jaji Mkuu Prof. Ibrahim Juma, alilizungumzia kuhusu zumari hilo lililopigwa kutokea Zanzibar, mlio wake ufike na huku bara,
  21. Rais Samia amesisitiza, kwa vile na yeye ametokea Zanzibar, “Lile zumari litalia, na mimi ni Mpemba, najua sana kupuliza zumari, kwa lile zumari litapulizwa, nitakapo pokea taarifa ya tume, na kusema ndio, mama puliza zumari, nitakwenda kufanya hivyo”,
  22. Hivyo sasa taasisi za haki serikali, pingeni kongole sana kwa Rais Samia, kusikia kilio chenu kilichowasilishwa kwa Rais Samia, na Jaji Mkuu, Prof. Ibrahim Juma, sasa kaeni mkao wa kula!.
  23. Kauli za vingozi wa kisiasa zinazotolewa kwenye hotuba, ziko za aina mbili, kwanza kiongozi anaandikiwa hotuba, kisha anapewa kuipitia, katika kuipitia huko, huongeza yale yak wake ya moyoni ambayo hakuandikiwa, na pili inawezekana hayo aliyoandikiwa, akakubaliana nayo na kuyangiza mayoni kwake hivyo akihutubia yanakuwa ni ya kwake.
  24. Sisi wasikilizaji wa hotuba za viongozi, pia tuko wa aina mbalimbali, kuna baadhi yetu tumejaaliwa uwezo wa ziada, unaposikiliza hotuba ya kiongozi, unakuwa na jicho la rohoni na sikio la ndani, ambapo kiongozi akisoma hotuba aliyoandikiwa, lakini anayoyasoma hayatoki moyoni kwake, baadhi yetu tunajua!.
  25. Kiongozi anayesoma hotuba aliyoandikiwa, huku hayo anayoyasema, hayatoki moyoni, bali yanatoka mdomoni tuu, wenzetu wazungu wanaita kwa Kiingereza, “paying lip services”, kuna wanasiasa wengi wanatoa hotuba za kuandikiwa, au hata bila kuandikiwa, bali wanasema kile kitu watu wanachotaka kusikia, lakini hakitoki moyoni mwao!.
  26. Ndio maana kwenye mikutano mingi ya kampeni, wanasiasa, wanaahidi vitu vingi, vingine ni vya uongo, au hata vya kweli lakini havitekelezwi!.
  27. Mimi nikimuangalia Rais Samia, na kusikiliza kauli za Rais Samia katika hili la haki, kusema la ukweli kabisa, Rais Samia, ana nia ya dhati kutoka moyoni mwake kuhakikisha Watanzania wanatendewa haki.
  28. Kauli za Rais Samia kuhusu haki sio paying lip services, anamaanisha kabisa hicho anachoongea.
  29. Na kuna msemo “haki huinuia taifa”, hivi hiki anachokifanya Rais Samia kwenye utoaji wa haki Tanzania, Rais Samia ataliinua sana Taifa la Tanzania, hivyo atabarikiwa sana, na Tanzania itabarikiwa sana!.

Mungu Mbariki Rais wetu Samia

Mungu Ibariki Tanzania

Paskali

Hatimaye hoja za bandiko hili zinakwenda kuwa implemented

View: https://youtu.be/ZJIKhnZCf04?si=IXfA8sZkNPxpaeZn
P
 
Wanabodi,

Kwa Maslahi ya Taifa kwenye Nipashe ya leo 5/02/2023

View attachment 2507414View attachment 2507416
Makala ya leo, ni kuhusu haki za binaadamu, na kwa wale wenye kumbukumbu mzuri ya safu hii, makala za mwanzo kabisa zilikuwa ni makala mfullulizo za “Kilio Cha Haki” ambazo nilizungumzia sana haki jinai.
  1. Ukosekanaji wa Haki kwenye Mhimili wa Mahakama, kunaweza kuwa kunachangiwa na Majaji/Mahakimu wenye uwezo mdogo kubaini haki?. Hoja hii imejibiwa kwa vitendo na matokeo yameonekana msikilize Rais Samia akizungumzia matokeo hayo
  2. Asante Rais Samia kwa kuwasisitiza watendaji wa vyombo vya haki kuwa haki sio hisani, bali ni stahiki. Watende haki, tubadili Katiba kurudisha haki
  3. Kumbe DPP kutenda haki kunawezekana! Hongera sana, kazi umeianza vizuri. Sasa haki sio tu inatendeka, inaonekana! Kazi Iendelee…
  4. Ushauri kwa DPP: Kutekeleza nia njema ya Rais Samia, kuona Haki ikitendeka; je, tumchagize DPP kutumia Nolle kufuta kesi zote zinazosuasua?
  5. Pongezi kwa DPP Mpya. Kama itampendeza, aanze kwa kutumia Nolle, kusafisha Uchafu wote wa mtangulizi wake...

