Rais Samia anarudi zama za siasa za chuki au anawajibu wanaombipu?

Rais Samia anarudi zama za siasa za chuki au anawajibu wanaombipu?

Kinachofanyika ni serikali kupambana na wajinga wachache wanaofikiri wao ndio watanzania na lazima wasikilizwe kwa chochote ikiwa pamoja na kudekezwa....leo wakipewa katiba mpya kesho watakuja na dai lingine, mwisho wanaweza kukwambia kila mwanaume awe na mme wake...... ni kama nyumbani tu, ukidekeza sana mtoto kuna mahala utajiona fala na kurudi kwenye viboko....Harakati za CDM zina mengi saaana yamejificha nyuma na wenye mahitaji yao huwezi kuwaona zaidi ya kuchochea kuni.......CDM ni kama mtoto aliyedekezwa sana sasa anafanya vitu vya hovyo nyumbani ili akae sawa anahitaji viboko kila kukicha...
 
Nilimuomba Mama awe mkali kidogo hili genge la hawa Chadema lina hitaji kwenda nalo kwa akili kubwa kadili wao wanavyoleta uhuni.

Tupo katika mapambano na Covid 19 na wao wamekuwa wakihimiza serikali kuchukua hatua za kupambana na ugonjwa, serikali inawapa maelekezo wanakaidi sasa uhuni unatakiwa kudhibitiwa kwa namna yake.

Safi Mama sana Mama ni mwendo wa long balls sasa hakuna cha mwingi tutapoteza mechi Watanzania.

Mmebaki kwenye siasa za hila za kizee mpaka mmegeuka kuwa vituko. Jana hiyo Mwanza kulikuwa na mechi ya mpira kati ya pamba ya Coastal union na hakuna aliyevaa barakoa. Hapo mlipo mnampeleka mama wa kambo kwenye siasa za mabavu, wakati hana uwezo wa kufanana na yule dhalimu kwa chochote.
 
Mbowe alipotoka dubai akatamba na chedema kidigitali hakubughudhiwa lakini kuna nyakati ni lazima tutambue kua wananchi wanahitaji utulivu pia mtaka yote pupa hukosa yote.Tujifunze kua na utulivu wakati wa kupenyeza ajenda za vyama vyetu kwa wananchi huku tukitambua ukweli kua wananchi wetu wamegawanyika kiitikadi hivyo wanahitaji kushawishiwa.
 
Kuna features kadhaa kuhusu matukio makubwa mawili yaliyojiri siku chache zilizopita, la kukamatwa Mheshimiwa Mbowe na viongozi wengine kadhaa wa Chadema, na kabla ya hapo, kukamatwa kwa wafuasi kadhaa wa chama hicho, matukio yaliyojiri huko Mwanza.

Kwanza, hoja za jeshi la polisi na mkuu wa mkoa Mwanza kuzuwia kongamano kwa kigezo cha korona ni utopolo. Hilo halina mjadala.

Pili, kuzuwia kongamano hilo pamoja na lile la awali ni ukiukwaji wa haki za kidemokrasia na kikatiba. Freedom of association sio fadhila bali haki ya msingi kwa kila Mtanzania. Polisi wanapaswa kutoa ulinzi kwenye matukio husika na sio kuwa waamuzi wa endapo shughuli ifanyike au la.

Tatu, kama ilivyokuwa utawala uliopita, kuna double standards, ambapo CCM "wanapeta" tu ilhali ni kosa la jinai kwa Wapinzani japo kijaribu hayohayo CCM wanaruhusiwa kuyafanya.

Nne, kukamatwa kwa Mheshimiwa Mbowe na viongozi wengine wa Chadema kunatia doa taswira nzuri iliyoanza kujengeka kuwa Mama Samia anataka siasa za maelewano badala ya siasa za chuki zilizotawala zama za Mwendazake. Kuachiwa kwa Mdude na kugeuzwa hukumu ya Mbowe ni miongoni mwa ishara zilizotupa matumaini wengi kuhusu Mama Samia.

Tano, siasa za Tanzania na zero-sum game: Unfortunately siasa za Tanzania ni aidha ishinde CCM na Wapinzani wafeli au wapinzani wafaulu na CCM washindwe. Ni vigumu mno kupata suluhu kwenye masuala muhimu ya mustakabali wa kitaifa yanayohitaji mshikamano wa pande zote mbili.

Na ndio maana kwa mazingira ya sasa ni vigumu mno kwa madai ya Katiba mpya kuwa na ufanisi kwa sababu CCM wanajiona washindi wakikwamisha mchakato huo (unfortunately kwa vile ni chama tawala wana uwezo wa kukwamisha) na wanatafsiri kuwa kukwamisha huko ni "kuwapiga bao" Wapinzani

Ufumbuzi: win-win. Katiba ni kwa ajili ya Watanzania wote. Washindi ni Watanzania, sio chama fulani. Ikishindikana, waliofeli ni Watanzania wote, sio kundi fulani.

Sita, Sambamba na hilo, confrontational politics ni ngumu japo wakati mwingine ndio only option. Katika mazingira ya sasa, sidhani kama mkutano kati ya Mama Samia na viongozi wa upinzani utakuwepo tena maana tayari "mstari umechorwa."

