Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
-
- #61
Nifundishe lugha ngumu Kama unaona lugha nayotumia Ni nyepesiUhuru wako sio Kwa kumsemea rahisi wa inchi
Kuwa mkristo hakukupi mamlaka ya kuusemea ukristo
Kuwa mtanzania hakukupi mamlaka ya kila ukiamka asubuh umeshiba maandazi unaongea mambo ya rais Kwa lugha nyepesi kabisa
Trab na TratNdugu zangu kumekuwa na malalamiko juu ya changamoto ya umeme Hapa Nchini, Hali iliyosababishwa kwa kiasi kikubwa na Hali ya ukame iliyoikumba nchi yetu na kupelekea kupungua kwa kina Cha maji katika mabwawa yetu ya kuzalishia umeme, Sote tunafahamu umuhimu wa umeme katika uchumi wetu, umuhimu wa umeme katika shughuli za kijasiriamali, umuhimu wa umeme katika uzalishaji wa bidhàa za viwandani, Tunafahamu umeme ndio kila kitu hapa nchini katika shughuli karibu zote za kiuzalishaji, umeme ndio uwekezaji wenyewe kwa wawekezaji,wafanyabiashara,wamiliki wa viwanda,
Too late mkuuMimi naongea ukweli na siyo kutetea uozo maana serikali ya mama Samia Ni serikali sikivu na nyenyekevu kwa watanzania
Hakuna mahali niliposema Mimi Ni msemaji wa Rais au SerikaliWw unamsemea kama Nani? Mwakilishi wake? Msemaji wake? Au msemaji wa taasisi ya urais?
Tukusikilize ww au shaka au msigwa au zuhura?
Hakuna mahali niliposema Mimi Ni msemaji wa Rais au Serikali
Nifundishe lugha ngumu Kama unaona lugha nayotumia Ni nyepesi
Utumwa wa fikra kwa kumpa sifa chanya mtu anayefanya matendo hasi ni uharifu na unastahili adhabu kwa mjibu wa sheria. Hajawahi kufanya vizuri, hafanya vizuri na hatakuja kufanya vizuri kwa vyovyote vile kama sio kuwaneemesha wenye matumbo na kuwaacha wananchi walio wengi wakiteseka bila faraja halisia.Mimi naongea ukweli na siyo kutetea uozo maana serikali ya mama Samia Ni serikali sikivu na nyenyekevu kwa watanzania
Mkuu bado hatujakombolewa kofikraLengo lako upate teuzi. Na hautapata
kamwe, maana uchawa wako ni wa kiwango Cha kushtua hata kwa yule unayemsifia anakuona mnafiki, maana unasifia uongo.
Mawazo ndo unaacha na namba ya simu?? Au pengine umechelewa kuijua mitandao.Hapa Ni jukwaa huru kwa ajili ya kutoa mawazo yetu kwa ujenzi wa Taifa letu,
Acha chuki zako kwa mh Rais, kwamba hujaona maendeleo yaliyofanywa na mh Rais katika secta zote? Hujaona ujenzi wa vituo vya Afya? Hujaona ujenzi wa shule na vyumba vya madarasa,hujaona utoaji wa Elimu bure mpaka kidato Cha sita? Hujaona ongezeko la bajeti katika wizara zote Kama ilivyo katika kilimo? Hujaona utolewaji wa mbolea za Ruzuku? Eneo gani ambalo halijaguswa kiutendaji na mh Rais? Acha chuki zako na hata hivyo umechelewa Sana maana watanzania wanamuunga mkono Rais na kumkubali utendaji kazi wakeUtumwa wa fikra kwa kumpa sifa chanya mtu anayefanya matendo hasi ni uharifu na unastahili adhabu kwa mjibu wa sheria. Hajawahi kufanya vizuri, hafanya vizuri na hatakuja kufanya vizuri kwa vyovyote vile kama sio kuwaneemesha wenye matumbo na kuwaacha wananchi walio wengi wakiteseka bila faraja halisia.
