Execute
JF-Expert Member
- Sep 21, 2022
- 3,000
- 7,336
Mimi kama miongoni mwa waajiri wa watumishi na viongozi wa serikali ningependa kufahamu Rais analipa kodi kiasi gani kutokana na kipato chake kwa mwezi.
Tuungane pamoja na TRA Tanzania katika kujenga nchi kwa kulipa kodi.
Tuungane pamoja na TRA Tanzania katika kujenga nchi kwa kulipa kodi.