Rais Samia anaongelea matiti, tena ya Wanawake wenzake?

Rais Samia anaongelea matiti, tena ya Wanawake wenzake?

Wengi katika wacheza soccer ya kike ni wanawake dume.
Pia hapa tuangalie features za wanawake. wanwake watanzania wengi kutokana na ugumu wa maisha ...
Rais aache kunyanyapaa maumbile ya watu. Period!
 
Rais anaongelea matiti tena ya wanawake wenzake?

This is beyond shameful, beyond embarrassing, and downright beyond the pale. Cringeworthy.

I’m at a loss for words!

View attachment 1905556

Tanzania's President criticized for calling soccer women 'flat-chests'​


Tanzania's President Samia Suluhu Hassan has come under fire for remarks about women footballers having "flat-chests" and suggesting they would not be attractive candidates for marriage.

Hassan made the comments at a ceremony on Sunday to celebrate the victory of a national men's team in a regional football championship, where ironically she also called for better funding for women's sports.

"For those who have flat chests, you might think they are men and not women," she said at Sunday's event.

"And if you look at their faces you might wonder... because if you want to marry, you want someone who is attractive, a lady who has the qualities that you want."

She added that for the women footballers "those qualities have disappeared".

Hassan, who took office in March after the sudden death of her predecessor John Magafuli, is the only current serving female head of state in Africa alongside Ethiopia's President Sahle-Work Zewde, whose role is mainly ceremonial.

"Today they are making us proud as a nation when they bring trophies to the country but if you look at their lives in the future, when the legs are tired from playing, when they don't have the health to play, what life will they be living?" she said.

"The life of marriage is like a dream to them. Because even if one of you here takes them home as your wife, your mother will ask if they are a woman or a fellow man."

Amekosea lakini ujumbe wake mkubwa ni kuwasaidia hao madada baada ya mpira kwasababu hawalipwi na kupata chochote na alitoa mifano ya viwanja
 
Huku usukumani wapo wengi wenye vifua flat.....JEMBE LA MKONO MAMAAAAA! Tunaomba na wao wasaidiwe!
 
Sasa Kama Anakataza Watu wasichanjwe ww unaona Hapo Si Tishio.
Suala la watu kukataa kuchanjwa siyo kwa sababu ya Gwajima. Serikali ndiye mkosaji mkuu na hasa kiti cha urais i.e. Magufuli na baade Samia. Msimamo wa Magufuli nadhani ulikuwa unaujua. Na alipofariki Magufuli, Samia hakufanya juhudu yoyote kubadili hali. Aliamua kuendelea na wale wale vilaza waliokuwa wapotoshaji wakubwa wakati wa Magufuli.
 
Samia Hassan is a country bumpkin.
Mara alipopata urais kuna sentensi moja alizungumza kwenye hotuba japo wengi waliona ni jambo la kawaida kwangu mimi niliona ukakasi. Alisema alipokuwa Uingereza kwenye usafiri ''vibabu vya kizungu vilikuwa hata ukivipisha kiti vikae havitaki''.
 
Mara alipopata urais kuna sentensi moja alizungumza kwenye hotuba japo wengi waliona ni jambo la kawaida kwangu mimi niliona ukakasi. Alisema alipokuwa Uingereza kwenye usafiri ''vibabu vya kizungu vilikuwa hata ukivipisha kiti vikae havitaki''.
Ana ushamba ushamba fulani wa Kiswahili, anakuja kuwa rais wa taarab za mipasho.

Kwenye kampeni aliwaambia wapiga kura kuwa wakipigia kura au wasipopigia kura CCM, CCM itashinda tu.

Mgombea huyu ameshinda uchaguzi, unategemea nini?
 
Kimtizamo na kiupokeo inaonekana ni kashfa lakini yeye kama yeye yuko sahihi

Sent using Jamii Forums mobile app
Jambo la kwanza: Acha ulimbukeni na kuiga kusiko na maana unakofanya kwa kutumia maneno ''yeye kama yeye''. Huu ni ulimbukeni ambao umeenea sana na watu wengi wanadhani ukisema bila kutumia huu msemo wa ''yeye kama yeye''; au ''mimi kama mimi'' utaonekana mshamba. Nasema hivyo kwa sababu mnatumia hayo maneno unnecessary.
Jambo la pili: Yeye kama anadhani yuko sahihi haimaanishi yuko sahihi!
 
Amekosea lakini ujumbe wake mkubwa ni kuwasaidia hao madada baada ya mpira kwasababu hawalipwi na kupata chochote na alitoa mifano ya viwanja
Angeweza kabisa kufikisha ujumbe wake bila kunyanyapaa maumbile ya hao wadada!

Don’t sanitize her misstep.
 
Hao mabinti waige mfano wa kiongozi, kama wameshauriwa wawe na matiti makubwa wasipinge lazima kiongozi mfanane nae, msipinge kila kitu mnaposhauriwa na viongozi wa kitaifa
 
Tena huo ushauri muuchukue akirudi tu ashauri na makalio yawe makubwa, lazima muheshimu mawazo ya kiongozi wa kitaifa
 
Angeweza kabisa kufikisha ujumbe wake bila kunyanyapaa maumbile ya hao wadada!

Don’t sanitize her misstep.

Nimesema kakosea lakini wekeni clip yote kwasababu point yake iko mwisho. Tatizo la kuweka ujumbe nusu watu hawaelewi sababu ya yeye kusema hivyo
 
Habari kuu usiku wa leo

Kitendo Cha Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kusema kuwa wanawake wachezaji wa soka wanakuwa na vifua tambalale na sura ngumu na kutovutia kuolewa zimezua minong'ono ya kutaka aombe msamaha kwa kuwadhlilisha wanawake hasusani wachezaji wa soka BBC imeandika

Jana wakati Rais akiwapokea wachezaji wa soka Ikulu alizua gumzo ya nini huwa anapanga Kama alidhamilia kuongea au ulimi uliteleza kwa kuwa yeye ni mwanamke hakupaswa kuongea vile tena kwenye sherehe ya wacheza soka wanaume tu.

My take .
Naona BBC nao wameanza Vita na rais wetu Kama walivyokuwa na Magufuli hii inaprove wrong wale waliosema kuwa BBC hasa idhaa ya Kiswahili imejaa mashekhe hivyo hawatamuandama mama.

USSRView attachment 1905388
View attachment 1905561
Bbc ndiyo wanaweza chezea ban
 
Back
Top Bottom