Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Wafanyakazi wote wa serikali, akiwemo Rais, hawalipi kodi hata mia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah, tumepigwa!!!Labda ungeuliza kampuni yake mpya ya Mighty logistics inalipa kodi kiasi gani,maana ina malori mengi kama utitiri.
Uliwahi kusikia P.A.Y.E wewe?Wafanyakazi wote wa serikali, akiwemo Rais, hawalipi kodi hata mia.
PAYE siyo kodi, labda ile wanayokatwa wafanyakazi wa sekta binafsi.Uliwahi kusikia P.A.Y.E wewe?
Hujui chochote. Tafsiri Income Tax ni nini? Hivyo unajua Direct and Indirect Tax wewe?PAYE siyo kodi, labda ile wanayokatwa wafanyakazi wa sekta binafsi.
Kodi ikikusanywa ndiyo sehemu yake fulani inaenda kulipa watumishi wa serikali mishahara. Sasa watatoaje tena sehemu ya mshahara uliotoka kwenye kodi na kulipa kodi? PAYE ya mfanyakazi wa serikali haiongezi hata mia kwenye kodi ya taifa, unachofanya ni kupunguza. Rais na wafanyakazi wote wa serikali ni wala kodi.Hujui chochote. Tafsiri Income Tax ni nini? Hivyo unajua Direct and Indirect Tax wewe?
Wewe ndiyo hufahamu chochote. Ukisikia viongozi wanasema "Tunalipa kodi" unafikiri ni kweli! Rais, waziri, mbunge na wafanyakazi wengine wote wa serikali hawalipi hata mia kodi.Nimeshakuambia hujui chochote kuhusu kodi. Kajielimishe mambo ya taxation na public finance ndiyo uje humu jamvini, the home of great thinkers. Mp aka sasa unabwabwaja tu. Ficha ujinga mbele ya kadamnasi.
Nimeshakuambia hujui chochote kuhusu kodi. Kajielimishe mambo ya taxation na public finance ndiyo uje humu jamvini, the home of great thinkers. Mp aka sasa unabwabwaja tu. Ficha ujinga mbele ya kadamnasi.Kodi ikikusanywa ndiyo sehemu yake fulani inaenda kulipa watumishi wa serikali mishahara. Sasa watatoaje tena sehemu ya mshahara uliotoka kwenye kodi na kulipa kodi? PAYE ya mfanyakazi wa serikali haiongezi hata mia kwenye kodi ya taifa, unachofanya ni kupunguza. Rais na wafanyakazi wote wa serikali ni wala kodi.
Hakatwi kodi ndo maana hana uchungu na uchumi wetu.Mimi kama miongoni mwa waajiri wa watumishi na viongozi wa serikali ningependa kufahamu Rais analipa kodi kiasi gani kutokana na kipato chake kwa mwezi.
Tuungane pamoja na TRA Tanzania katika kujenga nchi kwa kulipa kodi.
Katiba ni kitabu kitakatifu, kuiita likatiba ni kuisigina!.Hili likatiba limeoza
Ukishafahamu ? Revamp katiba na mambo yote kodi wabunge walipe kodi etc.....Mimi kama miongoni mwa waajiri wa watumishi na viongozi wa serikali ningependa kufahamu Rais analipa kodi kiasi gani kutokana na kipato chake kwa mwezi.
Tuungane pamoja na TRA Tanzania katika kujenga nchi kwa kulipa kodi.
Sasa hiyo PAYE siyo kodi, hebu utuambie basi hapa! Kwa uelewa wako ni nini?PAYE siyo kodi, labda ile wanayokatwa wafanyakazi wa sekta binafsi.
Anahimiza watu walipe lakini yeye hataki kulipa hata miaMimi kama miongoni mwa waajiri wa watumishi na viongozi wa serikali ningependa kufahamu Rais analipa kodi kiasi gani kutokana na kipato chake kwa mwezi.
Tuungane pamoja na TRA Tanzania katika kujenga nchi kwa kulipa kodi.
Huu ni upuuzi kabisa kwanini asilipe? tuna sheria za kijinga snRais wa Tanzania halipo kodi yoyote.
Anahudumiwa kila kitu hadi akifa
Huu ni upuuzi kabisa kwanini asilipe? tuna sheria za kijinga snRais wa Tanzania halipo kodi yoyote.
Anahudumiwa kila kitu hadi akifa
Huu ni upuuzi kabisa kwanini asilipe? tuna sheria za kijinga snRais wa Tanzania halipo kodi yoyote.
Anahudumiwa kila kitu hadi akifa
Kwa taarifa yako watumishi wote wa umma wanalipa kodi isipokuwa Rais pekee. Na hili ni takwa la Katiba yetu.Wewe ndiyo hufahamu chochote. Ukisikia viongozi wanasema "Tunalipa kodi" unafikiri ni kweli! Rais, waziri, mbunge na wafanyakazi wengine wote wa serikali hawalipi hata mia kodi.