Serikali chini ya Rais Samia katika juhudi za kuwawezesha vijana kiuchumi inaendesha program maalum ya mafunzo ya ufugaji wa kisasa ikiwa ni pamoja na unenepeshaji kwa muda wa mwaka mmoja ambapo baada ya mafunzo kila mshiriki atapewa mtaji wa TZS Milioni 10.
Kuwapa vijana ujuzi na mitaji imekuwa jambo la kila siku linalofanywa na Rais Samia hususani katika kilimo na ufugaji.
Rais Samia Suluhu analengo la kupunguza tatizo la ajira nchini ndio maana anawasaidia vijana kujikwamua kiuchumi kupitia ufugaji, kilimo na uvuvi
Kuwapa vijana ujuzi na mitaji imekuwa jambo la kila siku linalofanywa na Rais Samia hususani katika kilimo na ufugaji.
Rais Samia Suluhu analengo la kupunguza tatizo la ajira nchini ndio maana anawasaidia vijana kujikwamua kiuchumi kupitia ufugaji, kilimo na uvuvi