Rais Samia anapanda mbegu za anguko lake 2025

Rais Samia anapanda mbegu za anguko lake 2025

Mkuu Sexless punguza ukali wa maneno, unakumbuka ule uzi wa britanicca wa kupotea kwa watu ulivyofutwa juzi asubuhi? Twende taratibu mkuu tafadhali.
Nakumbuka na niliusoma wote. Lkn naamini humu tunalindwa na mikataba mahili ya haki ya mtumiaji wa JF iliyoisainiwa huko Marekani.

Siku nikisikia kuna wanaJF kakamatwa kwa kutoa maoni yake hapa jamvini, ndiyo itakuwa mwisho wangu kuitumia JF.kama vile ambayo siitumii kabisa Facebook siku hizi.
 
UNAOTA NDUGU YANGU,AMKA HARAKA SANA KABLA HUJAJINYEA HAPO KITANDANI,PRESIDENT SAMIA PANAPO MAJALIWA YA UHAI MWAKANI MAPEEEEMA TUH AMALIZA MCHEZO,KWA UPINZANI GANI KWA MFANO,WA MBOWE??
Dogo umeangamia!
👇👇
Abu Huraira (r.a) amesimulia kuwa: Mtume (s.a.w) amesema, "Ye yote mwenye kutukana, basi huyo amejambiwa na Shetani katika Mdomo wake." (Fat'hul Baary J. 10, Uk. 176)
Ushuzi wa shetani Hauna Kata.3
ww finnar jehannam halidina fiha abadan🔥🔥😭😭
 
Labda ajitokeze mtu (CCM) wa kuchukuwa fomu ya uraisi ili apambane na mama na si vingenevyo. CCM njia nyeupe, Chadema hakuna kitu.
 
..tuliwaambia 4R ni utapeli hamkusikia.

..tusilaumu watu wa chini, Mama hana nia ya dhati na 4R.

..hali ya uchumi nayo ndiyo hiyo. Ufisadi umeongeza tena wa waziwazi. Rushwa kwa kila mahali.
 
WENZENU GEN Z WALIKUWA WANA HOJA YA KUELEWEKA MBELE YA SERIKALI YAO,NA NI MAANDAMANO YA WANANCHI,HAWAKUTAKA WANASIASA WAJIINGIZE KWENYE MKUMBO HUO,SASA TUELEZE NYINYI MAANDAMANO YENU NI YA NINI??
Ingia Jukwaa la Watoto ukabishane hapa zinatakiwa HOJA motomoto.
 
..tuliwaambia 4R ni utapeli hamkusikia.

..tusilaumu watu wa chini, Mama hana nia ya dhati na 4R.

..hali ya uchumi nayo ndiyo hiyo. Ufisadi umeongeza tena wa waziwazi. Rushwa kwa kila mahali.
KIPINDI CHA MAGUFULI HALI ILIKUA MBAYA ZAIDI NA MLIKUWA MNALIA NA KUSAGA MENO KUWA VYUMA VIMEKAZA.LINI MAISHA YAMEWAHI KUWA RAHISI??

SASA KAMA HIYO 4R MNASEMA IMEFELI DAWA YAKE NI KUGEUKA GEN Z??HII NI TANZANIA,KAMA UNATAKA KUWA GEN Z NENDA KENYA KAUNGANE NAO,UCHUMI UKO POA TENA SANA TUH..
 
KIPINDI CHA MAGUFULI HALI ILIKUA MBAYA ZAIDI NA MLIKUWA MNALIA NA KUSAGA MENO KUWA VYUMA VIMEKAZA.LINI MAISHA YAMEWAHI KUWA RAHISI??

SASA KAMA HIYO 4R MNASEMA IMEFELI DAWA YAKE NI KUGEUKA GEN Z??HII NI TANZANIA,KAMA UNATAKA KUWA GEN Z NENDA KENYA KAUNGANE NAO,UCHUMI UKO POA TENA SANA TUH..

..hakukuwa na GenZ Mbeya.

..vijana walikodi coaster za kwenda Mbeya, na kuwarudisha makwao.

..sijui kwanini Mama Abduli amepanik namna hii.

..washauri wamtahadharishe asije akamwaga damu za Watanganyika zisizo na hatia.
 
Kama uchaguzi ukiwa huru na haki bibi chaudele hawezi kumshinda hata Steve Nyerere
 
Wahenga walisema "kadri unavyopambana kuufumbata mchanga ndivyo unavyozidi kudondoka".

Vivyo hivyo na kwa upande wa madaraka, kadri kiongozi anavyopambana na watu ili kuyalinda ndivyo anayozidi kujiongezea maadui na wapinzani wa madaraka yake.

Mwisho wa siku anajikuta kishapambana na kila mtu/kundi na hukuna tena wa kumuunga mkono.

Alipoingia tu ikulu rais Samia alipewa maneno kuwa wabaya wake ni akina Dr. Bashiru, Lukuvi, Ndugai na Kabudi......akawaondoa.

Haikupita muda akasafisha wateule waliojulikana kama wafuasi wa sukuma gang....akina Kalemani, Dotto James, Herry James, Angelina Mabula, n.k.

Sasa amekuja kugundua kuwa kundi lililokuwa likimpa ushauri nalo halina nia njema na hatima ya kiti chake. Ndiyo unaona timua timua ya maafisa usalama, wasaidizi wake ikulu pamoja na akina Kinana, Nape, Makamba , n.k na wengine watafuata.

Hivi sasa mama anatapatapa, hajui aliamini kundi gani (wema hawafi ama sukuma gang )? Hofu yake kubwa ni kuwa aliowatumbua watautumia upinzani kumsulubu, na ndiyo maana amesahau 4R zake na kuanza kuwakamata hovyo wapinzani.

Nguvu kubwa kutaka kurejea tena ikulu inayotumika na rais Samia inatishia ushindi wake ktk uchaguzi ujao, 2025

N.B. Wakati wa kampeni za urais 2025 mkataba wa DP World utatembezwa kaya kwa kaya ili kila mwananchi ausome.
Ccm ni chama? Hahahaa.

Chadema inashindana na Dola
 
..hakukuwa na GenZ Mbeya.

..vijana walikodi coaster za kwenda Mbeya, na kuwarudisha makwao.

..sijui kwanini Mama Abduli amepanik namna hii.

..washauri wamtahadharishe asije akamwaga damu za Watanganyika zisizo na hatia.
Panic mode ni ile ile ya mtangulizi wake.
 
Back
Top Bottom