Saba, kwa upande mwingine, pengine Mama Samia hajatendewa haki kwenye hilo la mkutano na viongozi wa upinzani. Alikuwa na kila ruhusa ya kutamka kuwa "sihitaji kukutana na Wapinzani" na isingemuathiri kwa lolote, lakini akakubali.

Unfortunately, viongozi wa Chadema wanataka mkutano huo ufanyike mapema kadri iwezekanavyo, which is a valid point. However, kutokana na uzito wa mkutano huo, ni muhimu kuwe na maandalizi ya kutosha. On one side, hakutokuwa na tija endapo mkutano utaishia kuwa fursa ya Mama na wapinzani kunywa kahawa kisha kupiga picha pasipo kujadiliana masuala muhimu kwa taifa letu. On the other side, anayeombwa appointment, hapangiwi wala halazimishwi na mwomba appointment.

Ufumbuzi: kunahitajika ustahimilivu, assuming possibility ya mkutano huo bado ipo, though I highly doubt.

Nane, madai ya katiba mpya ni valid. Katiba Iliyopo ina mapungufu makubwa. Now, whether kinachohitajika ni katiba mpya au marekebisho kwenye katiba iliyopo, that's open to discussion.

However, approach ya kudai katiba ipo a bit flawed. Kws kuzingatia kuwa siasa zetu ni za zero-sum, it is virtually impossible kwa CCM kuridhia mchakato wa Katiba mpya, kwa sababu watakuwa wanajipiga bao. It essentially would fast-track safari ya wao kitoka madarakani.

Tisa, kuna kikwazo cha pili. Ni kwamba utamaduni wa siasa za Tanzania, na hata baadhi ya nchi kubwa, hutegemea sana utashi wa kiongozi aliyepo madarakani. Tumeona zama za Magufuli. Aliyotaka yawe yakawa. Aliyitaka yasiwe hayakuwa. Lakini hata Marekani, utashi wa Obama uliifanya Marekani kuwa "tofauti" na "Marekani ya Trump," na "ya Biden" ni tofauti pia. Na hili ni taifa lenye katiba imara na kongwe.

Ufumbuzi: pamoja na ugumu mwingi, only viable way ya kuwezesha mchakato wa Katiba ni kuhusisha utashi wa Mama Samia, kufanikiwa kuwavuta CCM waone kuwa ni win-win na sio zero-sum game, na suala la katiba kuwa la kitaifa zaidi kuliko "la chama kimoja."

Kumi, no si dhambi kwa Chadema kuongoza harakati za kudai Katiba mpya. However, on on side kuna kikwazo hicho cha CCM, lakini tatizo kubwa zaidi ni kwamba kuna watu watakaokwepa kuunga mkono katiba mpya kwa vile tu ni "sera ya chama flani." Ikumbukwe, zaidi ya nusu ya Watanzania si wafuasi wa chama chochote cha siasa.

Mwisho, ni jawabu la swali lililobeba kichwa cha habari. Je Mama Samia anairudisha Tanzania kwenye zama za siasa za chuki au huu ni utekelezaji wa kile alichotanabaisha mapema kuwa "ukinizingua nitakuzingua"?

Hilo moja, la pili, na linalohitaji tafakuri kubwa ni ukweli mchungu kuwa hata Mama Samia akiamua "kuachana na siasa za kistaarabu" na kuwa full tyrant, hakuna ww kumzuwia. Hakuna aliyeweza kumzuwia Mkapa kuukandamiza upinzani 1995 to 2005. Hakuna aliyeweza kumzuwia Jk kuuma na kupuliza ambapo hadharani alionekana mtu poa kwa wapinzani ilhali faraghani aliwahujumu. Na hakuna kilichoweza kumzuwia Shujaa Mwendazake kufanya siasa za chuki ambapo aliwanyanyasa wapinzani atakavyo.

Ukweli mwingine mchungu ni kwamba tangu jana ni "porojo" tu, Spaces, nk lakini hadi muda huu kinachosubiriwa ni "huruma ya serikali" kuwaachia Mheshimiwa Mbowe na wenzake. Katika mazingira haya ambayo watu ni mahiri sana wa kuongea na kujimwambafai kuliko kutenda, pengine ni muhimu kuwa na Plan B kabla ya kufanya jambo ambalo matokeo yake yanafahamika. Kwa tukio la Mwanza, ilifahamika bayana nini kingetokea, lakini ni wazi there was no plan B. Another zero-sum game?

Kuna video hapa chini inayoeleza hoja hizo zote kwa upana


Uchambuzi wako leo umeenda shule. Hongera. Ni tofauti kabisa na ile thread ya Mdude uliyoanzanisha. Leo umetoa uchambuzi wa kisomi na unaakisi hali halisi!
 
Kinachofanyika ni serikali kupambana na wajinga wachache wanaofikiri wao ndio watanzania na lazima wasikilizwe kwa chochote ikiwa pamoja na kudekezwa....leo wakipewa katiba mpya kesho watakuja na dai lingine, mwisho wanaweza kukwambia kila mwanaume awe na mme wake...... ni kama nyumbani tu, ukidekeza sana mtoto kuna mahala utajiona fala na kurudi kwenye viboko....Harakati za CDM zina mengi saaana yamejificha nyuma na wenye mahitaji yao huwezi kuwaona zaidi ya kuchochea kuni.......CDM ni kama mtoto aliyedekezwa sana sasa anafanya vitu vya hovyo nyumbani ili akae sawa anahitaji viboko kila kukicha...
Huu ni mtazamo wa kizee ile mbaya, mlikuwa mnadanganya wananchi kuwa nchi hii ni tajiri na kuna raslimali kibao, na porojo sijui wazungu wanatuonea wivu. Mbona hizo raslimali zetu hatuzioni zikiuzwa tuondokane na hii double taxation kwenye line za simu? Au hizi line zetu za simu ndio hizo raslimali wazungu wanazionea wivu?

