The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Kitabu chenu kitakatifu wewe na nani!Samia kashafanya mambo megi ya hovyo sana tena mengi mno. Lakini hili la kukashifu katiba ya nchi is beyond the red line.
Katiba ndiyo kitabu chetu kitakatifu kwa watanzania amabacho kinatuunganisha wote...
Dah watu kama nyie hata mzoga wa jibwa koko una nafuu. HAMJIELEWI. Haujui kuwa Katiba ndio mpango wote wa maisha yako ya hapa duniani.Kitabu chenu kitakatifu wewe na nani!
Hiyo katiba nani anaijua zaidi ya wanasiasa na wanasheria?
Wewe ni mfu unayeishi sikushangai sanaRais apoteze muda kumjibu mjinga mmoja kama wewe uliona wapi tena ningekua mimi ningekuwa nawatukana tu kama marehemu magufuli maana kumbe hamna maana.
Pita pembeni kama huna hojaKitabu chenu kitakatifu wewe na nani!
Hiyo katiba nani anaijua zaidi ya wanasiasa na wanasheria?
Endelea kumkashifu rais na kulalamika unavyotaka hakuna wa kukuzuia 2030 siyo mbaliWewe ni mfu unayeishi sikushangai sana
Nakazia✍️✍️✍️Samia kashafanya mambo megi ya hovyo sana tena mengi mno. Lakini hili la kukashifu katiba ya nchi is beyond the red line.
Katiba ndiyo kitabu chetu kitakatifu kwa watanzania amabacho kinatuunganisha wote...
Ile Dhihaka haivumiliki hata kidogo ni dharau iliyopita kiwango kwa katiba yetu, Kama ana busara natarajia kumwona akiitolea ufafanuzi kauli yake.
View attachment 2748113
Rais wa Tanzania ni mungu mtu haiyumkiniki kwake kuomba radhi. Toka lini Mungu akaomba radhi.Samia kashafanya mambo megi ya hovyo sana tena mengi mno. Lakini hili la kukashifu katiba ya nchi is beyond the red line.
Katiba ndiyo kitabu chetu kitakatifu kwa watanzania amabacho kinatuunganisha wote...
Ile Dhihaka haivumiliki hata kidogo ni dharau iliyopita kiwango kwa katiba yetu, Kama ana busara natarajia kumwona akiitolea ufafanuzi kauli yake.
View attachment 2748113
Katiba ya nchi ni ya Mjinga mmoja sio?Rais apoteze muda kumjibu mjinga mmoja kama wewe
Punguza ukali wa manenoNajiuliza tuu, hivi Raila Odinga au William Ruto anaweza kusema hivyo hadharani kuikashifu katiba ya Kenya afu mpk sasa kusiwe kumewaka mtaanii? Kiufupi CCM ilishawaona waTz ni wasengewasenge tuu,
Kwenye wananchi wajinga wapo na werevu wapo .hawa wanaoleta kashfa na lugha zisizo na staha kwa Mh. Rais ndio wajinga wenyewe kama na wewe upo jitathmini.Katiba ya nchi ni ya Mjinga mmoja sio?
When you are dead those who are alive fill the pains. ..it is the same when you are stupid.Endelea kumkashifu rais na kulalamika unavyotaka hakuna wa kukuzuia 2030 siyo mbali
Hahaha kwa kiswahili ndo unasemaje hapo?When you are dead those who are alive fill the pains. ..it is the same when you are stupid.
SureNakazia✍️✍️✍️
Asiyeelewa hayo maelezo ya Baba wa Taifa kuhusu Katiba kwenye hiyo clip ni ama mnafiki au tapeli
Kamuulize NapeHahaha kwa kiswahili ndo unasemaje hapo?
Kwanini hamuwezi kukosoa kwa staha bila lugha chafu na matusi imagine ndiyo mkishika Nchi itakuwaje si wahuni tuu nyieDah watu kama nyie hata mzoga wa jibwa koko una nafuu. HAMJIELEWI. Haujui kuwa Katiba ndio mpango wote wa maisha yako ya hapa duniani.
Hata huyo mama mwenyewe kama si kufuatwa kwa katiba leo hii angekuwa Rais? Si watu wangepindua meza wakamuweka mtu mwingingine tu.
Lakini walijiuliza katiba inasemaje kuhusu Rais akifa, wakakuta Makamu wake ndiye anayerithi, wakafuata.
CCM mna staha?Kwanini hamuwezi kukosoa kwa staha bila lugha chafu na matusi imagine ndiyo mkishika Nchi itakuwaje si wahuni tuu nyie