Rais Samia anataka kumlinda Lissu bila Lissu mwenyewe kujua

Rais Samia anataka kumlinda Lissu bila Lissu mwenyewe kujua

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Ni hivi Lissu anataka Rais Samia kwenda hadharani na kumuhakikishia Lissu usalama wake ili aweze kurudi Tanzania.

Rais Samia anasita ingawa si kwa kumuogopa Lissu au Usalama wa taifa lakini ni kwa kumkinga.

Mama akitoka leo na kumuhakikishia usalama Lissu wapinzani wake Rais Samia watatumia ahadi hii kumuaribu Mama kisiasa.

Ina maana hawa watu ambao wengine hawampendi na bado wapo ndani ya usalama, jeshini na Polisi wanaweza kwenda kumfanyia Lissu mabaya ili Rais Samia watu wamuone hafaida kwenye kulinda watu hata pale anapotoa ahadi.

Mama ataweza kusema hadharani tu pale atakapo badilisha viongozi wote wa usalama kuanzia usalama wa taifa na wasaidizi, Polisi IGP na DCI, na vikosi vyote vya siri.

Bila kubadilisha hawa na kujiridhisha viongozi wa usalama ni chaguo lake hataweza kabisa kuahidi kwa 100% kuwa Lissu atakuwa salama. Hivyo kwa ufupi Rais Samia bado hajaweza kuwaamini usalama. Kumtoa Sirro tu bado anazunguka na tume mbali mbali .

Rais Samia bado anawasoma vizuri na kujua wazuri na wabaya kwa kusaidiwa na wakina Membe, kinana na Kikwete . Pamoja wa wastaafu kama IGP Mwema

Hivyo Lissu asubiri kwanza Rais Samia asafishe safu nzima
 
Kimsingi Rais Samia anampenda sana Mh. Tundu Lissu. Na haikushangaza hata kipindi kile kufumba macho na kwenda kumuona kule Nairobi alikolazwa, baada ya lile shambulio!

Natamani na mimi kupewa upendo wa kipekee na huyu mama FaizaFoxy! Kiukweli namkubali sana! Hata kama tuna tofauti za kidini! 🙄
 
..kwanini haundi tume huru kuchunguza kilichotokea?

..nimemsikia Mzee Kinana akisema Tz inajulikana dunia nzima kwa kutenda HAKI.

..kauli toka kwa viongozi wa Serikali na Polisi zinaonyesha kwamba hawataki kumtendea haki Tundu Lissu na mwenendo huo unalichafua taifa.
 
..kwanini haundi tume huru kuchunguza kilichotokea?

..nimemsikia Mzee Kinana akisema Tz inajulikana dunia nzima kwa kutenda HAKI.

..kauli toka kwa viongozi wa Serikali na Polisi zinaonyesha kwamba hawataki kumtendea haki Tundu Lissu na mwenendo huo unalichafua taifa.


Tume ndiyo haohao kwa ufupi hajui wapi wazuri na wapi wabaya. Njia rahisi ni kuweka viongozi anao waamini kwanza na muda huu anawasoma bado. Hataweza kutoa ahadi kwa umma ya ulinzi kwa viongozi hawa wa usalama mpaka asafishe kwanza na kujiaminisha.
 
Tume ndiyo haohao kwa ufupi hajui wapi wazuri na wapi wabaya. Njia rahisi ni kuweka viongozi anao waamini kwanza na muda huu anawasoma bado. Hataweza kutoa ahadi kwa umma ya ulinzi kwa viongozi hawa wa usalama mpaka asafishe kwanza na kujiaminisha.

..sidhani.

..ndio yaleyale ya kusema anajenga uchumi kwanza.

..labda mataifa ya nje yamshinikize kuchunguza suala hili na kutenda haki.
 
Aliyetaka kumuua SI ameshakufa.
Shida Iko wapi?

Kumbe mlituaminisha uongo kuwa ni magufuli ndo alitaka kumuua?

..aliyepanga anajulikana.

..watekelezaji[ waliofyatua marisasi na kukimbia] wa uovu ule wanatakiwa wafikishwe mahakamani.
 
Samia bado anawasoma vizuri na kujua wazuri na wabaya kwa kusaidiwa na wakina Membe, kinana na Kikwete . Pamoja wa wastaafu kama IGP Mwema

Hivyo Lissu asubiri kwanza Raisi Samia asafishe safu nzima
Hawa wastaafu wa awamu ya 4 Wana nguvu sana kipindi hiki.

Kufanya uchunguzi wa Lile tukio na kuwafikisha watuhumiwa mahakamani ni njia bora zaidi ya kumlinda Lissu.
 
JAMANI eeh situlishakubaliana haya mambo yaliisha kipindi cha Simba wa Yuda amah! mbona mnataka kuendeleza ligi ili Hangaya ashindwe mara ya pili kuongoza inji hii.
 
Kimsingi Rais Samia anampenda sana Mh. Tundu Lissu. Na haikushangaza hata kipindi kile kufumba macho na kwenda kumuona kule Nairobi alikolazwa, baada ya lile shambulio!

Natamani na mimi kupewa upendo wa kipekee na huyu mama FaizaFoxy! Kiukweli namkubali sana! Hata kama tuna tofauti za kidini! 🙄
FaizaFoxy sema neno mama la mama😂😂
 
Japo Lissu ana haki ya kuhoji juu ya usalama wake lakini akirudi atakuwa salama zaidi.
Watesi wake wote ni marehemu sasa
 
Ni hivi Lissu anataka Rais Samia kwenda hadharani na kumuhakikishia Lissu usalama wake ili aweze kurudi Tanzania.

Rais Samia anasita ingawa si kwa kumuogopa Lissu au Usalama wa taifa lakini ni kwa kumkinga.

Mama akitoka leo na kumuhakikishia usalama Lissu wapinzani wake Rais Samia watatumia ahadi hii kumuaribu Mama kisiasa.

Ina maana hawa watu ambao wengine hawampendi na bado wapo ndani ya usalama, jeshini na Polisi wanaweza kwenda kumfanyia Lissu mabaya ili Rais Samia watu wamuone hafaida kwenye kulinda watu hata pale anapotoa ahadi.

Mama ataweza kusema hadharani tu pale atakapo badilisha viongozi wote wa usalama kuanzia usalama wa taifa na wasaidizi, Polisi IGP na DCI, na vikosi vyote vya siri.

Bila kubadilisha hawa na kujiridhisha viongozi wa usalama ni chaguo lake hataweza kabisa kuahidi kwa 100% kuwa Lissu atakuwa salama. Hivyo kwa ufupi Rais Samia bado hajaweza kuwaamini usalama. Kumtoa Sirro tu bado anazunguka na tume mbali mbali .

Rais Samia bado anawasoma vizuri na kujua wazuri na wabaya kwa kusaidiwa na wakina Membe, kinana na Kikwete . Pamoja wa wastaafu kama IGP Mwema

Hivyo Lissu asubiri kwanza Rais Samia asafishe safu nzima


Lema leo kwenye space ametoa sababu kama hii . Inabidi Raisi Samia abadilishe safu nzima ya usalama
 
Back
Top Bottom