Mmewadanganya ACT huko Zanzibar wameingia serikali ya umoja wa kitaifa sijui kuponya majeraha. Mbona kila uchafuzi wa marudio vilio vyao ni vilevile, badala ya kuona afadhali kuwa sasa wanafanya siasa zinazokubalika na ccm. Jana ACT wamemsusia Mwinyi sherehe za Iddy huko Pemba baada ya kupigwa kata funua. Ni hivi, ukweli ni kuwa ccm haiwezi tena kushindana kwa hoja, wamebaki kutegemea mabavu. Hiyo eti kuwa cdm wanafanya siasa zisizo za kistaarabu ni ghiliba kwa wajinga.
 
Huyu mama alikaa na Magufuli akaona namna alivyokuwa akiburuza watu sasa na yeye anaiga kile kile kilichomponza mtangulizi wake kwani ukikaa karibu na waridi utanukia waridi.

Ccm wanaamini kabisa kwamba katiba yoyote tofauti na hii yao ndio itakuwa kiyama chao hivyo watajaribu hujuma zote kuhakikisha kwamba wanaitetea ibaki.

Lakini bahati mbaya sana kwao ni kwamba wanapambana ktk wakati mgumu sana ambapo kuna kila dalili kwamba hawatafaulu na kifo cha ghafla cha Magufuli ni uthibitisho wa wazi kwamba kuna yatakayofanyika huko mbele ambayo hayata nufaisha lengo lao.
 
Magufuli alikuwa na chuki tena ya wazi. Usitegemee utamtumia huyu mama kumsafisha Magufuli. Huyu mama wa kambo yeye kapata urais wa kurithi, kibaya zaidi akabebana na genge la Magufuli, hivyo hana namna zaidi ya kuburuzwa na genge la Magufuli. Akitaka ajitenge na hiki kinachoendelea ni kutupilia mbali hilo genge haramu. Ifahamike hata huyo Magufuli mwenyewe alikuwa hamshirikishi mama wa kambo kwenye mambo mengi, yeye anaendekeza nini hilo genge haramu?

hahahahahaha Bwana Tindo....mama ili awe pembeni ya genge haramu basi akubaliane na CDM na awape katiba mpya.... Tindo, JK alijaribu kwenda sawa sana na upinzani kwa kufuata misingi ya demokrasia, kutoa uhuru wa vyombo vya habari, kuruhusu mikutano ya siasa, kuruhusi majadiliano na upinzani mpaka Ikulu....mwisho wa siku JK tukamuita dhaifu, boyz 2 men, anachekacheka tu, mara nchi imemshinda, mara mwanae anauza unga mara kakamatwa china, Dr slaa na TL wakawa wanatupiga uongo mwingi sana, tukaenda mbali tukasema nchi hii inahitaji dikteta na mtu mwenye maamuzo magumu...akaja JPM akaanza kutubinya huku na kule naye akawa hafai na wala hakuna aliyejaribu kufanya kongamano la katiba...leo mama tena naye hafai na manenoo meeengi...

Tujitafakari na kuangalia au kufikiri nini tunataka, kwangu mimi Katiba siona kama ina umuhimu kwa sasa zaidi ya matatizo meeengi tuliyonayo yanayohitaji suluhu, hebu tuachane na upande wa wanasiasa tusimame kama raia kudai haki zetu za msingi sio kuendeshwa na mitazamo ya wanasiasa kwa maslahi yao..
 
Ghana ilifanya second armed struggle kumuondoa Nkwame Nkurumah kwa kujivisha ukoloni mweusi kwa weusi baada ya wazungu Leo hii Ghana Ni nchi yenye ustawi sawia na usio na shaka juu ya democracy

God blessing Africa continent.Amen
Bado wana matatizo yao mkuu, siyo kwamba democracy yao ipo perfect 100%, hamna democracy iliyo kamili 100%. Wachina wakaona wasiwe wanafiki waachane na hii democracy ya kuiga west
 
Huu ni mtazamo wa kizee ile mbaya, mlikuwa mnadanganya wananchi kuwa nchi hii ni tajiri na kuna raslimali kibao, na porojo sijui wazungu wanatuonea wivu. Mbona hizo raslimali zetu hatuzioni zikiuzwa tuondokane na hii double taxation kwenye line za simu? Au hizi line zetu za simu ndio hizo raslimali wazungu wanazionea wivu?

Mmewadanganya ACT huko Zanzibar wameingia serikali ya umoja wa kitaifa sijui kuponya majeraha. Mbona kila uchafuzi wa marudio vilio vyao ni vilevile, badala ya kuona afadhali kuwa sasa wanafanya siasa zinazokubalika na ccm. Jana ACT wamemsusia Mwinyi sherehe za Iddy huko Pemba baada ya kupigwa kata funua. Ni hivi, ukweli ni kuwa ccm haiwezi tena kushindana kwa hoja, wamebaki kutegemea mabavu. Hiyo eti kuwa cdm wanafanya siasa zisizo za kistaarabu ni ghiliba kwa wajinga.

