The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 16,434
- 14,547
Maza naye haijui katiba. Kuna watanzania wengi tu wanaoijua katiba kuliko Maza na wanasiasa. Wala mwananchi wa kawaida hatakiwi kuijua katiba. Hakuna a nchi ambayo wananchi wake wanaoijua katiba. Watu wanajua haki zao na Watanzania wengi hawajui haki zao. Hii ndiyo sababu kubwa ambayo wenye mamlaka anaitumia kunyanyada raia.Kitabu chenu kitakatifu wewe na nani!
Hiyo katiba nani anaijua zaidi ya wanasiasa na wanasheria?