Mtu unapozungumzia haki jinai namna hii, kisha ukasikia Rais ameunda timu kuangalia haki jinai, iwe makala zako zilichangia au hazikuchangia, haijalishi, lakini kitendo cha kukizungumza kitu kisha kikafanyiwa kazi ni faraja tosha kwako mwandishi.
  1. Rais Samia ana nia njema na ya dhati kwa kauli thabiti na matendo, Watanzania wapate haki, ila imetokea Watanzania hawajui haki zao!. Je tumsaidie Rais Samia na kuelimisha umma Katiba, Sheria na Haki au tuwaachie wenyewe?.
  2. Katiba japo ni kakitabu kadogo ka kurasa 143 tuu, lakini kukaelewa ni shughuli nzito!, ili Watanzania waielelewe katiba, kunatakiwa kufanyika kazi kweli kweli ya uelimishaji umma kuhusu Katiba, sheria na haki.
  3. Tanzania japo tuna wanasheria wengi ambao ni manguli wabobezi na wabobevu wa sheria, lakini wengi hawaijui katiba!.
  4. Serikali tunawasheria wengi manguli wabobezi na wabobevu wakiongozwa na Mwanasheria Mkuu wa serikali ambao walipaswa kuijua katiba vilivyo lakini wengi wao, hawaijui katiba, ndio maana serikali inaweza kutunga sheria batili inayokwenda kinyume cha katiba.
  5. Bunge letu nalo ambalo limeshehenezwa na wanasheria manguli wabobezi na wabobevu, lakini wametunga sheria batili inayokwenda kinyume cha katiba, hivyo Bunge letu na wabunge wetu nao hawaijui katiba kikamilifu.
  6. Mahakama ndio mhimili pekee ambao angalau angalau unaijua Katiba na kuliambia Bunge na Serikali kuwa sheria fulani ni batili kwasababu iko kinyume cha katiba, ila very unfortunately Mahakama haina meno, badala ya kubatilisha sheria batili, ndio kwanza inayarudishia yale yale majinga yaliyotunga sheria batili ndio yaibadilishe!. Hivyo mahakama kwenye kuitekeleza katiba nayo inashikwa na kigugumizi!.
  7. Lakini huku mitaani kuna wanasheshia wa kawaida tuu na taasisi za kisheria, wanaweza kabisa kusaidia kuelimisha umma elimu ya katiba sheria na haki, ili kumuwezesha Rais Samia kutimiza azma yake ya kutaka Watanzania kutendewa haki ni lazima kwanza hawa Watanzania wazijue haki zao.
  8. Hivyo hizi kauli dhabiti za Rais Rais Samia katika utoaji haki, nimeanza kuzifuatilia kwa muda mrefu, na wiki hii amezitoa tena katika matukio makubwa mawili, tukio la kwanza ni siku ya uzinduzi wa Tume ya Haki Jinai jijini Dodoma siku ya Jumatatu iliyopita ya tarehe 30 January na kesho yake tarehe mosi February kwenye Siku ya Sheria jijini Dodoma.
  9. Kwenye utetezi wa haki nchini Tanzania, tukubali tukatae, Rais Samia ana nia njema na ya dhati ya kuhakikisha Watanzania wanatendewa haki kwenye vyombo vya utoaji haki, na moja ya udhaifu mkubwa katika utoaji haki Tanzania, ni Watanzania, hawazijui haki zao!.
  10. Haki hailetwi kwenye kisahani cha chai, haki ni stahili na stahiki inayopaswa kutolewa bila wewe kuiomba, na ikitokea haki haikutolewa au haikutendeka, haki haiombwi, bali inapaswa kudaiwa, sasa ukiwa mtu hujui haki yako, huwezi kudai kitu usichokijua!
  11. Hiki kitu cha Watanzania kutokujua haki zao, nimesikia tena wiki hii, Rais Samia, akirudia kulisema jambo hili, kwenye kilele cha siku ya sheria iliyoadhimishwa kitaifa uwanja wa Chinangali, jijini Dodoma.
  12. Rais Samia, alisema mambo mengi makubwa mazuri katika utoaji haki nchini Tanzania, kubwa nililo ondoka nalo mimi leo katika makala hii ni hili la Watanzania hawajui haki zao!.
  13. Kwenye hili, Rais Samia amesema, na naomba nimnukuu “Wanasema, kuna msemo maarufu kwamba haki hupewi mkononi, lazima uitafute, lakini katika kutafuta haki kuna ujuzi, wananchi wetu wengi hawana ujuzi wa kutafuta haki zao kwa hiyo tuwasaidie kutafuta au kupata haki zao” mwisho wa kunukuu.
  14. Hii sii mara ya kwanza kwa Rais Samia kuzungumzia changamoto ya haki kwa Watanzania wengi wasiojua haki zao, mwaka jana siku maadhimisho ya miaka 10 ya taasisi ya mtandao wa watetezi wa haki za binaadam, THRDC inayoongozwa na mwanasheria, Onesmo Ole Ngurumwa.
