Rais Samia anarudi zama za siasa za chuki au anawajibu wanaombipu?

Kwahiyo Mbowe ni gaidi?
 
Tatizo la msingi la siasa za afrika ni kutoelewa maana ya uchaguzi.ilan na agenda. kwamba kile chama kilichoshindwa ktk uchaguzi ndio kinageuka kuwakilisha umma na kutaka agenda zake zitekelezwe na serikali ya walioshinda. Kwenye kampeni umeahidi katiba ndani ya siku 100, haki, uhuru na demokrasi cha ajabu ilan hii imeshindwa hata kuvuta watu waje kituo cha kupiga kura.. kumbuka kwamba duniani kote dalili kubwa ya upinzan kuchukua dola ni wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura.
 
Tufute mfumo wa vyama vingi wabaki CCM maana ndo wenye hati miliki ya nchi
Bora wafanye hili, haiwezekani kongamano la masaa machache tu lizuiliwe kwa nguvu kubwa kiasi hiki hadi wengine kubambikiwa kesi za ugaidi.

Huenda kuna kikundi kinaamini hii nchi ni Mali yao hivyo wana haki ya kufanya lolote au wanadhani wao pekee tu ndio wenye uwezo wa kuongoza.
 
We Tanzanian are not ready to tollarate any plot or activities of terrorist under the cover of political freedom.
Mbowe and his fellow alleged to plot and conduct terrorist act, they are criminals like any other criminals, no one is above the laws, he used Political party as an umbrella, he used agenda of demanding new constitution as an umbrella. that man is dangerous.
 
Nilimuona SSH ni mtu wa hovyo tu kama JPM a moment alipoendeleza katazo la mikutano ya hadhara kwa vyama vya upinzani, wakati suala la mikutano ni haki ya kisheria.

Lakini kwa upande mwingine unatarajia nini kwa rais aliyezungukwa na timu ile ile?! Anapokuwa na kikao cha Baraza la Usalama wa Taifa, 99% ya Wajumbe ni wale wale waliokuwepo zama za JPM!!! Watamshauri nini hawa kama sio yale yaleyaliyokuwa yanafanyika zama za aliyemtangulia!!!
 
perfect
 
hata mimi nikajua utopolo
 
Mama alianza vizuri sana kwa kutaka siasa safi na zenye kuheshimiana. Unfortunately, viongozi wa chadema wakaona kama mama ni mdhaifu na wakaanza kumchokonoa na manono mbovumbovu.
1. Alianza Mbowe kwa kumshurutisha Rais aitishe kikao na wapinzani mapema iwezekenavyo. Hili lilikiwa ni kosa na dharau kwa Rais maana alishasema ataitisha mkutano. Mbowe angeweza kumwambia Rais haja yake privately na siyo kama alivyosema.
2. Mdude baada ya kuachiwa mahakamani tunajua wote alichosema kuhusu Rais akitumia maneno ya kejeli. Hakuna kiongozi yeyote wa Chadema aliyekemea kali ile.
3. Kauli zilizokuwa zinatolewa na viongozi wa chadema akiwemo na Mbowe kwa viongozi wa serikali kabla ya Mkutano wa Mwanza hazikiwa na afya kwa wenye mamlaka.

Chadema bado wana nafasi ya kujisahihisha.
 
Huwezi kumtisha rais kwa kisingizio cha demokrasia

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Unadhani armed struggle ndio solution?

La hasha, remember watakaobeba bunduki ni waafrika hawa hawa

Nothing will change except primitive way of solving problems itarudi
Solution ni kurudisha ukoloni tu maana tumeshindwa kujitawala
 
Natumaini watasoma ili waelewe, nimependa msimamo wako mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…