Rais Samia anarudi zama za siasa za chuki au anawajibu wanaombipu?

Nilifikiri unasema ccm inakufa! Kumbe unaongea kufa kwa watu binafsi?
 
Nilimuomba Mama awe mkali kidogo hili genge la hawa Chadema lina hitaji kwenda nalo kwa akili kubwa kadili wao wanavyoleta uhuni.

Tupo katika mapambano na Covid 19 na wao wamekuwa wakihimiza serikali kuchukua hatua za kupambana na ugonjwa, serikali inawapa maelekezo wanakaidi sasa uhuni unatakiwa kudhibitiwa kwa namna yake.

Safi Mama sana Mama ni mwendo wa long balls sasa hakuna cha mwingi tutapoteza mechi Watanzania.
 
Magufuli alifanya huo ubatili mwisho wa siku Nchi aliyodhani ni yake ameiacha. Tumebak8 tunatamba na pumzi yetu sisi aliodhani hatustahili kuishi.

Endeleeni kumpaisha bichwa. Wengine wamepita na yeye atapita.
Waambie Chadema wapunguze uanaharakati watii sheria na maagizo ya mamlaka, huu uhuni hausaidii.
 
kwa hio unakubali kulikua na siasa za chuki eehhhhh?
 
Kati kati ya nane na tisa pale However....ni kwanini unafikiri Chama Cha Mapinduzi aka CCM walianzisha mchakato wa katiba enzi zile chini ya JK?

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Ambayo hata Ulaya wazungu na Uchina huko waliifanya, waliupiga mwingi sana wao kwa wao kupeana adabu hadi wakanyoka na kustaarabika hapo walipo

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Kiukweli kabisa kazi ya rais ni kuheshimu katiba na kiapo chake.
Hapaswi kufanya maamuzi ya jazba, kukomoa, kujitutumua , maana kufanya hivyo ni udhaifu
 
Kuna nn Burundi ni baada ya kutoka tu huko
 
Umeongea vitu vizito na vinavoumia (ukweli mchungu)Haya mambo hayako mbali yatakua kweli.
 
Hivi mr clean ni nani bro [emoji3064]
 
Kiukweli kabisa kazi ya rais ni kuheshimu katiba na kiapo chake.
Hapaswi kufanya maamuzi ya jazba, kukomoa, kujitutumua , maana kufanya hivyo ni udhaifu

..Nadhani tatizo la CCM ni hofu kwamba katiba mpya itawaondoa madaraka.

..Naamini wakikaa na kufanya uchambuzi wa kina watagundua kwamba hata katiba mpya ikija upo uwezekano mkubwa wa wao kuendelea kuwa madarakani.

..Njia ya hujuma na ukatili dhidi ya wapinzani naamini ni risky na unsustainable. Naamini ni vigumu kutawala kwa mkono wa chuma kuliko kutawala kwa haki na usawa kwa Watz wote.
 
Uko sahihi, Kukimbizana na wapinzani daily kwanza kunawapotezea watawala muda wa kufanya shughuli za maendeleo na eventually hata vyombo vya usalama vitawaambia tu kuwa hizi opearation za kuoneaonea wapinzani hazi values zozote za kijeshi bali ni civilian issues zinazoweza kumalizwa na watawala kwa kutimiza wajibu wao
Wapinzani wanachopaswa kufanya ni kuapply pressure na pressure bila kukoma, ipo siku kitaeleweka tu
 
Ghana ilifanya second armed struggle kumuondoa Nkwame Nkurumah kwa kujivisha ukoloni mweusi kwa weusi baada ya wazungu Leo hii Ghana Ni nchi yenye ustawi sawia na usio na shaka juu ya democracy

God blessing Africa continent.Amen
Sidhani kama unajua unachozunguza.
 
Anawajibu wanaombipu!


Hata JPM hakuwa na siasa za chuki ila hakutaka siasa uchwara kama hizi za akina Mbowe!

Magufuli alikuwa na chuki tena ya wazi. Usitegemee utamtumia huyu mama kumsafisha Magufuli. Huyu mama wa kambo yeye kapata urais wa kurithi, kibaya zaidi akabebana na genge la Magufuli, hivyo hana namna zaidi ya kuburuzwa na genge la Magufuli. Akitaka ajitenge na hiki kinachoendelea ni kutupilia mbali hilo genge haramu. Ifahamike hata huyo Magufuli mwenyewe alikuwa hamshirikishi mama wa kambo kwenye mambo mengi, yeye anaendekeza nini hilo genge haramu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…