Rais Samia anafanya usanii wa demokrasia. Maridhiano ni janja tu ya kujisafisha kimataifa

Rais Samia anafanya usanii wa demokrasia. Maridhiano ni janja tu ya kujisafisha kimataifa

Unataka izae matunda unayotaka wewe?
Lisu amelipwa pesa zake za matibabu hayo siyo matunda? Mbowe mwenyewe katika jela hayo siyo matunda? Waliokuwa ughaibuni wameambiwa warudi Hyo siyo matunda?
Hakuna kupingana risasi wala kuanza hovyo .. wewe unataka matunda mpaka apewe uwazir?
Shida yenu m
mmezoeshwa siasa za chuki na kihafidhina na lile jehu LENU.
Kama kubadili gia lilikuwa kosa mbona ndiyo kipindi waliochaguliwa wabunge na madiwani wengi na mkaanza kuwanunua na kuwapa uwazir mpaka leo nimawazir na ma DC?

Kuna tofauti kubwa sana kati ya maslahi binafsi na maslahi ya taifa!
 
16565815465420.jpg
 
Back
Top Bottom