Rais Samia anafanya usanii wa demokrasia. Maridhiano ni janja tu ya kujisafisha kimataifa

Rais Samia anafanya usanii wa demokrasia. Maridhiano ni janja tu ya kujisafisha kimataifa

Hajawahi kupenda demokrasia na tayari Chadema imeanza kumstukia
Tuliwaasa ila mkawa kichwa ngumu! Hakuna mtu anaweza kuingiza kichwa chake katika mdomo wa mamba. Hata katiba mpya ni geresha tu, Nani anyanganywe madaraka, ashitakiwe etc atakuwa ni hayawani tu kukubali katiba Mpya. Mmesahau ile ya JK ambapo Chadema mlitoka nje.

Niwaeleze, hakuna katiba Mpya kama hakuna kifungu katika sheria kama nachosema mtu yeyote atakayehusika na uandaaji wa katiba Mpya asigombee uongozi wa nchi hii kwa miaka 20 including Rais.

Hapo tutapata katiba safi, bila hicho kifungu hakutakuwa na katiba Mpya ya maana maana kila mtu au kundi litatafuta liponee wapi! Watch my words my dear
 
Tukumbushane:
The hallmarks of Bad governance:
1. Ambiguity
2. Arbitrariness
3. Capriciousness

Ongeza mengine ukipenda
 
Nimefuatilia kauli na Matendo ya rais Samia nimejiridhisha kwamba siyo mpenda demokrasia kama anavyojinadi majukwaan...
Hizo ndiyo siasa na hiyo ndiyo demokrasia. Kuwanyamazisha watu siyo lazima utumie bunduki kama Magufuli alivyokuwa anaua akina Ben Saanane au kumshambulia Lissu.

Samia amewiva
 
Nimefuatilia kauli na Matendo ya rais Samia nimejiridhisha kwamba siyo mpenda demokrasia kama anavyojinadi majukwaani...
Uzi wako lengo lake kubwa ni hao kina Halima. Magomvi yenu ya ndani unataka Rais aingilie kati!
Kwa hiyo maridhiano yalisema kwamba Chadomo mtapewa upendeleo maalum?

Mimi sijawahi kuamini kwamba Tanzania kuna mgogoro, si wa kisiasa wala kikatiba. Kilichokuwepo ni Hawa jamaa kutomtambua JPM bila sababu ya msingi baada ya kugaragazwa vibaya kwenye uchaguzi wa 2020! Na aliwanyoosha kwa kasi yake ya utendaji.

Ingelikuwa wale wafia chama akina Mbowe, Nyalandu Heche, Msigwa, Sugu, Lema na wengineo wangeshinda ubunge basi usingesikia kugomea bunge au serikali.

Hili halina ubishi. Cha ajabu ni kwamba Rais Samia amechukua usukani wa nchi, wameamua kumtambua bila masharti wakati alikuwa makamo kwenye uchaguzi ule ule tu ambao wanaulalamikia. Thinking capacity ya viongozi na wanachama si tatizo. Tatizo ni "critical thinking".

Sasa hivi wanasubiri wapewe nafasi za ubunge mbili tatu za kuteuliwa, hapo ndo watakwambia hakika hayo ndo maridhiano ya kitaifa.

Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
 
Mwache afanye usaniii wake tu.

Lakini hala hala, yasije yakamkuta kama ya mwenzie Mwendazake!
Kauli yako inafikirisha sana. Kuna kitu ama unakijua kilichomkuta huyo unaemuita mwendazake au unakusudia kumtisha Rais wetu kwamba mabeneru walimuondoa mtangulizi wake kwa hiyo yeye akubaliane nao ili kisimkute cha kumkuta.

Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
 
Nimefuatilia kauli na Matendo ya rais Samia nimejiridhisha kwamba siyo mpenda demokrasia kama anavyojinadi majukwaani...
Kwako wewe maridhiano ni kufanya mambo yote ambayo chadema mnataka

Kwaiyo ni nyie Tu ndio mnaitaji kuridhiwa Ila sio na nyie mridhie?

Mabosi wenu wote wamelipwa stahili zao, wamerudishiwa Uhuru wao,

Katiba mpya ipo kwenye mchakato, sasa mnataka nn zaidi?

Mwisho mtasema rais ajiuzuru ufanyike uchaguzi mpya
 
Uzi wako lengo lake kubwa ni hao kina Halima. Magomvi yenu ya ndani unataka Rais aingilie kati!
Kwa hiyo maridhiano yalisema kwamba Chadomo mtapewa upendeleo maalum...

