Rais Samia anaendelea kuupiga mwingi, wapinzani watakuja kukosa cha kusema kabisa 2025

powercert_Tz

Member
Joined
Jul 19, 2022
Posts
45
Reaction score
44
Ukiachilia mbali suala la katiba mpya ambalo pia Rais Samia ameahidi kuanzisha mchakato upya, Dkt. Samia Suluhu Hassani baada ya kukamilisha ujenzi wa majengo 80 ya huduma za dharura (EMD), na majengo 28 ya huduma za wagonjwa mahututi, sasa vifaa vimeanza kufungwa ili kuboresha huduma za afya kwa wananchi.

Tangu aapishwe kua Rais wa Tanzania, Mh. Dkt. Samia Suluhu Hassan amekua na mwendelezo mzuri katika utelezaji wa miradi iliyoachwa na mtangulizi wake, pia ameboresha sana huduma za Afya, Elimu na kuipa kipao mbele sekta ya kilimo. Sekta zote hizo ni sekta nyeti ambazo zinamgusa kila mtanzania, maendeleo katika sekta hizo yamewaacha wapinzani bila sera kabisa, zaidi ya kusifu uongozi wa serikali yake.

Mpaka kufika 2025, kwa kasi hii ya maendeleo katika sekta hizi, itawaacha wapinzani bila sera za msingi na kushindwa kutoa changamoto katika kinyang`anyiro cha nafasi ya uraisi. Hongera Rais Samia, umeonesha nguvu ya mwanamke na weledi wake pindi anapopata mamlaka, kweli #mamayukokazini
 
πŸ’πŸ’πŸ’
Your browser is not able to display this video.
 
..Samia hawezi kumaliza changamoto zote.

..changamoto ambazo hazitapatiwa majibu mpaka 2025 ndio zitakuwa hoja za wapinzani.
 
2025 hawana hoja kabisa maana Rais Samia Suluhu ameimarisha sekta ambazo zinamlenga Mwananchimoja kwa moja kama vile miundombinu, afya, elimu kuimarishwa kwa ulinzi na usalama, Maji na Umee hizi ni sekta zinazomlenga mwananchi moja kwa moja na Rais Samia Suluhu ameboresha kwa asilimia kubwa
 

Mwigulu ni Karani tu. Umesikia.
 
2025 mbali kote tangu waanze kufanya mikutano yaan hakuna mvuto watu hakuna
 

Changamoto zipo nyingi Sana. Hizo Ni mbili katika mia.
 
2025 mbali kote tangu waanze kufanya mikutano yaan hakuna mvuto watu hakuna

Eti watu hakuna, wale Temeke ni wanyama. Mbona mnakaa kwa mashaka?. Umeona umati uliompokea Lissu na msafara wake. Nyie endelezeni uchawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…