Rais Samia anafanya makusudi tu

naomba mungu mama samia aondoke madarakani aje majaliwa kasim majaliwa ee mungu yaa allah nakuomba ya allah muondoe mama samia madarakani tupate unafuu maji shida, vyakula shida, wapigaji mali ya umma wamekuwa wengi, wauza dawa za kulevya wamejaa, vituo vya mafuta feki zimekuwa nyingi, tuokoe
 
Msameheni tu mama wa watu. Hana sauti. Alifanya kosa kubwa sana kuwaingiza kwenye Serikali watu ambao wananuka UFISADI wa kutosha. Sasa wanampanga mama wa watu,anapangika vizuri na baadaye wanampangua.
Saa hizi wanapiga pesa kwa kiwango cha kimataifa. Nchi inachakaa kila kukicha. Ni hatari sana.
 
Hivi mtu anakuta chakula kipo mezani yenyenurefu wa futi 12 na viti nane. Nani wa kumwambia huko nje khna njaa kali?
 
Haya yote uliyoandika Uzi ni mazuri sana tena sana,sana ili usiwe kama Rais. SAMIA yatoe kwenye nadharia uyaweke kwenye vitendo.

Anza kwa ku-organise jamii yako inayokuzunguka anzisheni maandamano kuelekea Ikulu -ili ujimbe wenu usikike na Serikali kivitendo .Kama huwezi basi kalisha mbigili zako chini kuliko kulalama pasipo na faida.
 
Kiongozi yeyote anayependa ku-delegate kila kitua halafu aletewe taarifa za mrejesho bila kwenda kwenye 'field' kuhakiki kinachosemwa na wasaidizi wake huyo ni dhaifu na ana lengo ovu.
 
Hatogombea , maana hajawahi kugombea
 
Mapambio hayaimbiki tenaa. Kila kona ni manung'uniko.
 
Tukubali tu. Viatu vikubwa. Karudisha wote waliopigwa chini kisa walikuwa wanachukiwa kumbe hawakuweza kazi.
Eti hataki audui?! Mtu yuko incompetent unamrudisha tena wa nini?!
Eti tusifokeane wala kukanyana! Tutafika kweli?!
Kila akisafiri mchwa wanafanya kazi yao. Takukuru, polisi na vyombo vyote vya kulinda usalama rasilimali na maliasili viko butu.
Haya asilimia 85 mpaka 90 ya mwili wa binadamu ni maji. Yeye kakaa akiwatazama hao wahusika wakibabaisha!
It's too much kwa kweli.....
 
CCM kama watamrudisha huyu mtu 2025 nitawadharau milele.
 
Basi unafundishwa na we uwe na akiri Kama mangi acha uzezeta
 
Dogo hujui kitu. Jpm ndo aliharibu nchi kabisa mama anairekebisha Sana kwa madudu aliyofanya jpm. Jpm alikuwa anatengeneza ugaidi nchini bila kujua. We unafikiri alshabaab na wengine wanaibuka tu?
 
Hatali mkuu yaani mama inaonekana hana maamuzi kabisa
 
Ndo uwezo wake ulipo si unaona ametengaza kulipa watu walifoji vyeti na kujipatia ajira leo tena anawalipa
Ulishawahi kuona wapi duniani
 
Naona mama hana mpango wa kugombea maana siona atakachokuja kuwaambia watanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…