Au rais ajiuzuru ili kuwe na uchaguzi mwingine kwao hayo ndio maridhiano
 
Alikuwa Makamu Mwenyekiti wa Bunge la Katiba ya Warioba chini ya Samuel Sitta, alijionyesha wazi kupinga maoni ya wananchi, leo mtu yuleyule amebadilikaje?
Alikuwa pia ndiye makamu wa Magufuli na kama corona haingemchukua bosi wake hadi leo angekuwa bado ni makamu wa Magufuli. Ndege wafananao huruka pamoja.
 
Wazungu wamekwishamstukia kwamba analenga kupewa misaada tu , lakini hana malengo ya demokrasia .

EU itatoa Tamko hivi karibuni .

Mungu wabariki Wazungu .
Mungu wabariki nani?

Wewe ni mtanzania kweli au clonned?
 
Watu walijadili na Pik Bother, PW Bother, Frederick De Klerk Ian Smith na matokeo yakaonekana. Mau Mau walijadili na mtawala wa Kenya Colony na matokeo chanya yakapatikana.

Ni sahihi kabisa kwa vyama vya upinzani kujadiliana na chama tawala. Cha msingi ni kuwa macho. Kuna waliohodhi madaraka kwa miaka 60 na hawatakubali kwa urahisi kuingia kwenye mfumo ambao utawapunguzia uwezo wa kuiba kura.

Mie sio Chadema wala chama chochote lakini najua kuna akili kubwa kama Tundu Lisu huko Chadema. They won't sell us.
 
Kumekucha wapi??? Hapo ulipo? Mbowe ni akili kubwa mzee. Kutambua tu kwamba unaongea na mtu asiyeaminika ni akili kubwa

Akili ya kuganga njaa yake na ya familia yake anayo, lakini akili ya kupigania maslahi ya nchi hana. That’s why, kwake yeye, kubadili gia angani ni kitu cha kawaida sana. Pia, kama angekuwa na akili kubwa, asingeshindwa kujua kwamba mikutano yake na Hangaya ina zero chance ya kuzaa kitu chochote chenye maslahi kwa taifa.
 
Anajipambanua ni RAFIKI MWEMA nyuma kaficha panga.

Mwenyekiti kidato cha 4 na katibu ni kidato cha sita kushtuka mapema itakuwa ngumu
 
Tuliwaasa ila mkawa kichwa ngumu! Hakuna mtu anaweza kuingiza kichwa chake katika mdomo wa mamba. Hata katiba mpya ni geresha tu, Nani anyanganywe madaraka, ashitakiwe etc atakuwa ni hayawani tu kukubali katiba Mpya. Mmesahau ile ya JK ambapo Chadema mlitoka nje.

Niwaeleze, hakuna katiba Mpya kama hakuna kifungu katika sheria kama nachosema mtu yeyote atakayehusika na uandaaji wa katiba Mpya asigombee uongozi wa nchi hii kwa miaka 20 including Rais.

Hapo tutapata katiba safi, bila hicho kifungu hakutakuwa na katiba Mpya ya maana maana kila mtu au kundi litatafuta liponee wapi! Watch my words my dear
Kwamba hujui huyu hatogombea?
 
Nimefuatilia kauli na Matendo ya rais Samia nimejiridhisha kwamba siyo mpenda demokrasia kama anavyojinadi majukwaani.

Amejigamba kwamba ana ngozi ngumu na kusema anaruhusu uhuru wa kusema, kukosoa na kujieleza. Kwa taarifa yako ndugu msomaji huyu mama hana ngozi ngumu kwa Mambo yasiyomuumiza tu. Mifano ipo mingi:

1. Aliwaasa wandishi wa habari kuwa "wasimparure".

2. Ndugai akiwa spika, alitoa maoni yake lkn bahati mbaya yakamparura mhe rais. Kilichompata Ndugai sote tunakijua.

3. Amekubali mazungumzo na CHADEMA ili kuleta maridhiano na yameanza kufanyika. Lakini matendo ya serikali yake hayaoneshi kama kuna kujali ama kuheshimu mazungumzo hayo. Tunayaona haya kwenye suala la wabunge 19 waliofukuzwa uanachama na Chadema.

