Inashangaza kuona aina hii ya sheria ambapo watu wanaolipwa hela nyingi wanaondolewa kodi lakini wenye kipato cha chini wanakatwa kodi. Hapa usawa mbele ya sheria haujazingatiwa.Raisi,
Mawaziri,
Wabunge,
Majaji wa mahakama kuu,
Wote inabidi walipe kodi za kila namna.
Hili la kuwaacha wasilipe ni jambo la hovyo kupita kiasi.
Mbowe Slaa na Heche wamewahi kulipa Kodi walipokuwa wabunge?Tatizo Tanzania tunapenda kulalamika kila kitu...
Kwa mujibu wa katiba ya Tanzania Rais haruhusiwi kulipa kodi kwenye mshahara wake labda biashara zake.
Kama mnataka alipe kodi piganieni kwanza katiba wakati wakina Mbowe, Slaa, Mnyika na heche walipodai katiba mliona kama wanapigania maslahi yao.
Haya ndio mambo ambayo rasimu ya warioba iliyaona!!!
Rais hawezi kuvunja katiba ndio maana ya utawala wa sheria!!
Labda ungeuliza kampuni yake mpya ya Mighty logistics inalipa kodi kiasi gani,maana ina malori mengi kama utitiri.
Happy New Year to you and your loved ones Tate MkuuWatakuambia wewe ni mchochezi. Ila ingekuwa poa sana kama tungefahamu, ili na sisi walalahoi tupate moyo wa kulipa.
Nimeshakuambia hujui chochote kuhusu kodi. Kajielimishe mambo ya taxation na public finance ndiyo uje humu jamvini, the home of great thinkers. Mp aka sasa unabwabwaja tu. Ficha ujinga mbele ya kadamnasi.
Inashangaza kuona aina hii ya sheria ambapo watu wanaolipwa hela nyingi wanaondolewa kodi lakini wenye kipato cha chini wanakatwa kodi. Hapa usawa mbele ya sheria haujazingatiwa.
Nimeshaelimisha. Ipo post humu katika Uzi huu. Itafute.Tuelimishe wewe kuhusu kodi kwanza
Samahani kidogo, wakati upo mdogo uliwahi dondoshwa ukafikia sehemu ya Utosi?Mimi kama miongoni mwa waajiri wa watumishi na viongozi wa serikali ningependa kufahamu Rais analipa kodi kiasi gani kutokana na kipato chake kwa mwezi.
Tuungane pamoja na TRA Tanzania katika kujenga nchi kwa kulipa kodi.
Duuuh..... Na wewe una familia inakutegemea!!??Wafanyakazi wote wa serikali, akiwemo Rais, hawalipi kodi hata mia.
Kwa katiba yetu ya sasa,ukishakuwa rais mambo ya kodi hayakuhusuMimi kama miongoni mwa waajiri wa watumishi na viongozi wa serikali ningependa kufahamu Rais analipa kodi kiasi gani kutokana na kipato chake kwa mwezi.
Tuungane pamoja na TRA Tanzania katika kujenga nchi kwa kulipa kodi.
Bila shaka umekutana nayo rod ya tanga same wakibeba kiringaLabda ungeuliza kampuni yake mpya ya Mighty logistics inalipa kodi kiasi gani,maana ina malori mengi kama utitiri.
Sure mkuu,huko huko..wengine wako kwenye makaa ya mawe.Bila shaka umekutana nayo rod ya tanga same wakibeba kiringa
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kama ni kweli haya ni makosa makubwa tu, kama raia namba moja lazima uwe mfano.Kwa mujibu wa katiba ya Tanzania Rais haruhusiwi kulipa kodi kwenye mshahara wake labda biashara zake.
Office zao ziko wapi HV Ni dar au tangaSure mkuu,huko huko..wengine wako kwenye makaa ya mate.
Hayo unayoyasema yameelezwa wapi ili sote tupate kuelewa na kupunguza maswali siku za usoni?Tatizo Tanzania tunapenda kulalamika kila kitu...
Kwa mujibu wa katiba ya Tanzania Rais haruhusiwi kulipa kodi kwenye mshahara wake labda biashara zake.
Kama mnataka alipe kodi piganieni kwanza katiba wakati wakina Mbowe, Slaa, Mnyika na heche walipodai katiba mliona kama wanapigania maslahi yao.
Haya ndio mambo ambayo rasimu ya warioba iliyaona!!!
Rais hawezi kuvunja katiba ndio maana ya utawala wa sheria!!
Mkuu Paskali unataka kuniambia kuna kipengele kwenye katiba ya sasa kinachosema rais asilipe kodi?Elimu ya katiba inahitajika sana kwa Watanzania, wengi hawajui kuwa kwa mujibu wa katiba, rais wa JMT ni exempted kulipa kodi.
Hili sio wewe peke yako imeuliza, liliwahi kuulizwa humu Je, Rais wetu, Magufuli anasoma JF? Rais, Please msikilize Binti huyu, ana hoja ya Msingi!, hivyo nikashauri, Kuepuka Double Standards ya Kodi, Nashauri Rais Uongezwe Mshahara, Ili Alipe Kodi, Wote Tulipe Kodi!
P
MamakeWafanyakazi wote wa serikali, akiwemo Rais, hawalipi kodi hata mia.