Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna chakupata uongozi Kwa style hiiChawa Kazini
Njaa imevuruga sana Ubongo wa vijana wetu!!! Akili za kusifia moja kwa moja hawanaHivi hatuwezi kumsifu Samia bila kumpondea mtangulizi wake?.
P
Unafiki utakutoa roho wewe, mchumia tumbo.Kama umemsikiliza vizuri Utouh alipokuwa anaongea juzi, ni kwamba ingawa katika Halmashauri umetokea ubadhirifu mkubwa na labda wizi, lakini kwa ujumla, Serikali Kuu imeweza kupunguza ubadhirifu katika mwaka huu wa fedha kuliko mwaka jana, kufuatana na ripoti ya CAG Kichere.
Swali tu ni kwamba ni nani alikuwa rais katika ile Financial year iliyopita?
Kwa maana hiyo,kuhusu Financial ripoti ya CAG ya mwaka huu,Rais Samia anastahili pongezi,na sio kama ilivyo sasa watu wanatetemeka kwa hasira.
Huwezi kusema viatu hivi ni bora zaidi kama hakuna vilivyo hafifu. Wala huwezi kusema kuwa mwaka huu nimepiga hatua bila kujua mwakajana na mwakajuzi ulikuwaje.Hivi hatuwezi kumsifu Samia bila kumpondea mtangulizi wake?.
P
Kwa vichekesho zaidi pogia simu pappy hatonnKama umemsikiliza vizuri Utouh alipokuwa anaongea juzi, ni kwamba ingawa katika Halmashauri umetokea ubadhirifu mkubwa na labda wizi, lakini kwa ujumla, Serikali Kuu imeweza kupunguza ubadhirifu katika mwaka huu wa fedha kuliko mwaka jana, kufuatana na ripoti ya CAG Kichere.
Swali tu ni kwamba ni nani alikuwa rais katika ile Financial year iliyopita?
Kwa maana hiyo,kuhusu Financial ripoti ya CAG ya mwaka huu,Rais Samia anastahili pongezi,na sio kama ilivyo sasa watu wanatetemeka kwa hasira.
Mimi nalamba kitambo!Kalambe na wewe
Usimamizi upi mzuri aliokuwa nao.Bora ungesema Raisi Samia amejifunza vizuri kutoka kwa Hayati Raisi J.P.M kuhusu usimamizi mzuri wa Fedha za Mtanzania.
Punguza shutumu zisizo na miguu wala kichwa. Nchi hii ni yetu. Usimezeshwe chuki na maharamia.