  15. Rais Samia alisema, “Mtetezi mkubwa wa haki za binaadamu ndani ya Tanzania ni katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambayo serikali ndiyo inaitekeleza, ndio sheria mama ambayo haki zote za binadamu wanaoishi Tanzania”.
  16. Rais Samia anaendelea, “swala langu kwenu ni “jee hawa wanadamu tunao watetea, wanaijua hiyo katiba?, na nataka niache kazi kwenu katika eneo la elimu kwa umma, muifanye kazi hii ya kuwaelekeza watu waijue katiba yao, kwasababu wanapodai haki, lazima wajue na wajibu wao, haki ziko kwenye katiba na wajibu uko kwenye katiba wakielekezwa vizuri wataujua na wajibu wao nini kikatiba”, mwisho wa kunukuu. Msikilize Rais Samia mwenyewe
  17. Hivyo hiki ambacho makala hizi zinafanya, kuwaelimisha Watanzania kuhusu haki zao na katiba yao, ni kuwasaidia Watanzania, kulisaidia taifa, na kumsaidia Samia kutimiza nia Njema yake.
  18. Hivyo natoa wito kwa wanasheria kote nchini, haijalishi wewe ni nani kuanzia JM, majaji, mahakimu, mawakili na wasaidizi wa sheria, na bila kujali uko wapi ni mahakamani, serikalini, taasisi za umma, mashirika au wanasheria binafsi, tukiwemo sisi mawakili, sote tumuunge mkono Rais Samia katika kutimiza azma njema ya Rais Samia, kuhakikisha Watanzania wanatendewa haki.
  19. Tume hiyo ya haki jinai inayoongozwa na Jaji Mkuu mstaafu Othman Chande, akisaidiawa na Katibu Mkuu Kiongozi mstaafu, Balozi Ombeni Sefue, ameipa tume hii miezi 4 kuangalia mifumo ya utendaji wa taasisi zote za utoaji haki na kuahidi kuyafanyia kazi matokea ya Tume hiyo,
  20. Yakiwemo lile “zumari” fulani ambalo Jaji Mkuu Prof. Ibrahim Juma, alilizungumzia kuhusu zumari hilo lililopigwa kutokea Zanzibar, mlio wake ufike na huku bara,
  21. Rais Samia amesisitiza, kwa vile na yeye ametokea Zanzibar, “Lile zumari litalia, na mimi ni Mpemba, najua sana kupuliza zumari, kwa lile zumari litapulizwa, nitakapo pokea taarifa ya tume, na kusema ndio, mama puliza zumari, nitakwenda kufanya hivyo”,
  22. Hivyo sasa taasisi za haki serikali, pingeni kongole sana kwa Rais Samia, kusikia kilio chenu kilichowasilishwa kwa Rais Samia, na Jaji Mkuu, Prof. Ibrahim Juma, sasa kaeni mkao wa kula!.
  23. Kauli za vingozi wa kisiasa zinazotolewa kwenye hotuba, ziko za aina mbili, kwanza kiongozi anaandikiwa hotuba, kisha anapewa kuipitia, katika kuipitia huko, huongeza yale yak wake ya moyoni ambayo hakuandikiwa, na pili inawezekana hayo aliyoandikiwa, akakubaliana nayo na kuyangiza mayoni kwake hivyo akihutubia yanakuwa ni ya kwake.
  24. Sisi wasikilizaji wa hotuba za viongozi, pia tuko wa aina mbalimbali, kuna baadhi yetu tumejaaliwa uwezo wa ziada, unaposikiliza hotuba ya kiongozi, unakuwa na jicho la rohoni na sikio la ndani, ambapo kiongozi akisoma hotuba aliyoandikiwa, lakini anayoyasoma hayatoki moyoni kwake, baadhi yetu tunajua!.
  25. Kiongozi anayesoma hotuba aliyoandikiwa, huku hayo anayoyasema, hayatoki moyoni, bali yanatoka mdomoni tuu, wenzetu wazungu wanaita kwa Kiingereza, “paying lip services”, kuna wanasiasa wengi wanatoa hotuba za kuandikiwa, au hata bila kuandikiwa, bali wanasema kile kitu watu wanachotaka kusikia, lakini hakitoki moyoni mwao!.
  26. Ndio maana kwenye mikutano mingi ya kampeni, wanasiasa, wanaahidi vitu vingi, vingine ni vya uongo, au hata vya kweli lakini havitekelezwi!.
  27. Mimi nikimuangalia Rais Samia, na kusikiliza kauli za Rais Samia katika hili la haki, kusema la ukweli kabisa, Rais Samia, ana nia ya dhati kutoka moyoni mwake kuhakikisha Watanzania wanatendewa haki.
  28. Kauli za Rais Samia kuhusu haki sio paying lip services, anamaanisha kabisa hicho anachoongea.
  29. Na kuna msemo “haki huinuia taifa”, hivi hiki anachokifanya Rais Samia kwenye utoaji wa haki Tanzania, Rais Samia ataliinua sana Taifa la Tanzania, hivyo atabarikiwa sana, na Tanzania itabarikiwa sana!.