Wanaomuunga mkono ni Pwani maeneo ya Chalinze, Mkuranga, Kigoma na wafanyabiashara wakubwa wasio waaminifu ambao ni asilimia 15% ukiwemo wewe na wanufaika wa kulamba asaliAcha chuki zako kwa mh Rais, kwamba hujaona maendeleo yaliyofanywa na mh Rais katika secta zote? Hujaona ujenzi wa vituo vya Afya? Hujaona ujenzi wa shule na vyumba vya madarasa,hujaona utoaji wa Elimu bure mpaka kidato Cha sita? Hujaona ongezeko la bajeti katika wizara zote Kama ilivyo katika kilimo? Hujaona utolewaji wa mbolea za Ruzuku? Eneo gani ambalo halijaguswa kiutendaji na mh Rais? Acha chuki zako na hata hivyo umechelewa Sana maana watanzania wanamuunga mkono Rais na kumkubali utendaji kazi wake
Ulaya Mungu haishi huko hivyo wao changamoto zote hawaombi ila wao wanatengeneza vifaa vya kuzalisha umeme.Ndugu zangu kumekuwa na malalamiko juu ya changamoto ya umeme Hapa Nchini, Hali iliyosababishwa kwa kiasi kikubwa na Hali ya ukame iliyoikumba nchi yetu na kupelekea kupungua kwa kina Cha maji katika mabwawa yetu ya kuzalishia umeme, Sote tunafahamu umuhimu wa umeme katika uchumi wetu, umuhimu wa umeme katika shughuli za kijasiriamali, umuhimu wa umeme katika uzalishaji wa bidhàa za viwandani, Tunafahamu umeme ndio kila kitu hapa nchini katika shughuli karibu zote za kiuzalishaji, umeme ndio uwekezaji wenyewe kwa wawekezaji,wafanyabiashara,wamiliki wa viwanda,
Umeme unamgusa kila mtu na kila mmoja kuanzia wajasiriamali wadogo Hadi wafanyabiashara wakubwa, huku chini kabisa utawakuta vinyozi, watu wa gereji, watu wakuchomelea mageti, madirisha n.k, watengeneza barafu wote wanategemea umeme, wauza vinywaji vya baridi, wauza samaki wabichi, n.k. umeme ndio ajira kwa vijana walio wengi , umeme ndio kula ya watu, ndio Ada za watu, ndio chanzo Cha michango kwa Wana vicoba, ndio Ada za watoto shule, ndio maisha ya wengi, Umeme ndio Taa ya Taifa Na Ndio Mwanga Wa nchi yetu
Hii ndio sababu unaona suala hili linamgusa kila mtu na kumuumiza kila mtu, ndio sababu ya kuona kila eneo watu wakiwa wamekaa wakisubiri umeme uwake, ndio sababu ya kuona watu wakiwa wanyonge na wapweke wakisubiri umeme,ndio sababu unaona watu wakiwa wanaendelea kumwangaliaa na kumsikiliza mh Rais wetu mpendwa na kipenzi Cha watanzania juu ya suala hili la umeme, ndio sababu ya kuona watanzania wakiendelea kuomba Mvua inyeshe ili isaidie kupunguza changamoto hii
Ikumbukwe kuwa Ni watanzania wachache Sana wenye uwezo wa kuweza kununua na kutumia jenereta, ndio sababu ya kuona miji ikiwa kimya pale panapokuwa pamekatika umeme, Ndio sababu ya kuona shughuli zote zinazotegemea umeme zikiwa zimesimama pale umeme unapokuwa umekatika
Jambo pekee tunalopaswa kulifahamu watanzania ni kuwa Rais wetu mpendwa Mama Samia analifahamu suala hili,anaumizwa na suala hili,anasononeshwa na suala hili, anateswa na suala hili la umeme, ana huzunishwa na suala Hilo, analia na suala hili, anakosa usingizi kwa suala hili ,anahangaika huku na kule kwa suala hili, hakai Alipo kwa suala hili,anatoa maelekezo muda wote juu ya suala hili, analia na watanzania na anapata maumivu tuyapatayo watanzania lakini yeye kwa kuwa Ni kiongozi wetu anakwenda mbele yetu hatua kadhaa kutatua tatizo hili,ndio sababu ya kuona serikali ikiweka mkakati wa kuamua kutumia Hadi gas kuzalisha umeme ili kupunguza makali,
Watanzania Tuendelee kumwamini Rais wetu, Tuendelee kuwa na Subira, Tuendelee kumsikiliza, Tuendelee kumtia moyo katika wakati huu wa mapambano, Tuendelee kuwa naye bega kwa bega, Tuendelee kumwomba Mwenyezi Mungu Atupatie mvua nyingi zenye baraka na Neema zisizo na madhara kwa maisha yetu Wala kuleta maafa na uharibifu wa Miundombinu, Rais wetu anayo dhamira njema na Taifa letu,Ni mzalendo aliyeiva na anayeipenda nchi yake
Rais wetu Hapendi Wala kufurahishwa na Hali hii, hapendi kuona watanzania tukiwa gizani,hapendi kuona akifanya juhudi kubwa za kuvutia wawekezaji halafu waanze kupata changamoto ya umeme,anajuwa Jambo Hilo litawakatisha tamaa wawekezaji,anajuwa ukosefu wa umeme utasababisha bidhàa kupanda Bei hasa pale zinapozalishwa kwa kutumia mafuta, anatambua Jambo hili litapunguza na kuyumbisha uchumi wa Kaya nyingi na kupelekea Hali ya umaskini wa kipato, maana hata Mimi Nina mdogo wangu Ni Fundi kuchomelea lakini mpaka Sasa anashindwa kupata hela kutokana na changamoto hii, hata hivyo bado Anayo Imani na serikali ya mama Samia Kama ilivyo kwangu na watanzania wote tulivyo na imani na Rais wetu mpendwa Mama Samia Suluhu Hassan,Hivyo Rais wetu Mama Samia hawezi kukubali watanzania Tuwe wanyonge,ndio sababu ya kuona namna serikali ikipambana juu ya suala hili
