econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Namba ya simu ya kazi gani umeweka 😂
Anapoelekea sipo pazuri, maana uvumilivu umeanza kumshinda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namba ya simu ya kazi gani umeweka 😂
Mimi sijazungumzia habari za uteuzi katika andiko langu
Acha mawazo potofu , uvumilivu wa Nini ambao unasema utanishindaAnapoelekea sipo pazuri, maana uvumilivu umeanza kumshinda.
Mimi Hakuna nilipoongelea habari za uteuzi hapa na Wala hii siyo barua ya maombi na Wala huwa siandiki hapa barua ya maombi , Bali huandika hapa Kama jukwaa huru la kutoa mawazo yangu, lakini pia Ni Bora ungeeleza kinagaubaga huo uongo nilipoandika hapa ili nipate nafasi ya kujibu hoja kuliko ulivyoandika jumla jumla tu pasipo hoja ya msingiLengo lako upate teuzi. Na hautapata
kamwe, maana uchawa wako ni wa kiwango Cha kushtua hata kwa yule unayemsifia anakuona mnafiki, maana unasifia uongo.
Huyo ni "Gerson Msigwa" akiwa Mbozi.😂😂😂😂Hahahaha Leo umeweka na namba ya simu, kuna siku nilikwambia ukajifanya utaki naona Leo umeweka
Pia Acha kumsemea Rais kuna siku utakuja kupata matatizo
Unamuongelea Rais kama mtu tu wa mtaani unamwandika Kwa mambo ambayo Huna fact nayo
Urais sio Mtu ni taasisi na ina wasemaji wake
Ila kwa kujitoa ufahamu haujambo.😂😂😂😂Mimi Hakuna nilipoongelea habari za uteuzi hapa na Wala hii siyo barua ya maombi na Wala huwa siandiki hapa barua ya maombi , Bali huandika hapa Kama jukwaa huru la kutoa mawazo yangu, lakini pia Ni Bora ungeeleza kinagaubaga huo uongo nilipoandika hapa ili nipate nafasi ya kujibu hoja kuliko ulivyoandika jumla jumla tu pasipo hoja ya msingi
Uongo ni kazi kubwa.Hapo alitaka ku-fabricate takwimu akashindwa.😂😂😂😂U
Hivi Mwigulu ni PhD holder?. Mbona ameulizwa swali jepesi.
Mimi siropoki Bali naongea ukweli na Wala pia Waziri hajashindwa kujibu swali Kama u avyotaka kupotosha hapa maana Waziri ametoa takwimu kulingana na namna zinavyokusanywa na watalaamuMimi nashangaa waziri ameshindwa kujibu swali la takwimu, ila wewe mpiga debe usiye na access unaropoka tu.
Naona akili yako na mawazo yako yote umeyaegesha katika uteuzi na kushindwa kujadili hoja kwa kuwa umepofushwa na habari za uteuziHuyo ni wa kumwonea huruma. Anafikiri kwa kuongea mambo ya Rais atapata teuzi.
Siyo lazima kujionesha unajua na kuweza kila kitu.Wakati mwingine uwe unatulia na kusoma tu wanayoandika wenzio.Unajua hadi unapitiliza?Mimi siropoki Bali naongea ukweli na Wala pia Waziri hajashindwa kujibu swali Kama u avyotaka kupotosha hapa maana Waziri ametoa takwimu kulingana na namna zinavyokusanywa na watalaamu
Anayezidiwa na Msukuma🤔Hivi Mwigulu ni PhD holder
Andika lugha moja siyo kuchanganya lughaMpe muda wewe mwenyewe sio kulazimisha wengine. The wananchi are absolutely pissed off
Msukuma sifa yake ni kumiliki baiskeli,kucheza chagulaga,kilimo cha kufa na kuzikana na kutumia wali kama mboga.Hayo mengine labda alazimishwe.Mwanasiasa anayekimbillia kwenye tufanye maombi ni yule asiyetaka kuwajibika. Upungufu wa Megawatt 300 tunaingia kwenye mgao! Kulikuwa na haja gani ya kununua madege, kwanini hatuwekeza zaidi ya kwenye umeme wa gesi utoshe mahitaji yetu?
Hatupaswi kutegemea chanzo kimoja pekee Cha Nishati yetu ya umeme, hata tukitumia umeme wa gas bado tutauhitaji umeme wa maji pia ambao Ni nafuu Sana kigharama, hata mataifa makubwa bado yanaendelea kutumia vyanzo mchanganyiko katika uzalishaji wa umeme ikiwepo huu wa majiMwanasiasa anayekimbillia kwenye tufanye maombi ni yule asiyetaka kuwajibika. Upungufu wa Megawatt 300 tunaingia kwenye mgao! Kulikuwa na haja gani ya kununua madege, kwanini hatuwekeza zaidi ya kwenye umeme wa gesi utoshe mahitaji yetu?
Nasoma mengi tu humu yanayoandikwa na wengine kwa kadri ya uwezo wangu na kwa kadri navyopata muda na kuwa na salio la kuingia humu, hata kwa wanaonikosoa kwa hoja Napo pia natazama uzito wa hoja zao na kwa wanao nitukana hao Sina shida nao maana najuwa Ni kushindwa kukabili hoja ndiko kunakokuwa kunawatesaSiyo lazima kujionesha unajua na kuweza kila kitu.Wakati mwingine uwe unatulia na kusoma tu wanayoandika wenzio.Unajua hadi unapitiliza?
Sawa.Ila uwe unaandika kwa punctuation.Maelezo marefu hivyo kwa mstari mmoja bila hata nukta?Luca acha vituko!Nasoma mengi tu humu yanayoandikwa na wengine kwa kadri ya uwezo wangu na kwa kadri navyopata muda na kuwa na salio la kuingia humu, hata kwa wanaonikosoa kwa hoja Napo pia natazama uzito wa hoja zao na kwa wanao nitukana hao Sina shida nao maana najuwa Ni kushindwa kukabili hoja ndiko kunakokuwa kunawatesa
Nashukuru Nimepokea ushauri wakoSawa.Ila uwe unaandika kwa punctuation.Maelezo marefu hivyo kwa mstari mmoja bila hata nukta?Luca acha vituko!
Hakuna anayekataa kuwa tunahitaji mchanganyiko wa vyanzo vya umeme, swali ni kwanini tunategemea chanzo ambayo kinaathiriwa na upatikanaji wa mvua? Na kwanini tulitumia mabilioni kununua ndege wakati tungeweza kutengeneza Kinyerezi nyingine kama 3 kwa hizo pesa na kuondoka kabisa kwenye hii challenge?Hatupaswi kutegemea chanzo kimoja pekee Cha Nishati yetu ya umeme, hata tukitumia umeme wa gas bado tutauhitaji umeme wa maji pia ambao Ni nafuu Sana kigharama, hata mataifa makubwa bado yanaendelea kutumia vyanzo mchanganyiko katika uzalishaji wa umeme ikiwepo huu wa maji