Rais Samia anapanda mbegu za anguko lake 2025

Rais Samia anapanda mbegu za anguko lake 2025

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Wahenga walisema "kadri unavyopambana kuufumbata mchanga ndivyo unavyozidi kudondoka".

Vivyo hivyo na kwa upande wa madaraka, kadri kiongozi anavyopambana na watu ili kuyalinda ndivyo anayozidi kujiongezea maadui na wapinzani wa madaraka yake.

Mwisho wa siku anajikuta kishapambana na kila mtu/kundi na hukuna tena wa kumuunga mkono.

Alipoingia tu ikulu rais Samia alipewa maneno kuwa wabaya wake ni akina Dr. Bashiru, Lukuvi, Ndugai na Kabudi......akawaondoa.

Haikupita muda akasafisha wateule waliojulikana kama wafuasi wa sukuma gang....akina Kalemani, Dotto James, Herry James, Angelina Mabula, n.k.

Sasa amekuja kugundua kuwa kundi lililokuwa likimpa ushauri nalo halina nia njema na hatima ya kiti chake. Ndiyo unaona timua timua ya maafisa usalama, wasaidizi wake ikulu pamoja na akina Kinana, Nape, Makamba , n.k na wengine watafuata.

Hivi sasa mama anatapatapa, hajui aliamini kundi gani (wema hawafi ama sukuma gang )? Hofu yake kubwa ni kuwa aliowatumbua watautumia upinzani kumsulubu, na ndiyo maana amesahau 4R zake na kuanza kuwakamata hovyo wapinzani.

Nguvu kubwa kutaka kurejea tena ikulu inayotumika na rais Samia inatishia ushindi wake ktk uchaguzi ujao, 2025

N.B. Wakati wa kampeni za urais 2025 mkataba wa DP World utatembezwa kaya kwa kaya ili kila mwananchi ausome.
 
Wahenga walisema "kadri unavyopambana kuufumbata mchanga ndivyo unavyozidi kudondoka".

Vivyo hivyo na kwa upande wa madaraka, kadri kiongozi anavyopambana na watu ili kuyalinda ndivyo anayozidi kujiongezea maadui na wapinzani wa madaraka yake.

Mwisho wa siku anajikuta kishapambana na kila mtu/kundi na hukuna tena wa kumuunga mkono tena.

Alipoingia tu ikulu rais Samia alipewa maneno kuwa wabaya wake ni akina Dr. Bashiru, Lukuvi, Ndugai na Kabudi......akawaondoa.

Haikupita muda akasafisha wateule waliojulikana kama wafuasi wa sukuma gang....akina Kalemani, Dotto James, Herry James, Angelina Mabula, n.k.

Sasa amekuja kugundua kuwa kundi lililokuwa likimpa ushauri nalo halina nia njema na hatima ya kiti chake. Ndiyo unaona timua timua ya akina Kinana, Nape, Makamba , n.k na wengine watafuata.

Hivi sasa mama anatapatapa, hajui amuamini nani na nani asimuamini. Hofu yake kubwa ni kuwa aliowatumbua watautumia upinzani kumsulubu, na ndiyo maana amesahau 4R zake na kuanza kuwakata hovyo wapinzani.

Nguvu kubwa kutaka kurejea tena ikulu inayotumika na rais Samia inatishia ushindi wake ktk uchaguzi ujao, 2025
Kabisa bila pesa za waarabu wa Oman itakuwa vigumu kwa bibi kupenya 2025.
 
Acha Utahila wewe,Polisi wako,unatuogopa sisi kwa maneno tuu unakimbia kimbia kutuzuia tusiende Mbeya.Ajabu
ACHENI UJINGA CHADEMA,GEN Z YA KENYA AMBAYO MNATAMANI KUWA KAMA WAO HAWANA AFFILIATION NA CHAMA CHOCHOTE CHA UPINZANI,PAMBANENI NA HALI ZENU,SAISA ZA MAANDAMANO AMBAZO MMEZOEA HAZINA TIJA TENA,SIASA ZENU NI ZA KISHAMBA SANA.
 
ACHENI UJINGA CHADEMA,GEN Z YA KENYA AMBAYO MNATAMANI KUWA KAMA WAO HAWANA AFFILIATION NA CHAMA CHOCHOTE CHA UPINZANI,PAMBANENI NA HALI ZENU,SAISA ZA MAANDAMANO AMBAZO MMEZOEA HAZINA TIJA TENA,SIASA ZENU NI ZA KISHAMBA SANA.
Tutakukaza wewe na Polisi wako this time
 
Wahenga walisema "kadri unavyopambana kuufumbata mchanga ndivyo unavyozidi kudondoka".