Tindo, binafsi sishabikii chama chochote cha siasa maana siamini katika fikra za wanasiasa oya oya....1995 sikupiga kura maana nilikuwa naijua sinema, 2000 sikupiga kura maana sikuona aliye serious na kuijua sinema, 2005 sikupiga kura, 2010 sikupiga kura, 2015 nilikwenda kupiga kura na kumchagua JPM baada ya kukubaliana na baadhi ya mitizamo yake hasa TZ ya viwanda na undava dhidi ya wapumbavu na wajinga... 2020 sikupiga kura, nilitofautiana mitazamo na JPM dhidi ya approach zake toward Tanzania ya viwanda na ujenzi wa mastructure hovyo hovyo bila kuwa strategically, nilikubaliana naye kw undava wake na ujeuri, maamuzi magumu na kutengeneza dola inayoogopwa na kuheshimika.. 2020 upinzania haukuwa na mgombea serious zaidi ya oya oya na makelele tu...naomba pia nikwambia hili " fanya research yako mwenyewe privately upate kumjua mbowe ni nani na ukirudi nyuma kidogo kwenye ule ugomvi wake na ZZK unaweza kusmell kitu na ukirudi nyuma kidogo ukazama katikati ya mistari ya hutaki unaacha utasmell kitu pia"..

Back to the topic, sio kila anayepingana mtazamo na CDM atakuwa CCM hapana anaweza kuwa chauma, anaweza kuwa ACT anaweza kuwa UDP....na sio kila harakati za CDM lazima ziungwe mkono na kila chama au kila mtu hapana pia...inaonekana pia hujui kwanini ACT walikubaliana na CCM na aliyekuwa nyuma ya makubaliano ni nani, jaribu pia kuunganisha historia ya Zanzibar vs siasa za Zanzibar....Kuna mengi sana bwana tunahitaji kuyafahamu pamoja na kuichukia kwetu CCM....kwa sasa naamini kwenye kuipa pressure CCM ikatuogopa wananchi kuliko kuamini agenda na harakati za wanasiasa..
 
Bado wana matatizo yao mkuu, siyo kwamba democracy yao ipo perfect 100%, hamna democracy iliyo kamili 100%. Wachina wakaona wasiwe wanafiki waachane na hii democracy ya kuiga west

Watu huwa wanapenda kutolea mifano mataifa mengine kwa kusikia bila kufanya uchunguzi...eti "Ghana wana democracy" watu wanawaza democracy ya uchaguzi ambayo hata Ivory coast ipo, Senegal ipo, Mali ipo, Liberia ipo nk...hiyo Ghana juzi tu hapa walikuwa kwenye mgogoro wa uchaguzi, mtu anaitolea mfano Ghana eti imeendelea dah kweli tembea uone......
 
Hata JPM hakuwa na siasa za chuki ila hakutaka siasa uchwara kama hizi za akina Mbowe!
Chadema ndiyo walimbadilisha JPM baada ya kuanza siasa za kijinga za kupinga kila kitu. Lisu akafie mbali na huo ujinga aliouanzisha.
Mama amekuwa nice kwa chadema akitegemea mambo yatabadilika na mahusiano yawe mazuri, nadhani alisahau kuwa chadema ya sasa siyo chama cha siasa, ni genge tu la wahuni wasio na maadili yoyote ya kuendesha siasa za kistaarabu.
Waliombipu wamelikoroga, sasa walinywe.
 
hahahahahaha Bwana Tindo....mama ili awe pembeni ya genge haramu basi akubaliane na CDM na awape katiba mpya.... Tindo, JK alijaribu kwenda sawa sana na upinzani kwa kufuata misingi ya demokrasia, kutoa uhuru wa vyombo vya habari, kuruhusu mikutano ya siasa, kuruhusi majadiliano na upinzani mpaka Ikulu....mwisho wa siku JK tukamuita dhaifu, boyz 2 men, anachekacheka tu, mara nchi imemshinda, mara mwanae anauza unga mara kakamatwa china, Dr slaa na TL wakawa wanatupiga uongo mwingi sana, tukaenda mbali tukasema nchi hii inahitaji dikteta na mtu mwenye maamuzo magumu...akaja JPM akaanza kutubinya huku na kule naye akawa hafai na wala hakuna aliyejaribu kufanya kongamano la katiba...leo mama tena naye hafai na manenoo meeengi...

Tujitafakari na kuangalia au kufikiri nini tunataka, kwangu mimi Katiba siona kama ina umuhimu kwa sasa zaidi ya matatizo meeengi tuliyonayo yanayohitaji suluhu, hebu tuachane na upande wa wanasiasa tusimame kama raia kudai haki zetu za msingi sio kuendeshwa na mitazamo ya wanasiasa kwa maslahi yao..

Hiyo paragraph yako ya kwanza maoni yako ni yale yale ya bendera fuata upepo. Huyo JK alipewa ukweli wake, unajaribu kuongea kama vile JK alionewa au alitenda haki sana. JK hakumfanyia yoyote hisani maana nchi haikuwa yake. Na kimsingi alijifaidisha yeye na familia yake, na genge lake. Magufuli aliingia kwa pupa na alikuwa hafanyi Siasa, bali alikuwa mlevi wa madaraka, na kwasababu ya pupa yake kageuka kuwa ivumayo haidumu. Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule mtu muovu bila damu kumwagika.

