Rais Samia anafahamu changamoto ya umeme nchini, tuombe mvua zinyeshe. Hata yeye anaumia

Rais Samia anafahamu changamoto ya umeme nchini, tuombe mvua zinyeshe. Hata yeye anaumia

Hakuna anayekataa kuwa tunahitaji mchanganyiko wa vyanzo vya umeme, swali ni kwanini tunategemea chanzo ambayo kinaathiriwa na upatikanaji wa mvua? Na kwanini tulitumia mabilioni kununua ndege wakati tungeweza kutengeneza Kinyerezi nyingine kama 3 kwa hizo pesa na kuondoka kabisa kwenye hii challenge?

Tuna shida ya priorities sio resources
Tuna shida ya kupenda sifa.Sasa ndege za nini?
 
Hakuna anayekataa kuwa tunahitaji mchanganyiko wa vyanzo vya umeme, swali ni kwanini tunategemea chanzo ambayo kinaathiriwa na upatikanaji wa mvua? Na kwanini tulitumia mabilioni kununua ndege wakati tungeweza kutengeneza Kinyerezi nyingine kama 3 kwa hizo pesa na kuondoka kabisa kwenye hii challenge?

Tuna shida ya priorities sio resources
Kila Zama na kitabu chake,Rais Samia aulizwe Maswali kwa maamuzi yaliyotendeka kupitia wino wake akiwa Rais Wa Tanzania
 
Hata Mimi nilijiuliza je hajui?hakili yangu ikaniambia she knows.nikajiuliza Tena y she is still silent when she knows About all this? Hakili yangu ikani jibu all is be cause LIKO NJE YA UWEZO WAKE.nikaiuliza Tena hakili yangu ume juaje?na una uhakika gani?Je una ushahidi KWAMBA LIPO NJE YA UWEZO WAKE? hakili yangu ikani jibu ASINGEKUBALI KUAIBIKA KIRAISI LINGEKUWA CHINI YA UWEZO WAKE KWASABABU HAKUNA KIONGOZI TIMAMU ANAYE PENDA KUDHARAULIKA NA WATU WAKE
 
Hahahaha Leo umeweka na namba ya simu, kuna siku nilikwambia ukajifanya utaki naona Leo umeweka

Pia Acha kumsemea Rais kuna siku utakuja kupata matatizo

Unamuongelea Rais kama mtu tu wa mtaani unamwandika Kwa mambo ambayo Huna fact nayo

Urais sio Mtu ni taasisi na ina wasemaji wake
Huyu jamaa nilimshauri bora achukue kadi aanzie uvccm huko anaweza kifikia hitaji lake, yeye anaendelea kujanza insha jf.
 
Huyu jamaa nilimshauri bora achukue kadi aanzie uvccm huko anaweza kifikia hitaji lake, yeye anaendelea kujanza insha jf.
Hapa Ni jukwaa huru kwa ajili ya kutoa mawazo yetu kwa ujenzi wa Taifa letu,
 
Dhamira ya mh Rais ipo wazi na ambapo amekuwa akieleza wazi juu ya suala hili la umeme na masula mengine mengi yaliyo katika ilani ya ccm

Ww unamsemea kama Nani? Mwakilishi wake? Msemaji wake? Au msemaji wa taasisi ya urais?

Tukusikilize ww au shaka au msigwa au zuhura?
 
Hapa Ni jukwaa huru kwa ajili ya kutoa mawazo yetu kwa ujenzi wa Taifa letu,

Uhuru wako sio Kwa kumsemea rahisi wa inchi

Kuwa mkristo hakukupi mamlaka ya kuusemea ukristo

Kuwa mtanzania hakukupi mamlaka ya kila ukiamka asubuh umeshiba maandazi unaongea mambo ya rais Kwa lugha nyepesi kabisa
 
Back
Top Bottom