Hapa ni dhahiri kwamba mama anataka maridhiano mdomoni tu lakini moyoni mwake ana ajenda ya siri. Siri yenyewe ni ama anafanya danganya toto (dangany wapinzani) au anatafuta kuaminiwa na mataifa wahisani.

5. Mhe Rais hata katika suala la Loliondo ameonesha jeuri ya hali juu sana. Achilia mbali asasi za kiraia na wanaharakati lakini hata wabunge na wananchi wa Loliondo wamepiga kelele sana kuhusu kupinga maamuzi ya kuwaondoa wamasai toka ardhi yao. Amekaa kimya na kuwapuuza.

Mwisho. Nawashuri chadema kujiondoa kwenye mazungumzo yanayoendelea kwani hayatazaa matunda yoyote. Wanachezeshwa ngoma wasiojua mwisho wake.
Hizo hila ndizo zitapelekea uchaguzi wa 2025 usifanyike.

Bt Katiba mpya itapatikana 2026. Amen.
 
Nimefuatilia kauli na Matendo ya rais Samia nimejiridhisha kwamba siyo mpenda demokrasia kama anavyojinadi majukwaani.

Amejigamba kwamba ana ngozi ngumu na kusema anaruhusu uhuru wa kusema, kukosoa na kujieleza. Kwa taarifa yako ndugu msomaji huyu mama hana ngozi ngumu kwa Mambo yasiyomuumiza tu. Mifano ipo mingi:

1. Aliwaasa wandishi wa habari kuwa "wasimparure".

2. Ndugai akiwa spika, alitoa maoni yake lkn bahati mbaya yakamparura mhe rais. Kilichompata Ndugai sote tunakijua.

3. Amekubali mazungumzo na CHADEMA ili kuleta maridhiano na yameanza kufanyika. Lakini matendo ya serikali yake hayaoneshi kama kuna kujali ama kuheshimu mazungumzo hayo. Tunayaona haya kwenye suala la wabunge 19 waliofukuzwa uanachama na Chadema.

Hapa ni dhahiri kwamba mama anataka maridhiano mdomoni tu lakini moyoni mwake ana ajenda ya siri. Siri yenyewe ni ama anafanya danganya toto (dangany wapinzani) au anatafuta kuaminiwa na mataifa wahisani.

5. Mhe Rais hata katika suala la Loliondo ameonesha jeuri ya hali juu sana. Achilia mbali asasi za kiraia na wanaharakati lakini hata wabunge na wananchi wa Loliondo wamepiga kelele sana kuhusu kupinga maamuzi ya kuwaondoa wamasai toka ardhi yao. Amekaa kimya na kuwapuuza.

Mwisho. Nawashuri chadema kujiondoa kwenye mazungumzo yanayoendelea kwani hayatazaa matunda yoyote. Wanachezeshwa ngoma wasiojua mwisho wake.
Samia ni mnafki na hilo shungi lake.
 
Akili ya kuganga njaa yake na ya familia yake anayo, lakini akili ya kupigania maslahi ya nchi hana. That’s why, kwake yeye, kubadili gia angani ni kitu cha kawaida sana. Pia, kama angekuwa na akili kubwa, asingeshindwa kujua kwamba mikutano yake na Hangaya ina zero chance ya kuzaa kitu chochote chenye maslahi kwa taifa.
Unataka izae matunda unayotaka wewe?
Lisu amelipwa pesa zake za matibabu hayo siyo matunda? Mbowe mwenyewe katika jela hayo siyo matunda? Waliokuwa ughaibuni wameambiwa warudi Hyo siyo matunda?
Hakuna kupingana risasi wala kuanza hovyo .. wewe unataka matunda mpaka apewe uwazir?
Shida yenu m
mmezoeshwa siasa za chuki na kihafidhina na lile jehu LENU.
Kama kubadili gia lilikuwa kosa mbona ndiyo kipindi waliochaguliwa wabunge na madiwani wengi na mkaanza kuwanunua na kuwapa uwazir mpaka leo nimawazir na ma DC?
 
Kilichokuwepo ni Hawa jamaa kutomtambua JPM bila sababu ya msingi baada ya kugaragazwa vibaya kwenye uchaguzi wa 2020! Na aliwanyoosha kwa kasi yake ya utendaji.
Kwa mwenye akili yimqmu na aliyekuwa hatumiki kama toilet paper wakati wa jiwe hawezi kuandika ulichoandika
 
Back
Top Bottom