Rais Samia anaongelea matiti, tena ya Wanawake wenzake?

Rais Samia anaongelea matiti, tena ya Wanawake wenzake?

Na ligi yao itaitwa SAMIA CUP sijui ndiyo kombe hilo[emoji23], hapo mnunio utakuwa pembeni lakini si mbele yake [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Sasa wafanye Je ?!. Ni maumbo waliopewa na Mwenyezi Mungu !!. Wajiumbe upya ?!

Kusema Jambo ambalo huwezi kulirekebishi ni upungufu nao . Wafanye Je !!
Kama wao tu wanavyo kuaga na makuuuubwa na wanayasitiri lakini wapi tunayaona
 
Mambo mengine yanatamkwa kama fine jokes. We can't be seroius kwamba kila kitu kinachotamkwa, we can't let it go!. Simple minds discuss people!
Kukaa tunaviziavizia matamshi na kuanza kuyakuza, ni kukosa kazi na idea za kujadili kama watu wenye akili zenye upeo wa juu
I hate this right from the bottom of my heart!


Mkuu tunakupongeza kwakuwa hata ukikasirika bado kiingereza kinapanda.
 
Mimi nilivyomsikiliza, naona ni tofauti na waungwana walivyomfasiri. Kikubwa yeye alihitaji kuboresha maisha ya wachezaji mara baada ya mpira wao kuisha, .
 
Kiukweli anapaswa kuomba radhi. Halafu toka kitambo nilimuona ana dharau sana.

Kingine, je ni viongozi tu ndiyo wenye ruhusa ya kuwatukana, kuwatania na kuwakejeli wengine au na sisi tusio na vyeo tuna uhuru huo wa kuwafanyia hivyo wao?
 
Don't underestimate your Enemies. Ukiishi Kwenye hii kauli Utakuwa Makini muda wote
Hapa siyo ku-underestimate bali ni ku-overestimate. Ndiyo maana nikasema kuna njia rahisi sana ya kummaliza, nayo ni wanawake weupe. Kwa nini watumie complex method wakati kuna njia zisizo na gharama kubwa na tena ni safe zaidi. BTW mimi siamini kuwa serikali inaweza kuwa na hiyo nia kwa sababu Gwajima siyo tishio la maslahi yao. Kwanza kuna ile clip ya ngono aliyojirekodi serikali ikiamua kumfunga kwa kujipiga na kusambaza picha za ngono inaweza. Pia siamini kuwa Horace Kolimba aliuawa.
 
Rais kasema ukweli wengi majike dume
So what? Kuongelea sura, rangi ya mtu ni UKABURU, na ni ufinyu wa mawazo. Kama mtu kazaliwa vile, wewe ni nani uongelee sura au muonekano wake? Sio wacheza mpira tu, wapo wanawake wengi hormones za kiume ni nyingi. Hayo ni maumbile yao. Inamhusu nini? Kama angetaka kuongelea maslahi ya wachezaji wanawake, aseme bila hizo comment za hovyo. Aibu tupu! Eti Rais. Mfyuuu!!
 
Habari kuu usiku wa leo

Kitendo Cha Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kusema kuwa wanawake wachezaji wa soka wanakuwa na vifua tambalale na sura ngumu na kutovutia kuolewa zimezua minong'ono ya kutaka aombe msamaha kwa kuwadhlilisha wanawake hasusani wachezaji wa soka BBC imeandika

Jana wakati Rais akiwapokea wachezaji wa soka Ikulu alizua gumzo ya nini huwa anapanga Kama alidhamilia kuongea au ulimi uliteleza kwa kuwa yeye ni mwanamke hakupaswa kuongea vile tena kwenye sherehe ya wacheza soka wanaume tu.

My take .
Naona BBC nao wameanza Vita na rais wetu Kama walivyokuwa na Magufuli hii inaprove wrong wale waliosema kuwa BBC hasa idhaa ya Kiswahili imejaa mashekhe hivyo hawatamuandama mama.

USSRView attachment 1905388
View attachment 1905561
Ile alitoa kama ushauri yaani wasimamizi wao wafikirie hatma yao huko mbeleni maana wanakuwa hawaolewagi tena hivyo kusababisha wabaki kama mgumba au mjane ambae alikosa mume kwa kuogopwa kuolewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa mfano yule wa hapo jirani (juzi hapa kachukua kombe)kwa kweli kakomaa hata zile hisia akivua zote haiji yaani anaonekana kama kidume mwenzangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nilivyomsikiliza, naona ni tofauti na waungwana walivyomfasiri. Kikubwa yeye alihitaji kuboresha maisha ya wachezaji mara baada ya mpira wao kuisha, .
Aliyozungumza yanatakiwa tafsiri? Hujui kiswahili vizuri? Mbona yako clear kabisa? Aliwakashfu na hakuna zaidi ya hapo. Unajua mtu anaweza kuwa na nia nzuri lakini namna anavyowakilisha hoja ikawa ni kashfa na ile nia nzuri ikafutika yote? Ngoja nikupe mfano. Tajiri mmoja alimwambia mwanamke: ''jamani unajua nakuonea huruma sana ulivyo na sura mbaya. Hata kupata wa kukuoa itakuwa shida. Ngoja nikupe walau mtaji ukusaidie.'' Huyo tajiri hata kama alikuwa anamwonea huruma yule mwanamke lakini lugha aliyotumia siyo ya utu hata kidogo. No one deserve to be treated like that, na hata kama msaada ukitolea, yale maneno hayakaa yafutike moyoni mwake.
 
Rais anaongelea matiti tena ya wanawake wenzake?

This is beyond shameful, beyond embarrassing, and downright beyond the pale. Cringeworth..
Wengi katika wacheza soccer ya kike ni wanawake dume.

Pia hapa tuangalie features za wanawake. wanwake watanzania wengi kutokana na ugumu wa maisha ,shida na kazi ngumu zina wafanya na maumbo ya kiume. Lakini hawohawo kama watapata vipodozi , chakula bora na nafasi ya kupumua bai ni warembo sana.

Raisi alikuwa asiwaumbue namna hivyo.
Ila aseme kuwa tunataka kuwajengea maisha mema na mazuri ya baadae watakapo maliza kucheza soccer. Na hii siwawo tu bali hata wanaume wale mastar wakimaliza soka wanakuwa hawana kitu.
 
Hapa siyo ku-underestimate bali ni ku-overestimate. Ndiyo maana nikasema kuna njia rahisi sana ya kummaliza, nayo ni wanawake weupe. Kwa nini watumie complex method wakati kuna njia zisizo na gharama kubwa na tena ni safe zaidi. BTW mimi siamini kuwa serikali inaweza kuwa na hiyo nia kwa sababu Gwajima siyo tishio la maslahi yao. Kwanza kuna ile clip ya ngono aliyojirekodi serikali ikiamua kumfunga kwa kujipiga na kusambaza picha za ngono inaweza. Pia siamini kuwa Horace Kolimba aliuawa.
Sasa Kama Anakataza Watu wasichanjwe ww unaona Hapo Si Tishio.
 
Back
Top Bottom