Vivyo hivyo na kwa upande wa madaraka, kadri kiongozi anavyopambana na watu ili kuyalinda ndivyo anayozidi kujiongezea maadui na wapinzani wa madaraka yake.

Mwisho wa siku anajikuta kishapambana na kila mtu/kundi na hukuna tena wa kumuunga mkono tena.

Alipoingia tu ikulu rais Samia alipewa maneno kuwa wabaya wake ni akina Dr. Bashiru, Lukuvi, Ndugai na Kabudi......akawaondoa.

Haikupita muda akasafisha wateule waliojulikana kama wafuasi wa sukuma gang....akina Kalemani, Dotto James, Herry James, Angelina Mabula, n.k.

Sasa amekuja kugundua kuwa kundi lililokuwa likimpa ushauri nalo halina nia njema na hatima ya kiti chake. Ndiyo unaona timua timua ya akina Kinana, Nape, Makamba , n.k na wengine watafuata.

Hivi sasa mama anatapatapa, hajui amuamini nani na nani asimuamini. Hofu yake kubwa ni kuwa aliowatumbua watautumia upinzani kumsulubu, na ndiyo maana amesahau 4R zake na kuanza kuwakata hovyo wapinzani.

Nguvu kubwa kutaka kurejea tena ikulu inayotumika na rais Samia inatishia ushindi wake ktk uchaguzi ujao, 2025
Wakuitoa CCM madarakani bado hayupo
 
Wahenga walisema "kadri unavyopambana kuufumbata mchanga ndivyo unavyozidi kudondoka".

Vivyo hivyo na kwa upande wa madaraka, kadri kiongozi anavyopambana na watu ili kuyalinda ndivyo anayozidi kujiongezea maadui na wapinzani wa madaraka yake.

Mwisho wa siku anajikuta kishapambana na kila mtu/kundi na hukuna tena wa kumuunga mkono tena.

Alipoingia tu ikulu rais Samia alipewa maneno kuwa wabaya wake ni akina Dr. Bashiru, Lukuvi, Ndugai na Kabudi......akawaondoa.

Haikupita muda akasafisha wateule waliojulikana kama wafuasi wa sukuma gang....akina Kalemani, Dotto James, Herry James, Angelina Mabula, n.k.

Sasa amekuja kugundua kuwa kundi lililokuwa likimpa ushauri nalo halina nia njema na hatima ya kiti chake. Ndiyo unaona timua timua ya akina Kinana, Nape, Makamba , n.k na wengine watafuata.

Hivi sasa mama anatapatapa, hajui amuamini nani na nani asimuamini. Hofu yake kubwa ni kuwa aliowatumbua watautumia upinzani kumsulubu, na ndiyo maana amesahau 4R zake na kuanza kuwakata hovyo wapinzani.

Nguvu kubwa kutaka kurejea tena ikulu inayotumika na rais Samia inatishia ushindi wake ktk uchaguzi ujao, 2025
Matumaini yake yako kwa polisi! anafanya haya kwa nguvu/matumaini ya kutumia polisi
 
Wakuitoa CCM madarakani bado hayupo
Mjadala ni Samia na urais 2025, si ccm. Tuna zaidi ya mwaka kuufikia uchaguzi mkuu mwakani, kisiasa ni muda mrefu sana.

Samia kajijengea maadui wenye nguvu sana ndani ya chama chake, dhana ya mwenyekiti ndiye kila kitu ni dhana potofu. Uthibitisho ni Kikwete alivyoshindwa kumpitisha Membe kugombea urais 2015.
 
UNAOTA NDUGU YANGU,AMKA HARAKA SANA KABLA HUJAJINYEA HAPO KITANDANI,PRESIDENT SAMIA PANAPO MAJALIWA YA UHAI MWAKANI MAPEEEEMA TUH AMALIZA MCHEZO,KWA UPINZANI GANI KWA MFANO,WA MBOWE??
Unajifariji na unamfariji badala ya kumwambia hali halisi. Na huo ni uchawa wa kumharibia Samia. Hali siyo shwari ndo ukweli na siyo kwa sababu ya Mbowe kama unavyoweweseka. Anzia ndani ya chama. Wengi wanaomzunguuka ni wanafiki wanamshangilia na kumsifia Kwa unafiki. Ukiona tu matamko ya kukutajataja kuwa makini wabongo siyo! Steve Nyerere alisema WAJUMBE SIYO WATU.
 
Wahenga walisema "kadri unavyopambana kuufumbata mchanga ndivyo unavyozidi kudondoka".

Vivyo hivyo na kwa upande wa madaraka, kadri kiongozi anavyopambana na watu ili kuyalinda ndivyo anayozidi kujiongezea maadui na wapinzani wa madaraka yake.