Huyu mama wa kambo alianza vizuri, ila naona amegeuka kuwa mgema akisifiwa. Isitoshe huyu mama hana maamuzi yoyote ya kwake, maana ni urais wa urithi.Hivyo anaongoza kwa kutaka kumuiga Magufuli wakati wala hapatii, na isitoshe hakuna uhakika kuwa style ya Magufuli ilikuwa inakubalika na wengi, kwani hakuwa anaheshimu uchaguzi.

Unasema tujiunge kudai haki zetu, kwani hao wapinzani wamezuia wananchi kudai haki zao? Au unajichanganya nini boss. Au hao wananchi wanasubiri mpaka wapinzani wanyamaze na wao ndio waanze kudai hizo haki zao?
 
Chadema ndiyo walimbadilisha JPM baada ya kuanza siasa za kijinga za kupinga kila kitu. Lisu akafie mbali na huo ujinga aliouanzisha.
Mama amekuwa nice kwa chadema akitegemea mambo yatabadilika na mahusiano yawe mazuri, nadhani alisahau kuwa chadema ya sasa siyo chama cha siasa, ni genge tu la wahuni wasio na maadili yoyote ya kuendesha siasa za kistaarabu.
Waliombipu wamelikoroga, sasa walinywe.

Nyie ndio mlimsifia kwa kila kitu aliishia kupika data. Magu hakubadilishwa na mtu yoyote bali alikuwa na kichaa na mtu mwenye roho chafu.
 
Mama nae hataki kujaribiwa,wala hataki kupelekwa pelekwa,wala hataki kuchukuliwa powa.
Hilo la Mbowe tulitegemea kwani Mbowe alitamka wazi kuwa hakuna muda wa kusubiri,wakati mama nae anasema tusubiri.
Tatizo kubwa hapa si Chadema au vyama vya upinzani kuhusu mchakato wa kupata katiba mpya,tatizo kubwa hatujui msimamo wa chama tawala.
 
Tindo, binafsi sishabikii chama chochote cha siasa maana siamini katika fikra za wanasiasa oya oya....1995 sikupiga kura maana nilikuwa naijua sinema, 2000 sikupiga kura maana sikuona aliye serious na kuijua sinema, 2005 sikupiga kura, 2010 sikupiga kura, 2015 nilikwenda kupiga kura na kumchagua JPM baada ya kukubaliana na baadhi ya mitizamo yake hasa TZ ya viwanda na undava dhidi ya wapumbavu na wajinga... 2020 sikupiga kura, nilitofautiana mitazamo na JPM dhidi ya approach zake toward Tanzania ya viwanda na ujenzi wa mastructure hovyo hovyo bila kuwa strategically, nilikubaliana naye kw undava wake na ujeuri, maamuzi magumu na kutengeneza dola inayoogopwa na kuheshimika.. 2020 upinzania haukuwa na mgombea serious zaidi ya oya oya na makelele tu...naomba pia nikwambia hili " fanya research yako mwenyewe privately upate kumjua mbowe ni nani na ukirudi nyuma kidogo kwenye ule ugomvi wake na ZZK unaweza kusmell kitu na ukirudi nyuma kidogo ukazama katikati ya mistari ya hutaki unaacha utasmell kitu pia"..

Back to the topic, sio kila anayepingana mtazamo na CDM atakuwa CCM hapana anaweza kuwa chauma, anaweza kuwa ACT anaweza kuwa UDP....na sio kila harakati za CDM lazima ziungwe mkono na kila chama au kila mtu hapana pia...inaonekana pia hujui kwanini ACT walikubaliana na CCM na aliyekuwa nyuma ya makubaliano ni nani, jaribu pia kuunganisha historia ya Zanzibar vs siasa za Zanzibar....Kuna mengi sana bwana tunahitaji kuyafahamu pamoja na kuichukia kwetu CCM....kwa sasa naamini kwenye kuipa pressure CCM ikatuogopa wananchi kuliko kuamini agenda na harakati za wanasiasa..

Sisi wananchi tunangoja nini kuipa hiyo ccm pressure, au tunasubiri mpaka hivyo vyama vya upinzani vife kwanza? Hebu niambie wananchi mnangoja nini, na mpaka lini mtaanza?
 
Kuna features kadhaa kuhusu matukio makubwa mawili yaliyojiri siku chache zilizopita, la kukamatwa Mheshimiwa Mbowe na viongozi wengine kadhaa wa Chadema, na kabla ya hapo, kukamatwa kwa wafuasi kadhaa wa chama hicho, matukio yaliyojiri huko Mwanza.

Kwanza, hoja za jeshi la polisi na mkuu wa mkoa Mwanza kuzuwia kongamano kwa kigezo cha korona ni utopolo. Hilo halina mjadala.

Pili, kuzuwia kongamano hilo pamoja na lile la awali ni ukiukwaji wa haki za kidemokrasia na kikatiba. Freedom of association sio fadhila bali haki ya msingi kwa kila Mtanzania. Polisi wanapaswa kutoa ulinzi kwenye matukio husika na sio kuwa waamuzi wa endapo shughuli ifanyike au la.