Mungu Mbariki Rais wetu Samia

Mungu Ibariki Tanzania

Paskali
Update
Hatimaye usaidizi huu, unakwenda kufanyika, kupitia kipindi cha TV kwenye kituo cha Channel Ten, kila siku za Jumapili Saa 3:00 usiku na marudio kila Jumatano saa 9:30 Alasiri.
View: https://youtu.be/ZJIKhnZCf04?si=IXfA8sZkNPxpaeZn
Usikose kuangalia!.
P

Wanabodi,
Nimelipitia bandiko hili na kuumia sana kwa kilichotokea hadi kifo cha huyu Mzee Kibao wa Chadema, ameuliwa kwasababu wananchi hawajui haki zao!.
1. Police haruhusiwi kumkamata mtu yoyote bila kwanza kujitambulisha yeye ni nani na ametokea kituo gani kwa kuonyesha kitambulisho cha polisi.
2. Mtu anayekamatwa ana haki ya kusoma number ya kitambulisho na kuihakiki kwenye mfuko wa kushoto wa nguo ya polisi.
3. Wakija polisi ambao ni askari kanzu, hawa hawana uniform hivyo hawavai numbers, hawaruhusiwi kumkamata mtuhumiwa bila kuandamana na polisi wenye uniforms!.
4. Mtu yeyote kabla hajakamatwa lazima awe na arrest warrant na lazima aripoti ofisi ya serikali ya mtaa husika!, aonyeshe arrest warrant atasibdikizwa na mtendaji wa mtaa kuja kukukamata.
5. Baada ya polisi kujitambulisha kwa kuonyesha kitambulisho, kitu cha pili ni kuonyesha arrest warrant na kukumbia
6. "Uko chini ya ulinzi, lazima aseme unakamatwa kwa kutuhumiwa kwa kosa gani?.
7. Polisi atatamka maneno haya " You have the right to remain silent, anything you say may be used for you or against you before the court of law"
Hii maana yake una haki ya kunyamaza kimya, chochote utakachosema kinaweza kutumiwa kama ushahidi wa kukusaidia au kukuangamiza mahakamani!.
8. Kitu cha tatu atakueleza "you have the right to legal representation", una haki ya uwakilishi wa kisheria.
9. Hapo atatoa pingu na kukufunga.
10. Kisha polisi hao watawaeleza hao mashuhuda wanakupeleka kituo gani ili ndugu zako wakufuatilie!.

Na ukifikishwa kituoni kabla hujaandikishwa maelezo unaaelezwa haki zako ikiwemo haki ya legal representation.

Haki hizi zikifundishwa kwa wananchi, 'wasiojulikana' watapungua, watabaki tuu wale wa pyu pyu kama wa Lissu.

