Rais Samia anaongelea matiti, tena ya Wanawake wenzake?

Rais Samia anaongelea matiti, tena ya Wanawake wenzake?

Yaan hapo ni udhalilishaji wa hali ya juu,

Kila mtu huchagua kile kimfaacho, kumsema binti mwanamichezo ati ana flatchest na amekakamaa kama mwanaume hatoweza kuolewa ni dhahiri shahiri hapendi wanawake wawe wana michezo lakini pia wajihisi wao ni wabaya na hawapendezi machoni mwa watu, (Psychological Torture)

Mama hapo amekosea sana, hakupaswa atoe comment ya namna hiyo kwa wanawake wenzie, Ndoa ni sharia lakini sio lazima kwa baadhi ya wengine.
We utafurahi kuona dada yako ni msimbe anadanga tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda aliwaongelea wachezaji wa timu ya wanawake ya Utopolo. Maana ndio wapo hivyo.

Mbona timu zingine zina vifaa vyenye mvuto na wanafaa kuchumbia
 
I thought she had more exposure than late Magufuli, more organized and articulate in her speeches. But, I was wrong.

It's a shame for the President not to know what is and isn't politically correct to speak in public.

She has to apologize for her derogatory remarks concerning women footballers.
Anaongoza Nchi Kihisia. Hapa Tulipigwa aisee. Maana Mambo ya Kuongea na Binti zake chumbani na Faragha yeye anaongea Public like if anawafunda Wanawake.
 
Rais anaongelea matiti tena ya wanawake wenzake?

This is beyond shameful, beyond embarrassing, and downright beyond the pale. Cringeworthy.

I’m at a loss for words!

View attachment 1905556

Tanzania's President criticized for calling soccer women 'flat-chests'​


Tanzania's President Samia Suluhu Hassan has come under fire for remarks about women footballers having "flat-chests" and suggesting they would not be attractive candidates for marriage.

Hassan made the comments at a ceremony on Sunday to celebrate the victory of a national men's team in a regional football championship, where ironically she also called for better funding for women's sports.

"For those who have flat chests, you might think they are men and not women," she said at Sunday's event.

"And if you look at their faces you might wonder... because if you want to marry, you want someone who is attractive, a lady who has the qualities that you want."

She added that for the women footballers "those qualities have disappeared".

Hassan, who took office in March after the sudden death of her predecessor John Magafuli, is the only current serving female head of state in Africa alongside Ethiopia's President Sahle-Work Zewde, whose role is mainly ceremonial.

"Today they are making us proud as a nation when they bring trophies to the country but if you look at their lives in the future, when the legs are tired from playing, when they don't have the health to play, what life will they be living?" she said.

"The life of marriage is like a dream to them. Because even if one of you here takes them home as your wife, your mother will ask if they are a woman or a fellow man."
Mbona sasa simple solution ni hao wanawake kutokucheza mpira wa miguu! Netball vipi, na vile vi-jezi vyao?
 
Anaongoza Nchi Kihisia. Hapa Tulipigwa aisee. Maana Mambo ya Kuongea na Binti zake chumbani na Faragha yeye anaongea Public like if anawafunda Wanawake.
Siyo tulipigwa tu, ni kama tuliuziwa mbuzi kwenye gunia.

Baada ya Mwendazake kuondoka ndiyo sasa tunagundua, alaaaa, kumbe humu ndani ya gunia hamna mbuzi, ni manyoya tu
 
JPM alikuwa savi hasa akifika kwa totozi anasfia kwelikweli , hivyo na wanawake wanafurahi.. sasa shida ya akina mama ameone flat wengi kifuani ni wale wanaopendwa sana kaamua kuwakandya ili aonekane yeye ni mrembo licha ya uzee wake
Muda unavyosonga ndipo tunavyozidi kumfahamu vizuri.
 
Huyu raisi nilijua labda kwasababu hana akili za darasani atakuwa na akili za maisha. Hamna kitu kabisa.
Hawa wanawake wanashida gani? Anataka wawe na maziwa makubwa kama yake yanayosambaa utafikiri papa? Mfyuuu
Yaani hii ni backward way of thinking sana tena sana. Kwamba mwanamke asipoolewa hawezi kuwa na maisha mazuri?
Kwamba yeye asingeolewa hata kama ameshika nyadhifa kubwa nchini angekuwa sawa na bure? Kama asingekuwa na mvuto kwa wanaume angekuwa useless?
 