Tatu, kama ilivyokuwa utawala uliopita, kuna double standards, ambapo CCM "wanapeta" tu ilhali ni kosa la jinai kwa Wapinzani japo kijaribu hayohayo CCM wanaruhusiwa kuyafanya.

Nne, kukamatwa kwa Mheshimiwa Mbowe na viongozi wengine wa Chadema kunatia doa taswira nzuri iliyoanza kujengeka kuwa Mama Samia anataka siasa za maelewano badala ya siasa za chuki zilizotawala zama za Mwendazake. Kuachiwa kwa Mdude na kugeuzwa hukumu ya Mbowe ni miongoni mwa ishara zilizotupa matumaini wengi kuhusu Mama Samia.

Tano, siasa za Tanzania na zero-sum game: Unfortunately siasa za Tanzania ni aidha ishinde CCM na Wapinzani wafeli au wapinzani wafaulu na CCM washindwe. Ni vigumu mno kupata suluhu kwenye masuala muhimu ya mustakabali wa kitaifa yanayohitaji mshikamano wa pande zote mbili.

Na ndio maana kwa mazingira ya sasa ni vigumu mno kwa madai ya Katiba mpya kuwa na ufanisi kwa sababu CCM wanajiona washindi wakikwamisha mchakato huo (unfortunately kwa vile ni chama tawala wana uwezo wa kukwamisha) na wanatafsiri kuwa kukwamisha huko ni "kuwapiga bao" Wapinzani

Ufumbuzi: win-win. Katiba ni kwa ajili ya Watanzania wote. Washindi ni Watanzania, sio chama fulani. Ikishindikana, waliofeli ni Watanzania wote, sio kundi fulani.

Sita, Sambamba na hilo, confrontational politics ni ngumu japo wakati mwingine ndio only option. Katika mazingira ya sasa, sidhani kama mkutano kati ya Mama Samia na viongozi wa upinzani utakuwepo tena maana tayari "mstari umechorwa."

Saba, kwa upande mwingine, pengine Mama Samia hajatendewa haki kwenye hilo la mkutano na viongozi wa upinzani. Alikuwa na kila ruhusa ya kutamka kuwa "sihitaji kukutana na Wapinzani" na isingemuathiri kwa lolote, lakini akakubali.

Unfortunately, viongozi wa Chadema wanataka mkutano huo ufanyike mapema kadri iwezekanavyo, which is a valid point. However, kutokana na uzito wa mkutano huo, ni muhimu kuwe na maandalizi ya kutosha. On one side, hakutokuwa na tija endapo mkutano utaishia kuwa fursa ya Mama na wapinzani kunywa kahawa kisha kupiga picha pasipo kujadiliana masuala muhimu kwa taifa letu. On the other side, anayeombwa appointment, hapangiwi wala halazimishwi na mwomba appointment.

Ufumbuzi: kunahitajika ustahimilivu, assuming possibility ya mkutano huo bado ipo, though I highly doubt.

Nane, madai ya katiba mpya ni valid. Katiba Iliyopo ina mapungufu makubwa. Now, whether kinachohitajika ni katiba mpya au marekebisho kwenye katiba iliyopo, that's open to discussion.

However, approach ya kudai katiba ipo a bit flawed. Kws kuzingatia kuwa siasa zetu ni za zero-sum, it is virtually impossible kwa CCM kuridhia mchakato wa Katiba mpya, kwa sababu watakuwa wanajipiga bao. It essentially would fast-track safari ya wao kitoka madarakani.

Tisa, kuna kikwazo cha pili. Ni kwamba utamaduni wa siasa za Tanzania, na hata baadhi ya nchi kubwa, hutegemea sana utashi wa kiongozi aliyepo madarakani. Tumeona zama za Magufuli. Aliyotaka yawe yakawa. Aliyitaka yasiwe hayakuwa. Lakini hata Marekani, utashi wa Obama uliifanya Marekani kuwa "tofauti" na "Marekani ya Trump," na "ya Biden" ni tofauti pia. Na hili ni taifa lenye katiba imara na kongwe.

Ufumbuzi: pamoja na ugumu mwingi, only viable way ya kuwezesha mchakato wa Katiba ni kuhusisha utashi wa Mama Samia, kufanikiwa kuwavuta CCM waone kuwa ni win-win na sio zero-sum game, na suala la katiba kuwa la kitaifa zaidi kuliko "la chama kimoja."

Kumi, no si dhambi kwa Chadema kuongoza harakati za kudai Katiba mpya. However, on on side kuna kikwazo hicho cha CCM, lakini tatizo kubwa zaidi ni kwamba kuna watu watakaokwepa kuunga mkono katiba mpya kwa vile tu ni "sera ya chama flani." Ikumbukwe, zaidi ya nusu ya Watanzania si wafuasi wa chama chochote cha siasa.

Mwisho, ni jawabu la swali lililobeba kichwa cha habari. Je Mama Samia anairudisha Tanzania kwenye zama za siasa za chuki au huu ni utekelezaji wa kile alichotanabaisha mapema kuwa "ukinizingua nitakuzingua"?

