Rais Samia anaongelea matiti, tena ya Wanawake wenzake?

Mpira usiwakoseshe raha nyingine ya kiasili bana, Mama kaliona hilo
 
hapana kaka rudi kaangalie tena clip vizuri inaonekana ulikuwa una foward bila umakini wowote, alikuwa anajaribu kuwakingia kifua ili mbeleni wawe na maisha bora
Kweli lengo lake lilikuwa zuri tatizo Ni sababu aliyoitoa ya kuwakingia kifua kwamba hawavutii kwa wanaume na ukiwaweka na wanaume huwezi tofautisha! Hapo kakosea.
 
Hakuna cha shame wala embarrassment sasa si amesema ukweli!? wanawake wanaharibika wakidumu huko kwenye mpira ule muonekano wa kike unapotea ndio rais anachozungumzia.
 
Rais hana wasaidizi wa kupitia "hotuba" zake kabla ya kuongea?

Ukiwa Rais wa nchi ni lazima ujue au uwe na msaidizi atakayekusaidia kujua nini uongee na nini hakifai kuongelewa kwenye hotuba.
 
Mbo

Mbona dharau Sana yaani anaongoea Kama hakujiandaa. Matiti si qualifications za ndoa.
"If you talk to a man in a language he understands, that goes to his head. If you talk to him in his language, that goes to his heart." Nelson Mandela
===
Nasubiri msemo wako wa "If you talk to a woman in a language she understands......."
xxxxxx
Mwacheni Mama kwanza!
 
I
 
I couldn't agree more. Madam President amechemka mbaya.
 
Oya nmemuelewa hapa president mbali na michezo anawatzama kwa jicho LA tatu watapotea mmezoea kusifiwa et demu anamsuli km vandame nan amuoe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…