Rais Samia analipa kodi kiasi gani kwa mwezi kutoka kwenye kipato chake?

Huwezi lipa kodi kwa kutumia pesa iliyotoka kwenye kodi. Mfanyakazi wa umma haongezi hata mia kwenye kodi ya nchi. Kinadharia, ikitokea nchi yote ni wafanyakazi wa umm. Kodi itakuwa sifuri, tena itakuwa hasi kabisa maana watadai mishahara yao kutoka kwenye kodi.

Kusema watumishi wa umma wanalipa kodi nu uelewa mdogo wa mambo.
 
Sasa hiyo PAYE siyo kodi, hebu utuambie basi hapa! Kwa uelewa wako ni nini?
Ni makato au tuseme punguzo la mshahara kwa watumishi wa umma. Wale wa binafsi wanalipa kodi. Utalipaje kodi kwa pesa iliyotoka kwenye kodi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…