Hilo moja, la pili, na linalohitaji tafakuri kubwa ni ukweli mchungu kuwa hata Mama Samia akiamua "kuachana na siasa za kistaarabu" na kuwa full tyrant, hakuna ww kumzuwia. Hakuna aliyeweza kumzuwia Mkapa kuukandamiza upinzani 1995 to 2005. Hakuna aliyeweza kumzuwia Jk kuuma na kupuliza ambapo hadharani alionekana mtu poa kwa wapinzani ilhali faraghani aliwahujumu. Na hakuna kilichoweza kumzuwia Shujaa Mwendazake kufanya siasa za chuki ambapo aliwanyanyasa wapinzani atakavyo.

Ukweli mwingine mchungu ni kwamba tangu jana ni "porojo" tu, Spaces, nk lakini hadi muda huu kinachosubiriwa ni "huruma ya serikali" kuwaachia Mheshimiwa Mbowe na wenzake. Katika mazingira haya ambayo watu ni mahiri sana wa kuongea na kujimwambafai kuliko kutenda, pengine ni muhimu kuwa na Plan B kabla ya kufanya jambo ambalo matokeo yake yanafahamika. Kwa tukio la Mwanza, ilifahamika bayana nini kingetokea, lakini ni wazi there was no plan B. Another zero-sum game?

Kuna video hapa chini inayoeleza hoja hizo zote kwa upana

Kinachoendelea sasa hivi ni kielelezo halisi cha nchi kukosa mwelekeo.

Nilitegemea ccm iliyosheheni wasomi ije na hoja kinzani juu ya hoja za wasomi badala yake inakuja na mabomu na mbwa wa polisi.

Nchi inayoongozwa na watu wanaofikiri kama ccm ya sasa hawawezi kuongoza nchi kwa mwelekeo sahihi.
 
Sisi wananchi tunangoja nini kuipa hiyo ccm pressure, au tunasubiri mpaka hivyo vyama vya upinzani vife kwanza? Hebu niambie wananchi mnangoja nini, na mpaka lini mtaanza?

wakati haujafika na ukifika utaona tu CCM inavyotaka madarakani kila rahisi kabisa mpaka utashangaa....hili zingatia, watanzania bado hawajaichoka CCM kama unavyofikiri ila siku wakiichoka ni week moja tu CCM tunaisahau na hata hawa polisi unaowaona leo hii wanaweza kumkamata yeyote na kuweka ndani bila kikwazo hawataweza tena...

refer, maandamano ya TL baada ya uchaguzi....kile ni kipimo tosha kuwa CCM bado haijachokwa kama tunavyofikiri... Arab spring haikufanywa na wanasiasa, Mapinduzi ya sudan dhidi ya Bashiru hayakufanywa na wanasiasa...ni wananchi wenyewe walipoamua baada ya majaribio kadhaa ya wanasiasa kushindwa...

Fanya uchunguzi wa kina mtaani kwanini watanzania hawajaamua kujisacrifice kuitoa CCM....na hata uwaite barabarani hawaji na wakisikia mabomu wanajifungia ndani...fanya simple research isiyo na ushabiki kitaa...
 
Kuna features kadhaa kuhusu matukio makubwa mawili yaliyojiri siku chache zilizopita, la kukamatwa Mheshimiwa Mbowe na viongozi wengine kadhaa wa Chadema, na kabla ya hapo, kukamatwa kwa wafuasi kadhaa wa chama hicho, matukio yaliyojiri huko Mwanza.

Kwanza, hoja za jeshi la polisi na mkuu wa mkoa Mwanza kuzuwia kongamano kwa kigezo cha korona ni utopolo. Hilo halina mjadala.

Pili, kuzuwia kongamano hilo pamoja na lile la awali ni ukiukwaji wa haki za kidemokrasia na kikatiba. Freedom of association sio fadhila bali haki ya msingi kwa kila Mtanzania. Polisi wanapaswa kutoa ulinzi kwenye matukio husika na sio kuwa waamuzi wa endapo shughuli ifanyike au la.

Tatu, kama ilivyokuwa utawala uliopita, kuna double standards, ambapo CCM "wanapeta" tu ilhali ni kosa la jinai kwa Wapinzani japo kijaribu hayohayo CCM wanaruhusiwa kuyafanya.

Nne, kukamatwa kwa Mheshimiwa Mbowe na viongozi wengine wa Chadema kunatia doa taswira nzuri iliyoanza kujengeka kuwa Mama Samia anataka siasa za maelewano badala ya siasa za chuki zilizotawala zama za Mwendazake. Kuachiwa kwa Mdude na kugeuzwa hukumu ya Mbowe ni miongoni mwa ishara zilizotupa matumaini wengi kuhusu Mama Samia.

Tano, siasa za Tanzania na zero-sum game: Unfortunately siasa za Tanzania ni aidha ishinde CCM na Wapinzani wafeli au wapinzani wafaulu na CCM washindwe. Ni vigumu mno kupata suluhu kwenye masuala muhimu ya mustakabali wa kitaifa yanayohitaji mshikamano wa pande zote mbili.

Na ndio maana kwa mazingira ya sasa ni vigumu mno kwa madai ya Katiba mpya kuwa na ufanisi kwa sababu CCM wanajiona washindi wakikwamisha mchakato huo (unfortunately kwa vile ni chama tawala wana uwezo wa kukwamisha) na wanatafsiri kuwa kukwamisha huko ni "kuwapiga bao" Wapinzani

Ufumbuzi: win-win. Katiba ni kwa ajili ya Watanzania wote. Washindi ni Watanzania, sio chama fulani. Ikishindikana, waliofeli ni Watanzania wote, sio kundi fulani.

