Acha uchochezi usio na maana. Kwa kawaida naamini mtu kutoa mawazo huru. Ila kuna kama nyinyi mnaotumia mwanya huo kuchochea. Hukufanya utafiti wowote wa unayoyasema, wivu tu wa ki..nga! Kwani Zanzibar ni Burkina Faso siyo Tanzania? Ukitaka anza kuhoji muungano ubadilishwe, siyo vitu vya kipuuzi kama hivi ambavyo ni matokeo ya aina ya muungano uliopo.
Dah. Wakati wa utawala wa Mwinyi CCM bara walitibuka hadi kuanzisha G55 ya kina Njelu Kasaka kutaka kurejesha Tanganyika.C mnajifanya Tanganyika wajanja sasa imefka wakati mtajua hamjui
Safari bado ndefu yajayo yanafurahishaHata hii trillion 7 wanayopigia kelele zanzibar itapata trillion 1.3 kwa hiyo yenye faida ni zanzibar ila watanganyika faida ni ndogo ukilinganisha na eneo na idadi ya watu!
Rais kwa kuwa ni Mzanzibar anatumia ho mwanya ila kwa vile watanganyika hatuwezi kuhoji na ukihoji unasakamwa kama Ndugai!
The level of reasoning is very low! Ni mda wa wazanzibar kutumia kivuli ya Watanganyika kujimemesha!
Kwenye ajira pia hakuna uwiano juzi hapa wametangaza ajira bila shaka TRA asilimia 20 wanapewa Wazanzibar! Je hapo **** uwiano Sawa?
Viongozi wetu watanganyika mpo tu kwa vile mnataka madaraka kila kitu ndio mwalimu!
Uchochezi unajua? Mimi ni mzalendo natoa hoja bila mihemko mkuu! Kwa hiyo mnataka kila mtu anyamaze kama mlivyomnyamazisha Ndugai?
Huyo hata km lingefika tril.100 tungelipa watanyika maana tungejua zinatunufaisha kwa asilimia 100 siyo sa hivi tunafaidi 79% tu na hawalipiRepoti ya bank kuu
Hamna chokochoko wala.. kuna wanasiasa wachache uchwara wanaoamini kama kushambulia Uzanzibari wa mama ndio silaha yao. Sasa wanaajiri hawa vijana huku mitandaoni kuanzisha mada za kijinga..ni hivyo tu!Hizi choko-choko mwishowe Muungano utavunjika. Hapo ndiyo mtafahamu kumbe Muungano ulikuwa na mazuri yake. Kuvunjika kwa Muungano hakutawasaidia nyie wa Tanganyika, wala Wazanzibar.
Ni kweli Muungano una mapungufu, lakini hayo ni makosa yaliyofanywa na Nyerere, aliyekataa nchi kuunganishwa kabisa. La muhimu sasa ni kutaka kuwepo kwa 'kura ya maoni'. Hii ije baada ya kampeni ndefu ya kuwaelimisha wananchi mazuri na mabaya ya Muungano.
Huyo hata km lingefika tril.100 tungelipa watanyika maana tungejua zinatunufaisha kwa asilimia 100 siyo sa hivi tunafaidi 79% tu na hawalipi
Haya mmeshinda! Mnajidai wanademokrasia masrahi yenu yakiguswa! Watu wameajiriwa how? Uchawa unakusumbia!Hamna chokochoko wala.. kuna wanasiasa wachache uchwara wanaoamini kama kushambulia Uzanzibari wa mama ndio silaha yao. Sasa wanaajiri hawa vijana huku mitandaoni kuanzisha mada za kijinga..ni hivyo tu!
Haya mmeshinda! Mnajidai wanademokrasia masrahi yenu yakiguswa! Watu wameajiriwa how? Uchawa unakusumbia!
Aliyekwambia hawalipi ni nani?
Na huyo mwendazake zaidi ya nusu ya hela alizokopa hazijulikani zilipo.
+ ile miti yote kwenye kilomita 1,200
Kama ambavyo mgao unajulikana ni 21% wangetuambia na asilimia ya mrejesho kwenye deni.Aliyekwambia hawalipi ni nani?
Na huyo mwendazake zaidi ya nusu ya hela alizokopa hazijulikani zilipo.
+ ile miti yote kwenye kilomita 1,200 za mraba haijulikani alipeleka wapi!
Taka kujua kwanini Karume aliuwawaKarume aliwauza usiwalaumu wabara..
Kero zitarudi tu baada ya ungwe hii kuisha mrudie uamsho wenu.
Dah. Wakati wa utawala wa Mwinyi CCM bara walitibuka hadi kuanzisha G55 ya kina Njelu Kasaka kutaka kurejesha Tanganyika.
Baada ya hapo “wakajiapiza” kuhakikisha mzenji hatawali tena JMT! Mungu si Athumani. 2021 dodo likamdondokea mama SSH aliyekuwa kapuuzwa kwenye hesabu za Chama. Jiwe walilolikataa waashi …. Wakafurukuta hadi kwenye “kijigazeti” chao kudai ataishia 2025! Lakini yeye akawahakikishia hatafanya mchezo na hiyo dondokela. Breki ya kwanza ni 2030! Baada ya hapo upepo utaamua kama tuendelee hadi 2035 au vipi. Sasa hivi yuko kwenye full campaign mode. Mabango yanakuwa updated tu mabarabarani.
Naona sasa ndugu zetu wa CCM bara somo la katiba mpya litazidi kueleweka na mijadala itakuwa ya adabu zaidi.
Mmh!!! Nyerere alidai Karume alitaka serikali moja,Taka kujua kwanini Karume aliuwawa
Alipokuja kushtuka mchongameno amemuhadaa ndipo akakiona kilichomtoa kanga manyoyaMmh!!! Nyerere alidai Karume alitaka serikali moja,
naona alipenda muungano.
21% uliitoa wapi?0.19