Rais Samia anaongelea matiti, tena ya Wanawake wenzake?

Rais Samia anaongelea matiti, tena ya Wanawake wenzake?

Wawezeshwe matiti yawe makubwa au? Mbona sisi hata yakiwa madogomadogo hakuna ubaya,
Kwamba kuna uwezekano mpaka kustaafu kucheza, wasiwe na waume, ivo wapewe mitaji /asset zakuja wasaidia baadae.
 
Internet yote imekuwa overloaded na habari ya Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania kuwasema wanawake wenye sura ngumu ikiwemo wanawake wacheza soka.

Inategemewa wanawake wanaharakati na wadau wengine bila kujali jinsia zao wataendelea kuijadili kauli hii kwa upana.

Kwa haraka kuangalia Google, MSN, Facebook, Twitter na platforms/ majukwaa ya habari duniani leo hii tarehe 24 August 2021 Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania ameonekana ku-trend katika habari za kidunia/ world news kushinda habari za Taliban wa Afghanistan
 
Yaani yoooote aliyoyasema watu wameshika matiti,kkazi kweli kweli....haya SAWA.
 
So what? Kuongelea sura, rangi ya mtu ni UKABURU, na ni ufinyu wa mawazo. Kama mtu kazaliwa vile, wewe ni nani uongelee sura au muonekano wake? Sio wacheza mpira tu, wapo wanawake wengi hormones za kiume ni nyingi. Hayo ni maumbile yao. Inamhusu nini? Kama angetaka kuongelea maslahi ya wachezaji wanawake, aseme bila hizo comment za hovyo. Aibu tupu! Eti Rais. Mfyuuu!!
Kuongelea jambo hakutakaa kuishe mkuu, mie mwenye sura yangu mbovu watu hunambia na siwezi wakataza kuongelea hisia zao
 
Ushamba upi aache kwa hiyo wewe ulioleta hizi picha ndiyo mjanja.
Mzee Mohamed nakuona unamtetea wa-dini wako. Juzi niliona umekumbuka gazeti la Uhuru lilivyomzushia Kigoma Malima ukasema, lilipoandka Samia amesema hagombei tena umekumbuka mbali!
 
Ni kauli ya kudhalilisha kutoka kwa kiongozi wa nchi.

Ila wanasoka wa kike wa Tanzania huyo aliewandanganya kua kuendekeza Utomboy ndio mpira sijui ni nani?
Bro ulicho sema Ni kwer wacheza wa kike wa bongo wana act kama matoboy
 
Rais anaongelea matiti tena ya wanawake wenzake?

This is beyond shameful, beyond embarrassing, and downright beyond the pale. Cringeworthy.

I’m at a loss for words!

View attachment 1905556

Tanzania's President criticized for calling soccer women 'flat-chests'​


Tanzania's President Samia Suluhu Hassan has come under fire for remarks about women footballers having "flat-chests" and suggesting they would not be attractive candidates for marriage.

Hassan made the comments at a ceremony on Sunday to celebrate the victory of a national men's team in a regional football championship, where ironically she also called for better funding for women's sports.

"For those who have flat chests, you might think they are men and not women," she said at Sunday's event.

"And if you look at their faces you might wonder... because if you want to marry, you want someone who is attractive, a lady who has the qualities that you want."

She added that for the women footballers "those qualities have disappeared".

Hassan, who took office in March after the sudden death of her predecessor John Magafuli, is the only current serving female head of state in Africa alongside Ethiopia's President Sahle-Work Zewde, whose role is mainly ceremonial.

"Today they are making us proud as a nation when they bring trophies to the country but if you look at their lives in the future, when the legs are tired from playing, when they don't have the health to play, what life will they be living?" she said.

"The life of marriage is like a dream to them. Because even if one of you here takes them home as your wife, your mother will ask if they are a woman or a fellow man."
Rais Samia ni mwana CCM mwenzako, wewe shangilia tu usilalamike
 
Mfundisheni rais wenu kuwa sio kila kitu ni chakuongea in public. Hata kama anaona anachoongea kinaweza kuwa na maana fulani lakini aangalie muda na mahali anapoongelea.

Ngoja feminists wamtafune kwanza.
Magu mlishindwa ndio hapa wataweza?
 
Back
Top Bottom