Sita, Sambamba na hilo, confrontational politics ni ngumu japo wakati mwingine ndio only option. Katika mazingira ya sasa, sidhani kama mkutano kati ya Mama Samia na viongozi wa upinzani utakuwepo tena maana tayari "mstari umechorwa."

Saba, kwa upande mwingine, pengine Mama Samia hajatendewa haki kwenye hilo la mkutano na viongozi wa upinzani. Alikuwa na kila ruhusa ya kutamka kuwa "sihitaji kukutana na Wapinzani" na isingemuathiri kwa lolote, lakini akakubali.

Unfortunately, viongozi wa Chadema wanataka mkutano huo ufanyike mapema kadri iwezekanavyo, which is a valid point. However, kutokana na uzito wa mkutano huo, ni muhimu kuwe na maandalizi ya kutosha. On one side, hakutokuwa na tija endapo mkutano utaishia kuwa fursa ya Mama na wapinzani kunywa kahawa kisha kupiga picha pasipo kujadiliana masuala muhimu kwa taifa letu. On the other side, anayeombwa appointment, hapangiwi wala halazimishwi na mwomba appointment.

Ufumbuzi: kunahitajika ustahimilivu, assuming possibility ya mkutano huo bado ipo, though I highly doubt.

Nane, madai ya katiba mpya ni valid. Katiba Iliyopo ina mapungufu makubwa. Now, whether kinachohitajika ni katiba mpya au marekebisho kwenye katiba iliyopo, that's open to discussion.

However, approach ya kudai katiba ipo a bit flawed. Kws kuzingatia kuwa siasa zetu ni za zero-sum, it is virtually impossible kwa CCM kuridhia mchakato wa Katiba mpya, kwa sababu watakuwa wanajipiga bao. It essentially would fast-track safari ya wao kitoka madarakani.

Tisa, kuna kikwazo cha pili. Ni kwamba utamaduni wa siasa za Tanzania, na hata baadhi ya nchi kubwa, hutegemea sana utashi wa kiongozi aliyepo madarakani. Tumeona zama za Magufuli. Aliyotaka yawe yakawa. Aliyitaka yasiwe hayakuwa. Lakini hata Marekani, utashi wa Obama uliifanya Marekani kuwa "tofauti" na "Marekani ya Trump," na "ya Biden" ni tofauti pia. Na hili ni taifa lenye katiba imara na kongwe.

Ufumbuzi: pamoja na ugumu mwingi, only viable way ya kuwezesha mchakato wa Katiba ni kuhusisha utashi wa Mama Samia, kufanikiwa kuwavuta CCM waone kuwa ni win-win na sio zero-sum game, na suala la katiba kuwa la kitaifa zaidi kuliko "la chama kimoja."

Kumi, no si dhambi kwa Chadema kuongoza harakati za kudai Katiba mpya. However, on on side kuna kikwazo hicho cha CCM, lakini tatizo kubwa zaidi ni kwamba kuna watu watakaokwepa kuunga mkono katiba mpya kwa vile tu ni "sera ya chama flani." Ikumbukwe, zaidi ya nusu ya Watanzania si wafuasi wa chama chochote cha siasa.

Mwisho, ni jawabu la swali lililobeba kichwa cha habari. Je Mama Samia anairudisha Tanzania kwenye zama za siasa za chuki au huu ni utekelezaji wa kile alichotanabaisha mapema kuwa "ukinizingua nitakuzingua"?

Hilo moja, la pili, na linalohitaji tafakuri kubwa ni ukweli mchungu kuwa hata Mama Samia akiamua "kuachana na siasa za kistaarabu" na kuwa full tyrant, hakuna ww kumzuwia. Hakuna aliyeweza kumzuwia Mkapa kuukandamiza upinzani 1995 to 2005. Hakuna aliyeweza kumzuwia Jk kuuma na kupuliza ambapo hadharani alionekana mtu poa kwa wapinzani ilhali faraghani aliwahujumu. Na hakuna kilichoweza kumzuwia Shujaa Mwendazake kufanya siasa za chuki ambapo aliwanyanyasa wapinzani atakavyo.

Ukweli mwingine mchungu ni kwamba tangu jana ni "porojo" tu, Spaces, nk lakini hadi muda huu kinachosubiriwa ni "huruma ya serikali" kuwaachia Mheshimiwa Mbowe na wenzake. Katika mazingira haya ambayo watu ni mahiri sana wa kuongea na kujimwambafai kuliko kutenda, pengine ni muhimu kuwa na Plan B kabla ya kufanya jambo ambalo matokeo yake yanafahamika. Kwa tukio la Mwanza, ilifahamika bayana nini kingetokea, lakini ni wazi there was no plan B. Another zero-sum game?

Kuna video hapa chini inayoeleza hoja hizo zote kwa upana

Ungekuwa neutral tungekuamini, siku hizi unafuata upepo unakoelekea na wewe unakwenda huko huko. Umeona watu wamekukandia maandiko yako mawili yaliyopita umejirejesha uonekane unaijua haki. Kaa hivyo hivyo ushushe heshima yako.
 
Back
Top Bottom