Rais Samia anafanya kazi nzuri na amezungukwa na watu wema. Orodha yao hii hapa

Rais Samia anafanya kazi nzuri na amezungukwa na watu wema. Orodha yao hii hapa

Rasterman

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2015
Posts
33,894
Reaction score
44,117
Waswahili hawakukosea waliposema " nioneshe rafiki yako nikwambie tabia zako"

Sote tunakubali mpaka sasa( hatujui hapo baadae) Mh Rais Samia( PhD honorius causas) Ni rais wa pekee sana.

Ni wa pekee kwa sababu ndio Rais ambaye ameweza kwa uwazi kukemea mambo maovu yaliyokuwa yakitendeka hapo nyuma.

Rais Samia Anafungua Nchi na kusafisha Nchi. How nice!

Ni muhimu sana kutambua kazi nzuri inayofanywa na wasaidizi wake.

Hawa ni wasaidizi aliowateua Aprili 16, 2021.
Hatuna cha kuwapa bali tunasema sisi wanachi wapenda Haki, Amani na maendeleo mna sapoti yetu.
images (1).png
 
Kuna watu walipewa nafasi hawakuitumia ipasavyo. MaDC igeni mfano huo
 
Waswahili hawakukosea waliposema " nioneshe rafiki yako nikwambie tabia zako"

Sote tunakubali mpaka sasa( hatujui hapo baadae) Mh Rais Samia( PhD honorius causas) Ni rais wa pekee sana.

Ni wa pekee kwa sababu ndio Rais ambaye ameweza kwa uwazi kukemea mambo maovu yaliyokuwa yakitendeka hapo nyuma.

Rais Samia Anafungua Nchi na kusafisha Nchi. How nice!

Ni muhimu sana kutambua kazi nzuri inayofanywa na wasaidizi wake.

Hawa ni wasaidizi aliowateua Aprili 16, 2021.
Hatuna cha kuwapa bali tunasema sisi wanachi wapenda Haki, Amani na maendeleo mna sapoti yetu.View attachment 2502326
Mkuu tuheshimu basi.
Hii taarifa ya uteuzi tunayo.

Na kama hao washauri wa uchumi wslitupeleka kwenhe TOZO Tatizi basi tumeshajua marafiki wa mama yatu
 
Mkuu tuheshimu basi.
Hii taarifa ya uteuzi tunayo.

Na kama hao washauri wa uchumi wslitupeleka kwenhe TOZO Tatizi basi tumeshajua marafiki wa mama yatu
Tunakumbushia tu. Rais akifanya vizuri raia wema tumtie moyo kwa pongezi
 
Back
Top Bottom