Mwisho Tuendelee kupeana Elimu juu ya utunzaji wa mazingira yetu ,misitu yetu ,vyanzo vyetu vya maji, tusiharibu na kuchoma hovyo misitu yetu, lakini kubwa kuliko Tuendelee kumwomba mwenyezi Mungu Atupatie Mvua katika Taifa letu, Tupige magoti kila mmoja kwa Imani yetu na tujinyenyekezi na kujongea mbele zake,Tanzania yetu chini ya uongozi shupavu wa Mama Samia Ni salama na imara Sana ,Ni Tulivu na yenye amani na usalama wa kutosha ,Tumwamini Rais wetu na Tuwe na Subira maana ni kiongozi mwenye huruma upendo na Shupavu Sana
Kazi iendeleee,mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti
Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.: 0742-676627
Kwa hiyo kwa akili yako unafikiri mh Rais anapenda umeme usiwepo hapa nchini? Au ulitaka kusema Nini mkuu
Tindo Kwani huzioni juhudi za serikali katika kushughulika na changamoto hii, na kwa Sasa Kuna mikakati ya muda mfupi ,wa Kati na mrefu wa kuumaliza kero hii Kama ambavyo tumekuwa tukielezwa na serikali yetu inayoongozwa na mama Samia, Tuwewavumilivu na wenye Subira na Tuiamini serikali yetu, itatuvusha hata katika hili hasa kwa kuzingatia kuwa mvua zimeshaanza kunyesha katika baadhi ya maeneo hapa nchini, kila changamoto huja na somo,hata katika hili naamini serikali yetu imejifunza Jambo hususani katika vile vyanzo vya Nishati yetu ya umemeKama ili umeme uwepo ni lazima tuombe mvua inyeshe, yeye anakuwa rais na kulipiwa kila kitu kwa kodi za wananchi ili iweje? Kwanini yeye tunayemlipa asiende kuomba hiyo mvua ili tupate umeme.
Hata ulaya walipitia haya tunayopitia leo, na katika mapito hayo walikuwa wanajifunza kwa kila pito watakalo pitia, hata sisi tutavuka na kuvushwa na serikali yetu Hii shupavu ya Mama SamiaUlaya Mungu haishi huko hivyo wao changamoto zote hawaombi ila wao wanatengeneza vifaa vya kuzalisha umeme.
Tindo Kwani huzioni juhudi za serikali katika kushughulika na changamoto hii, na kwa Sasa Kuna mikakati ya muda mfupi ,wa Kati na mrefu wa kuumaliza kero hii Kama ambavyo tumekuwa tukielezwa na serikali yetu inayoongozwa na mama Samia, Tuwewavumilivu na wenye Subira na Tuiamini serikali yetu, itatuvusha hata katika hili hasa kwa kuzingatia kuwa mvua zimeshaanza kunyesha katika baadhi ya maeneo hapa nchini, kila changamoto huja na somo,hata katika hili naamini serikali yetu imejifunza Jambo hususani katika vile vyanzo vya Nishati yetu ya umeme
Hakuna kero ambayo haishughulikiwi na serikali hii,hakuna changamoto inayofumbiwa macho, kila kitu kinapewa uzito wa kipekeee na nguvu ya kutosha, suala la mfumuko wa Bei Tuliona serikali yetu ikitoa Ruzuku ya billion Mia moja kila mwezi katika mafuta na billion Mia moja hamsini katika mbolea,Tuiamini serikali yetu na Tuwe na Subira tutavuka tu salamaTatizo kipindi mambo ni magumu, ajira, mfumuko wa Bei, ajali, mgao wa maji, mgao wa umeme , rushwa nk bado wewe huoni hizo changamoto umebaki kusifia ujinga. Kisa Tumbo lako unaona shida zinazowapata wananchi hazikuhusu. Punguza unafiki.
Tindo Nakuomba umuamini Rais wetu, mama Samia anazungumza kilicho katika moyo wake na kutenda alichokizungumza, Huyu Ni Rais wa vitendo na matendo , lakini pia lazima Tufahamu kuwa Mahitaji ya umeme yanaongezeka kila Siku kutokana na kuimarika kwa uchumi wetu na kuongezeka kwa shughuli za uzalishaji zinazotegemea umeme, ndio maana serikali inafanya kazi ya kuongeza upatikanaji wa umeme kila Siku na katika maeneo tofauti tofautiChangamoto za umeme nchi hii ni zaidi ya miongo mitatu, na chama kilichotutia hasara kwenye upande huo ni hiki hiki. Sasa unapoweka maandashi marefu kuleta excuse za kijinga sijui unaaminisha nini. Ww sio mpambe wa kwanza kumsifia rais aliyeko madarakani hapa jukwaani. Walikuwepo wenzio na walikuwa na porojo hizihizi kama ww.