Mbona kama alikuwa anawatetea hawa wanawake wenye vifua flat
..anawatetea kwa kuwananga kwamba hawavutii, na hawataolewa?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona kama alikuwa anawatetea hawa wanawake wenye vifua flat
Kwamba kuna uwezekano mpaka kustaafu kucheza, wasiwe na waume, ivo wapewe mitaji /asset zakuja wasaidia baadae.Wawezeshwe matiti yawe makubwa au? Mbona sisi hata yakiwa madogomadogo hakuna ubaya,
Wekeni picha zao tuone ni kweli auKuna aina nyingi za "kuolewa"!
Uliibiwa pesa au ulikua unalipishwa deni lako la kodiHili jambazi la kukatwa mkono ndiye best au mlikuwa pamoja katika kukwapua pesa Za watu walizoziweka bank
Kuongelea jambo hakutakaa kuishe mkuu, mie mwenye sura yangu mbovu watu hunambia na siwezi wakataza kuongelea hisia zaoSo what? Kuongelea sura, rangi ya mtu ni UKABURU, na ni ufinyu wa mawazo. Kama mtu kazaliwa vile, wewe ni nani uongelee sura au muonekano wake? Sio wacheza mpira tu, wapo wanawake wengi hormones za kiume ni nyingi. Hayo ni maumbile yao. Inamhusu nini? Kama angetaka kuongelea maslahi ya wachezaji wanawake, aseme bila hizo comment za hovyo. Aibu tupu! Eti Rais. Mfyuuu!!
Deni la Kodi Si hulipishwa mahakamani?Uliibiwa pesa au ulikua unalipishwa deni lako la kodi
Mzee Mohamed nakuona unamtetea wa-dini wako. Juzi niliona umekumbuka gazeti la Uhuru lilivyomzushia Kigoma Malima ukasema, lilipoandka Samia amesema hagombei tena umekumbuka mbali!Ushamba upi aache kwa hiyo wewe ulioleta hizi picha ndiyo mjanja.
Kumbe ulikua umekwepa kodiDeni la Kodi Si hulipishwa mahakamani?
Bro ulicho sema Ni kwer wacheza wa kike wa bongo wana act kama matoboyNi kauli ya kudhalilisha kutoka kwa kiongozi wa nchi.
Ila wanasoka wa kike wa Tanzania huyo aliewandanganya kua kuendekeza Utomboy ndio mpira sijui ni nani?
Rais Samia ni mwana CCM mwenzako, wewe shangilia tu usilalamikeRais anaongelea matiti tena ya wanawake wenzake?
This is beyond shameful, beyond embarrassing, and downright beyond the pale. Cringeworthy.
I’m at a loss for words!
View attachment 1905556
Tanzania's President criticized for calling soccer women 'flat-chests'
Tanzania's President Samia Suluhu Hassan has come under fire for remarks about women footballers having "flat-chests" and suggesting they would not be attractive candidates for marriage.
Hassan made the comments at a ceremony on Sunday to celebrate the victory of a national men's team in a regional football championship, where ironically she also called for better funding for women's sports.
"For those who have flat chests, you might think they are men and not women," she said at Sunday's event.
"And if you look at their faces you might wonder... because if you want to marry, you want someone who is attractive, a lady who has the qualities that you want."
She added that for the women footballers "those qualities have disappeared".
Hassan, who took office in March after the sudden death of her predecessor John Magafuli, is the only current serving female head of state in Africa alongside Ethiopia's President Sahle-Work Zewde, whose role is mainly ceremonial.
"Today they are making us proud as a nation when they bring trophies to the country but if you look at their lives in the future, when the legs are tired from playing, when they don't have the health to play, what life will they be living?" she said.
"The life of marriage is like a dream to them. Because even if one of you here takes them home as your wife, your mother will ask if they are a woman or a fellow man."
Kweli asee. Ukweli unaouma...Rais kasema ukweli wengi majike dume
Kaongea ukweli tena akitafuta namna ya kuwasaidiaKweli..? Ndo Kasema hivyo.!! ..Ila kama yupo Sahihi wengi nikiwacheki hao Mabinti Wanafanana na hiyo description ya Mama.....! Kawadhalilishaje Sasa?
Magu mlishindwa ndio hapa wataweza?Mfundisheni rais wenu kuwa sio kila kitu ni chakuongea in public. Hata kama anaona anachoongea kinaweza kuwa na maana fulani lakini aangalie muda na mahali anapoongelea.
Ngoja feminists wamtafune kwanza.
Malkia wa tozoRais msikivu mh.SSH ameanza kuwa "scapegoat" wa kila mshambuliaji.....
#KaziIendelee
Mtu akikupa ugali ule kauchanganya na mavi, utasema huyu mtu ana logic kakupa ugali ule?Sijui kwanini watu hawajaelewa logic ya mh rais.
rais anachotaka ni wawezeshwe, sio wapotezewe.
😂 😂 😂Kweli..? Ndo Kasema hivyo.!! ..Ila kama yupo Sahihi wengi nikiwacheki hao Mabinti Wanafanana na hiyo description ya Mama.....! Kawadhalilishaje Sasa?