Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,677
Mimi ni mmoja wa watu ambao huamini kwamba, mtu akichafuka mguuni sio kwamba amechafuka mwili mzima.
Hivyo basi, uungwana ni kuzodoa uchafu wa mguuni lakini wakati huo huo kusifia utanashati pale pote pazuri tofauti na mguu ambao umechafuka.
Hii inaitwa kuwa 'positive' katika kuyatizama maisha ya mwanadamu. Na sababu kubwa ni kwamba ni ngumu sana kukutana na binadamu aliye kamilika.
Hivo basi, hatuwezi kumpima binadamu kwa ukamilifu wake, bali mimi naamini binadamu anapaswa kupimwa kwa usikivu wake juu ya mapungufu yake na nia yake ya kubadilika.
Kwa case ya Rais Samia, niseme tu kwamba bado naamini mpaka sasa kwa mizani yangu, amefanya mambo mazuri kwa Tanzania.
1. Issue ya investors confidence na makaripio kwa TRA kuwa smart - huwezi kudogoza hichi kitu hata kidogo. Ukweli usemwe private sector ilikuwa inaenda ku collapse totally.
2. Kukubali Covid + chanjo -- bila hii milestone at national level. Hii nchi diplomatically tulikuwa tunaenda kutengwa.. nimefurahia sana namna alivocheza hii siasa ya Covid-19. Huwezi kuona kwa jicho la kawaida its a win.
3. Huwezi pia kudogoza mahabusu walioachiliwa kwa kesi za kihuni.. Hawa watu wa makesi ya uhujumu na msukumo wa kisiasa wangeozea jela.. Truth
Kwa machache hayo namna kudos Rais Samia.
Lakini hapo hapo ni kweli kwamba kuna mambo ya msingi ambayo yanaweza kumpotezea dira ya uongozi wake na ni vitu nadhani ana control navyo..
1. Issue ya Mbowe na kesi ya ugaidi ni error kubwa sana na mimi naiona kama threats kubwa ukiangalia dunia inapokwenda kwa sasa viongozi wengi wa kidunia sasahivi wana misimamo ya ki Globalist... na Globalism ni purely Capitalist system... Dunia haiwez kumuelewa kwa kuonyesha wazi kukandamiza upinzani na hii itakuwa hatari sana.
kuna street smart za kufanya oppression but sio kwa style hii. Na nadhani hapa angejifunza kwa Magafuli, ukandamizaji wa namna hii hatashinda, Globalism haipendi ukandamizaji wa wazi hivi wa democrasia.. there is a street smart to oppress anatakiwa kujifunza.
2. Maneno mepesi mepesi hayalipi. Hii mambo ya kusema sijui mi mwanamke ooh sijui lazima nigombee.. ni kwamba inasema wazi kwamba yupo insecure. You are the president, we fanya mambo mazuri tu, watu wataandamana uwe Rais wa milele.. ila huwezi kuwa Rais kwa matakwa yako.. wewe mwenyewe angalia ulivokuwa Rais.. its a natural process..
So madam President.. just relax.. kuna mazuri umefanya ila ningependa nione unasikiliza na kubadilika maana bado una muda.
N. Mushi
Mtetezi wa wanyonge
Hivyo basi, uungwana ni kuzodoa uchafu wa mguuni lakini wakati huo huo kusifia utanashati pale pote pazuri tofauti na mguu ambao umechafuka.
Hii inaitwa kuwa 'positive' katika kuyatizama maisha ya mwanadamu. Na sababu kubwa ni kwamba ni ngumu sana kukutana na binadamu aliye kamilika.
Hivo basi, hatuwezi kumpima binadamu kwa ukamilifu wake, bali mimi naamini binadamu anapaswa kupimwa kwa usikivu wake juu ya mapungufu yake na nia yake ya kubadilika.
Kwa case ya Rais Samia, niseme tu kwamba bado naamini mpaka sasa kwa mizani yangu, amefanya mambo mazuri kwa Tanzania.
1. Issue ya investors confidence na makaripio kwa TRA kuwa smart - huwezi kudogoza hichi kitu hata kidogo. Ukweli usemwe private sector ilikuwa inaenda ku collapse totally.
2. Kukubali Covid + chanjo -- bila hii milestone at national level. Hii nchi diplomatically tulikuwa tunaenda kutengwa.. nimefurahia sana namna alivocheza hii siasa ya Covid-19. Huwezi kuona kwa jicho la kawaida its a win.
3. Huwezi pia kudogoza mahabusu walioachiliwa kwa kesi za kihuni.. Hawa watu wa makesi ya uhujumu na msukumo wa kisiasa wangeozea jela.. Truth
Kwa machache hayo namna kudos Rais Samia.
Lakini hapo hapo ni kweli kwamba kuna mambo ya msingi ambayo yanaweza kumpotezea dira ya uongozi wake na ni vitu nadhani ana control navyo..
1. Issue ya Mbowe na kesi ya ugaidi ni error kubwa sana na mimi naiona kama threats kubwa ukiangalia dunia inapokwenda kwa sasa viongozi wengi wa kidunia sasahivi wana misimamo ya ki Globalist... na Globalism ni purely Capitalist system... Dunia haiwez kumuelewa kwa kuonyesha wazi kukandamiza upinzani na hii itakuwa hatari sana.
kuna street smart za kufanya oppression but sio kwa style hii. Na nadhani hapa angejifunza kwa Magafuli, ukandamizaji wa namna hii hatashinda, Globalism haipendi ukandamizaji wa wazi hivi wa democrasia.. there is a street smart to oppress anatakiwa kujifunza.
2. Maneno mepesi mepesi hayalipi. Hii mambo ya kusema sijui mi mwanamke ooh sijui lazima nigombee.. ni kwamba inasema wazi kwamba yupo insecure. You are the president, we fanya mambo mazuri tu, watu wataandamana uwe Rais wa milele.. ila huwezi kuwa Rais kwa matakwa yako.. wewe mwenyewe angalia ulivokuwa Rais.. its a natural process..
So madam President.. just relax.. kuna mazuri umefanya ila ningependa nione unasikiliza na kubadilika maana bado una muda.
N. Mushi
Mtetezi wa wanyonge