Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuna shida ya kupenda sifa.Sasa ndege za nini?Hakuna anayekataa kuwa tunahitaji mchanganyiko wa vyanzo vya umeme, swali ni kwanini tunategemea chanzo ambayo kinaathiriwa na upatikanaji wa mvua? Na kwanini tulitumia mabilioni kununua ndege wakati tungeweza kutengeneza Kinyerezi nyingine kama 3 kwa hizo pesa na kuondoka kabisa kwenye hii challenge?
Tuna shida ya priorities sio resources
Tunalipa "keshi" kwenye ndege, zile Dreamliner 2 zinaweza kujenga Kinyerezi 3 na tukawa hatuna huu mgao.Tuna shida ya kupenda sifa.Sasa ndege za nini?
Ngoja nitulie.Nikiandika ntachokoza visirani vya watu.Tujidege twembamba turefu kama mkojo halafu abiria hakuna.😂😂😂😂Tunalipa "keshi" kwenye ndege, zile Dreamliner 2 zinaweza kujenga Kinyerezi 3 na tukawa hatuna huu mgao.
Kila Zama na kitabu chake,Rais Samia aulizwe Maswali kwa maamuzi yaliyotendeka kupitia wino wake akiwa Rais Wa TanzaniaHakuna anayekataa kuwa tunahitaji mchanganyiko wa vyanzo vya umeme, swali ni kwanini tunategemea chanzo ambayo kinaathiriwa na upatikanaji wa mvua? Na kwanini tulitumia mabilioni kununua ndege wakati tungeweza kutengeneza Kinyerezi nyingine kama 3 kwa hizo pesa na kuondoka kabisa kwenye hii challenge?
Tuna shida ya priorities sio resources
Kwa Mwenyezi Mungu muumba wa mbingu Na Dunia asiyeshindwa kwa lolote na ambaye kwake yote yanawezekana kwa wote waaminiotuombe wapi mvua
kuna vitu ukitafakari unaweza kusema vijana wetu ni janga kwa TAIFA.
SIKILIZA VIONGOZI WAKO
Nchi yetu inakuwa na mizigo mingi mkuuAnajitahidi kweli kuweka namba ya sim wamtafute,wampe teuzi
Ova
Mkuu bado hatujakombolewa kofikra.Lengo lako upate teuzi. Na hautapata
kamwe, maana uchawa wako ni wa kiwango Cha kushtua hata kwa yule unayemsifia anakuona mnafiki, maana unasifia uongo.
Huyu jamaa nilimshauri bora achukue kadi aanzie uvccm huko anaweza kifikia hitaji lake, yeye anaendelea kujanza insha jf.Hahahaha Leo umeweka na namba ya simu, kuna siku nilikwambia ukajifanya utaki naona Leo umeweka
Pia Acha kumsemea Rais kuna siku utakuja kupata matatizo
Unamuongelea Rais kama mtu tu wa mtaani unamwandika Kwa mambo ambayo Huna fact nayo
Urais sio Mtu ni taasisi na ina wasemaji wake
Hapa Ni jukwaa huru kwa ajili ya kutoa mawazo yetu kwa ujenzi wa Taifa letu,Huyu jamaa nilimshauri bora achukue kadi aanzie uvccm huko anaweza kifikia hitaji lake, yeye anaendelea kujanza insha jf.
Dhamira ya mh Rais ipo wazi na ambapo amekuwa akieleza wazi juu ya suala hili la umeme na masula mengine mengi yaliyo katika ilani ya ccm
Hapa Ni jukwaa huru kwa ajili ya kutoa mawazo yetu kwa ujenzi wa Taifa letu,
Umeshindwa kuelewa kazi kushabikia kitu usichokijua ndio taabu yake hiyoAndika lugha moja siyo kuchanganya lugha
Wala hupungukiwi kitu ukitumia lugha yetu nzuri na Fahari ya mtanzania lugha ya kiswahili iliyotuunganisha Kama Taifa na kujenga umoja wa KitaifaUmeshindwa kuelewa kazi kushabikia kitu usichokijua ndio taabu yake hiyo
Mimi naongea ukweli na siyo kutetea uozo maana serikali ya mama Samia Ni serikali sikivu na nyenyekevu kwa watanzaniaWewe ni chawa huna maana yoyote kutetea uozo kuna siku utalia na kusaga meno kwa kupigania usichokielwa