Rais Samia analipa kodi kiasi gani kwa mwezi kutoka kwenye kipato chake?

Rais Samia analipa kodi kiasi gani kwa mwezi kutoka kwenye kipato chake?

Raisi,
Mawaziri,
Wabunge,
Majaji wa mahakama kuu,
Wote inabidi walipe kodi za kila namna.
Hili la kuwaacha wasilipe ni jambo la hovyo kupita kiasi.
Inashangaza kuona aina hii ya sheria ambapo watu wanaolipwa hela nyingi wanaondolewa kodi lakini wenye kipato cha chini wanakatwa kodi. Hapa usawa mbele ya sheria haujazingatiwa.
 
Tatizo Tanzania tunapenda kulalamika kila kitu...

Kwa mujibu wa katiba ya Tanzania Rais haruhusiwi kulipa kodi kwenye mshahara wake labda biashara zake.

Kama mnataka alipe kodi piganieni kwanza katiba wakati wakina Mbowe, Slaa, Mnyika na heche walipodai katiba mliona kama wanapigania maslahi yao.

Haya ndio mambo ambayo rasimu ya warioba iliyaona!!!

Rais hawezi kuvunja katiba ndio maana ya utawala wa sheria!!
Mbowe Slaa na Heche wamewahi kulipa Kodi walipokuwa wabunge?
 
Nimeshakuambia hujui chochote kuhusu kodi. Kajielimishe mambo ya taxation na public finance ndiyo uje humu jamvini, the home of great thinkers. Mp aka sasa unabwabwaja tu. Ficha ujinga mbele ya kadamnasi.

Tuelimishe wewe kuhusu kodi kwanza
 
Inashangaza kuona aina hii ya sheria ambapo watu wanaolipwa hela nyingi wanaondolewa kodi lakini wenye kipato cha chini wanakatwa kodi. Hapa usawa mbele ya sheria haujazingatiwa.


Inashangaza wakati wa Magufuli hakuna aliewahi kuuliza mbona Magufuli halipi Kodi?...wala wabunge wake wala mawaziri wake?

Hadi ma Dc hawalipi kodi
 
Inashangaza wakati wa Magufuli hakuna aliewahi kuuliza mbona Magufuli halipi Kodi?...wala wabunge wake wala mawaziri wake?

Hadi ma Dc hawalipi kodi
Alihoji Tundu Lissu akala shaba, alihoji Saanane akapotezwa.
 
Mimi kama miongoni mwa waajiri wa watumishi na viongozi wa serikali ningependa kufahamu Rais analipa kodi kiasi gani kutokana na kipato chake kwa mwezi.

Tuungane pamoja na TRA Tanzania katika kujenga nchi kwa kulipa kodi.
Samahani kidogo, wakati upo mdogo uliwahi dondoshwa ukafikia sehemu ya Utosi?
 
Mimi kama miongoni mwa waajiri wa watumishi na viongozi wa serikali ningependa kufahamu Rais analipa kodi kiasi gani kutokana na kipato chake kwa mwezi.

Tuungane pamoja na TRA Tanzania katika kujenga nchi kwa kulipa kodi.
Kwa katiba yetu ya sasa,ukishakuwa rais mambo ya kodi hayakuhusu
Hukatwi kodi mzee

Ova
 
Tatizo Tanzania tunapenda kulalamika kila kitu...

Kwa mujibu wa katiba ya Tanzania Rais haruhusiwi kulipa kodi kwenye mshahara wake labda biashara zake.

Kama mnataka alipe kodi piganieni kwanza katiba wakati wakina Mbowe, Slaa, Mnyika na heche walipodai katiba mliona kama wanapigania maslahi yao.

Haya ndio mambo ambayo rasimu ya warioba iliyaona!!!

Rais hawezi kuvunja katiba ndio maana ya utawala wa sheria!!
Hayo unayoyasema yameelezwa wapi ili sote tupate kuelewa na kupunguza maswali siku za usoni?
 
Elimu ya katiba inahitajika sana kwa Watanzania, wengi hawajui kuwa kwa mujibu wa katiba, rais wa JMT ni exempted kulipa kodi.

Hili sio wewe peke yako imeuliza, liliwahi kuulizwa humu Je, Rais wetu, Magufuli anasoma JF? Rais, Please msikilize Binti huyu, ana hoja ya Msingi!, hivyo nikashauri, Kuepuka Double Standards ya Kodi, Nashauri Rais Uongezwe Mshahara, Ili Alipe Kodi, Wote Tulipe Kodi!

P
Mkuu Paskali unataka kuniambia kuna kipengele kwenye katiba ya sasa kinachosema rais asilipe kodi?
 
Back
Top Bottom