Rais Samia anashauriwa kutengua uteuzi wa Hassan Bomboko Haraka iwezekanavyo


Huyu anaishuzi, ni janga la taifa
 


Well, Tufanye nn ili kuwaondosha Hawa Malaya ,mashoga, wafiraji alwaloamua kuzigeuza barabara zetu kua chimbo la ufsika wako.

Unashauri nn?.




Alisema MAKONDA " watu wavivu, wazembe, wezi ,Wala rushwa , watu walojaa uozo na mambo ya ovyo, Huwa wanakawaida ya kua na Umoja na mshikamani".


Inatuhitaji watu wachache kama aina ya Mkuu wa WILAYA , kusimama na kupambana.
 
Huna haja ya kuwaondosha, wawekewe mazingira mazuri ya kufanya hiyo kazi a na walipe kodi na hayo sio kipaumbele ya taifa

That is a business, I want service from sex workers , I pay for the service ….we exchange…… ni pure business, ww unajua ulikuzwa vipi? Just because hawakuwa kwa road , doesn’t mean hawakufanya ……
Government ni kuweka mazingira mazuri na ulinzi maeneo husika,
Mfano ukahaba wa Dodoma, do you know who are the buyers?
Badilishen mind set za kijinga
 
Unauliza Na kujijibu
 
Huna Akili.

Hata developed countries wapo hao watu

Wekeni mazingira mazuri huwezi kupangianwatu nn cha kufanya for as long as hawafanyi offense .

Watanzania mpo kwenye kisiwa akili zenu ni ndogo sana

Narudia tena utakuwa radhi ukisikia mwanao malaya???? Au shoga
Usilete za well developed countries
 
😂😂😂😂
 
Inasikitisha sana
 
Ww ni mmiliki wa madanguro. Wamekanyaga maslahi yako
 
Tanzania haina dini
 
Haya ni mambo yanayopaswa kuwa mahubiri kanisani au mawaidha msikitini kwenu, sio mambo ya kushughulikiwa na mkuu wa mkoa au wilaya.
 
Ongezaaa sautiiiiii!!! WANAFIKI wote wasikie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…