Mambo mengine yanatamkwa kama fine jokes. We can't be seroius kwamba kila kitu kinachotamkwa, we can't let it go!. Simple minds discuss people!
Kukaa tunaviziavizia matamshi na kuanza kuyakuza, ni kukosa kazi na idea za kujadili kama watu wenye akili zenye upeo wa juu
I hate this right from the bottom of my heart!

Usidhani watu hawana akili, au hawana kazi ya kufanya. Ni matamshi na maamuzi ya kukera, yanayo kwenda kinyume na sheria, yasiyo na tija kwa wananchi yalioibua hali ya watu kutega sikio kujua leo lipo lipi. Neno lolote toka kwao kiongozi huwa na uzito.
 
Kabla ya kumuhukum raisi Samia tuangalie context yake na motive kubwa iliyokuwa ndan ya roho yake.

Binafs mm naona motive yake, alilenga jamii iwatambue kwa mchango mkubwa wanao utoa kwa nchi yetu. Kwa maisha yao mbelen

Mbona ata magufuri aliwah kuwasifia wanawake weupe? Ina maana aliwaponda weusi? Mbona jaman huyu Mama mambo mengine tunayachokonoa lakin hayana ubaya wowote?

Mfano, mmewaona wapiga ngum Dula na kidugu siku ya pambano na hata kabala ya pambano kwenye matangazo, hawa jamaaa wanakunja miuso mpaka ukiwatazama utafikiria ni Goliati wa kale.

Akitokea mdada akasema mm siwez kuolewa na Hawa jamaa maana wanakunja uso mpaka unaogopa atakuwa amekosea?

Bora tumlalamikie kwenye matozo na siasa. Mambo mengine jaman nimadogo ndugu zangu.
 
Mambo mengine yanatamkwa kama fine jokes. We can't be seroius kwamba kila kitu kinachotamkwa, we can't let it go!. Simple minds discuss people!
Kukaa tunaviziavizia matamshi na kuanza kuyakuza, ni kukosa kazi na idea za kujadili kama watu wenye akili zenye upeo wa juu
I hate this right from the bottom of my heart!

Nyie ndo wale mliokuwa mnamlamba mwendazake miguu. Kumbavu!!!
 
Inahitaji akili nyingi na kuvaa uhusika wa wengine, ukijua neno tafsida na why tafsida na wapi na ili iweje ndio utaelewa. Kuna nyakati waweza kuvaa giza mchana na ukatupa jiwe ukiwa na akili za usiku badala yake hadhira ikakushanga pamoja na jiwe kumpata mmoja. Why, how, where, when would you borrow someone else thinking, and which parameters deem relevant for that matter? But there is always a room for other factors remaining constant.

Presumptions perspective, just.
Huyo uliyemjibu anaonekana ni "pick me".
 
Mambo mengine yanatamkwa kama fine jokes. We can't be seroius kwamba kila kitu kinachotamkwa, we can't let it go!. Simple minds discuss people!
Kukaa tunaviziavizia matamshi na kuanza kuyakuza, ni kukosa kazi na idea za kujadili kama watu wenye akili zenye upeo wa juu
I hate this right from the bottom of my heart!

Its important to tell SSH that Tanzania does not belong to those who vilify others. She got the position by chance because JPM had no choice but to choose someone from Zanzibar. She should watch her language, this is too low for a president.

 
Mie nakumbuka moja kuwa baada ya mpira uwanjani kuna maisha mengine hivyo wabaki kwenye uhalisia wakuwa wanawake!
 
Mfundisheni rais wenu kuwa sio kila kitu ni chakuongea in public. Hata kama anaona anachoongea kinaweza kuwa na maana fulani lakini aangalie muda na mahali anapoongelea.

Ngoja feminists wamtafune kwanza.
Kwani malelist nao wanasemaje?
 
Back
Top Bottom