Mwisho wa siku anajikuta kishapambana na kila mtu/kundi na hukuna tena wa kumuunga mkono tena.

Alipoingia tu ikulu rais Samia alipewa maneno kuwa wabaya wake ni akina Dr. Bashiru, Lukuvi, Ndugai na Kabudi......akawaondoa.

Haikupita muda akasafisha wateule waliojulikana kama wafuasi wa sukuma gang....akina Kalemani, Dotto James, Herry James, Angelina Mabula, n.k.

Sasa amekuja kugundua kuwa kundi lililokuwa likimpa ushauri nalo halina nia njema na hatima ya kiti chake. Ndiyo unaona timua timua ya akina Kinana, Nape, Makamba , n.k na wengine watafuata.

Hivi sasa mama anatapatapa, hajui amuamini nani na nani asimuamini. Hofu yake kubwa ni kuwa aliowatumbua watautumia upinzani kumsulubu, na ndiyo maana amesahau 4R zake na kuanza kuwakata hovyo wapinzani.

Nguvu kubwa kutaka kurejea tena ikulu inayotumika na rais Samia inatishia ushindi wake ktk uchaguzi ujao, 2025
Tunakoelekea Kila mtu atakuwa adui yake hata tume ya uchaguzi inaenda kuwa adui
 
UNAOTA NDUGU YANGU,AMKA HARAKA SANA KABLA HUJAJINYEA HAPO KITANDANI,PRESIDENT SAMIA PANAPO MAJALIWA YA UHAI MWAKANI MAPEEEEMA TUH AMALIZA MCHEZO,KWA UPINZANI GANI KWA MFANO,WA MBOWE??
Kama samia anaogopa kongamanonla vijana wa cdm huyu anaweza shinda uchaguzi kweli??
 
ACHENI UJINGA CHADEMA,GEN Z YA KENYA AMBAYO MNATAMANI KUWA KAMA WAO HAWANA AFFILIATION NA CHAMA CHOCHOTE CHA UPINZANI,PAMBANENI NA HALI ZENU,SAISA ZA MAANDAMANO AMBAZO MMEZOEA HAZINA TIJA TENA,SIASA ZENU NI ZA KISHAMBA SANA.
Hivi GEN-Z wamefaulu au wamefeli kuliokoa taifa na ile Sheria mbovu? Na ufisadi uliotishia taifa? Kama ujumbe ulifika na utekelezaji umefanyika basi wapewe hongera Kama ilikuwa kwa nia njema. Ila unapoponda watu wanaotetea kusiwe na Mikataba mibovu na kusiwe na wizi na huduma za msingi tupate, wewe ndo tunakushangaa. Kisichotakiwa ni kuvunja amani. Niambie ni amani gani iliyovunjika? Na kama walivunja amani Kwa nini waachiwe wasifunguliwe mashtaka? Hebu tuheshimu utawala wa Sheria kulinda amani. Wengi mnavuruga mambo kumharibia Samia wetu ionekane mnamtetea kumbe kitaifa na kimataifa mnamharibia.
 
SASA WEWE KWA AKILI YAKO UNAWEZA MPA NCHI MBOWE AU TUNDU LISU??WAPINZANI TUNAWAHITAJI SANA NCHI HII,ILA HAWA TULIONAO NI WEZI TUH NA WAFIA NJAA.
Hao CCM siyo wezi? Kwanza wizi wanaanzia kwenye kura. Na ukiona mtu analazimisha kuchaguliwa lazima afanye nguvu ya kufidia. Unajitoa tu akili na majina ya Mbowe na Lissu yanakuchanganya na bado utaweweseka sana. Mnavyochukuaga wapinzani mnawapa vyeo CCM hakuna watu wenye uelewa? Na si ndiko mnasema kuna watu wengi? Amka wewe. Vichwa viko upinzani. Endelea kuwapigia makofi kina Esther luxury bus wanaendelea kuongeza mabasi.
 
Unajifariji na unamfariji badala ya kumwambia hali halisi. Na huo ni uchawa wa kumharibia Samia. Hali siyo shwari ndo ukweli na siyo kwa sababu ya Mbowe kama unavyoweweseka. Anzia ndani ya chama. Wengi wanaomzunguuka ni wanafiki wanamshangilia na kumsifia Kwa unafiki. Ukiona tu matamko ya kukutajataja kuwa makini wabongo siyo! Steve Nyerere alisema WAJUMBE SIYO WATU.
HALI HALISI GANI UNAZUNGUMZIA??NCHI IKO SALAMA,UCHUMI UKO IMARA NA MAISHA YANASONGA VIZURI TUH,,SHIDA IKO KWAKO WEWE UNAEMTEGEMEA MBOWE NA LISU WAKUPE MAISHA BORA.
 
Back
Top Bottom