Rais Samia anatakiwa kujitokeza hadharani kutuomba radhi watanzania kwa kuikashifu Katiba

Rais Samia anatakiwa kujitokeza hadharani kutuomba radhi watanzania kwa kuikashifu Katiba

Kitabu chenu kitakatifu wewe na nani!

Hiyo katiba nani anaijua zaidi ya wanasiasa na wanasheria?
Maza naye haijui katiba. Kuna watanzania wengi tu wanaoijua katiba kuliko Maza na wanasiasa. Wala mwananchi wa kawaida hatakiwi kuijua katiba. Hakuna a nchi ambayo wananchi wake wanaoijua katiba. Watu wanajua haki zao na Watanzania wengi hawajui haki zao. Hii ndiyo sababu kubwa ambayo wenye mamlaka anaitumia kunyanyada raia.
 
Watu wapo bize na story za mange , mond na kina mwijaku insta....
 
Duh! Una tabia ya fisi ya kuvizia mkono wa binadamu udondoke ili apate mlo! Haiyumkini wewe ni moja wa wasiomtakia mema huyo rais na unasali sala zote ili aanguke.
Rais amekosea na Kama kweli ni muungwana anatakiwa kusema poleni watanzania kwa kauli yangu.
Hivi angekuwa nchi za wanaojitambua sidhani Kama Leo angekuwa kwenye ofisi ya umma na huenda angeshtakiwa.
Kosa lake ni lipi?
 
Kosa lake ni lipi?
Yeye ni binadamu kwanza kabla ya urais wake. Na hakuna binadamu asiyekosea kupitia kinywa chake. Ana hisia Kama binadamu wengine na huenda wakati wa hotuba yake hisia zake zilipaa juu zaidi Hadi kufikia hatua Ile ya kuita Katiba kitabu na mengine aliyoyaongea. Anatakiwa aseme kuwa alipitiwa Kama binadamu na aombe radhi. Umeelewa?
 
Yeye ni binadamu kwanza kabla ya urais wake. Na hakuna binadamu asiyekosea kupitia kinywa chake. Ana hisia Kama binadamu wengine na huenda wakati wa hotuba yake hisia zake zilipaa juu zaidi Hadi kufikia hatua Ile ya kuita Katiba kitabu na mengine aliyoyaongea. Anatakiwa aseme kuwa alipitiwa Kama binadamu na aombe radhi. Umeelewa?
Hebu kama kweli unaakili timamu nijibu hii katiba ni kitabu au siyo kitabu? Halafu niambie kosa la Mh rais ni nini?
 

Attachments

  • Screenshot_20230913_213803_Google.jpg
    Screenshot_20230913_213803_Google.jpg
    32.3 KB · Views: 1
Dah watu kama nyie hata mzoga wa jibwa koko una nafuu. HAMJIELEWI. Haujui kuwa Katiba ndio mpango wote wa maisha yako ya hapa duniani.

Hata huyo mama mwenyewe kama si kufuatwa kwa katiba leo hii angekuwa Rais? Si watu wangepindua meza wakamuweka mtu mwingingine tu.

Lakini walijiuliza katiba inasemaje kuhusu Rais akifa, wakakuta Makamu wake ndiye anayerithi, alikua anajisema mwenyewe, haijui katiba. Km yeye haijui chawa ndo wataijua sasa??
Nchi inaongozwa hovyo sana, na machawa hata mkipewa kinyesi na mabwana zenu lazima mtakula
Rais apoteze muda kumjibu mjinga mmoja kama wewe uliona wapi tena ningekua mimi ningekuwa nawatukana tu kama marehemu magufuli maana kumbe hamna maana.
 
Rais Samia kashafanya mambo mengi sana tena mengi mno. Lakini hili la kukashifu katiba ya nchi is beyond the red line.

Katiba ndiyo kitabu chetu kitakatifu kwa watanzania amabacho kinatuunganisha wote...

Ile Dhihaka haivumiliki hata kidogo ni dharau iliyopita kiwango kwa katiba yetu, Kama ana busara natarajia kumwona akiitolea ufafanuzi kauli yake.

Wacha porojo wewe, unatuletea zelensky huyo.

Huyo comedian tu kama alivyo mwanawe, typical.

Hapo alishaona dah, watu wanampenda na kumkubali Mwinyi, kila pahali ruksa ruksa ruksa, mjamaa akaanza vijembe.
 
Back
Top Bottom