Paskali
 
Wanabodi,
Nimelipitia bandiko hili na kuumia sana kwa kilichotokea hadi kifo cha huyu Mzee Kibao wa Chadema, ameuliwa kwasababu wananchi hawajui haki zao!.
1. Police haruhusiwi kumkamata mtu yoyote bila kwanza kujitambulisha yeye ni nani na ametokea kituo gani kwa kuonyesha kitambulisho cha polisi.
2. Mtu anayekamatwa ana haki ya kusoma number ya kitambulisho na kuihakiki kwenye mfuko wa kushoto wa nguo ya polisi.
3. Wakija polisi ambao ni askari kanzu, hawa hawana uniform hivyo hawavai numbers, hawaruhusiwi kumkamata mtuhumiwa bila kuandamana na polisi wenye uniforms!.
4. Mtu yeyote kabla hajakamatwa lazima awe na arrest warrant na lazima aripoti ofisi ya serikali ya mtaa husika!, aonyeshe arrest warrant atasibdikizwa na mtendaji wa mtaa kuja kukukamata.
5. Baada ya polisi kujitambulisha kwa kuonyesha kitambulisho, kitu cha pili ni kuonyesha arrest warrant na kukumbia
6. "Uko chini ya ulinzi, lazima aseme unakamatwa kwa kutuhumiwa kwa kosa gani?.
7. Polisi atatamka maneno haya " You have the right to remain silent, anything you say may be used for you or against you before the court of law"
Hii maana yake una haki ya kunyamaza kimya, chochote utakachosema kinaweza kutumiwa kama ushahidi wa kukusaidia au kukuangamiza mahakamani!.
8. Kitu cha tatu atakueleza "you have the right to legal representation", una haki ya uwakilishi wa kisheria.
9. Hapo atatoa pingu na kukufunga.
10. Kisha polisi hao watawaeleza hao mashuhuda wanakupeleka kituo gani ili ndugu zako wakufuatilie!.

Na ukifikishwa kituoni kabla hujaandikishwa maelezo unaaelezwa haki zako ikiwemo haki ya legal representation.

Haki hizi zikifundishwa kwa wananchi, 'wasiojulikana' watapungua, watabaki tuu wale wa pyu pyu kama wa Lissu.

Paskali

Tutofautishe utekaji na ukamataji.

Ni wazi utekaji ni kinyume cha sheria ila ndiyo wanaoufanya.
 
Wanabodi,

Zawadi yangu kwa Birthday ya Mama nilipanga kumpa wiki ya mwisho ya October 2025,

Ili zawadi hii iwe na manufaa kwake, nikisubiri mpaka hiyo 2025, it might be a bit too little too late, kuna ubaya hiyo zawadi, kutolewa mapema mwaka huu ili iweze kutumika mwaka kesho?.

Zawadi yenyewe ni Salaam tuu za Birthday zenye ki parcel fulani!

HBD Mhe. Rais Samia kwa kutimiza miaka 64!, nakupongeza sana na kukuombea afya njema!.

Mwakani 2025 utakuwa unatimiza umri wa miaka 65 na 2030 utakuwa na umri wa miaka 70, hivyo zawadi yangu ya pekee kwako ni HII na kukusisitizia, sio lazima kuizingatia saana kivile, ila ni muhimu kuisikiliza na kujisikilizia kama na wewe pia uliambiwa kama nilivyoambiwa mimi, kwasababu yule YEYE, sometimes ana tabia na mtindo wa kuwaambia watu wake, kupitia kwa watu wengine!, hivyo just listen and try to make sense of this, a think about it, if makes any sense to you, ikitokea it doesn't make any sense to you, then dismiss it as just another set of crap!.

Ila ikitokea na wewe pia uliambiwa, but you are not very sure kama ni YEYE au ni yeye, then don't take a chance!, usipuuze!, maana hicho kitu chenyewe, is nothing compared!.

If this being the case, then tunakuomba sana sana sana, ututekelezee haya mambo tunayokulilia nayo tangu umeingia kwenye usukani, tekeleza tuu yale yaliyomo ndani ya uwezo wako, maana kusubiria post 2025, it might be too little too late!. Please Mama!.


Na ikitokea wewe hujaambiwa mpaka 2025 inaingia na hujawahi kuambiwa na mtu mwingine yeyote, then ipuuze HII itakuwa sio sauti yake YEYE bali itakuwa ni sauti ya yeye tuu ambaye sio YEYE!.

Hivyo endelea na ule mpango wako wa 2025!, na Watanzania wanaolitakia mema taifa letu hili, wote tutakuwa Tuko nyuma yako,
Tuko pamoja nawe,
Tuko nawe!.

Mungu Akubariki Sana!.
HBD Mamaa!.
Paskali
HBD Rais Samia!.
P
 
Back
Top Bottom